7 Bali, kinyume chake, walipoona kwamba nilikuwa nimekabidhiwa+ habari njema kwa ajili ya wale wasiotahiriwa,+ kama vile Petro alivyokuwa nayo kwa ajili ya wale waliotahiriwa+—
25 Mimi nilikuja kuwa mhudumu+ wa kutaniko hili kwa kupatana na usimamizi-nyumba+ kutoka kwa Mungu niliopewa kwa faida yenu ili kulihubiri neno la Mungu kwa ukamili,