17 Kama nikifanya hilo kwa kupenda,+ nina thawabu;+ lakini kama nikifanya hilo kinyume cha kupenda kwangu, vyovyote vile nina usimamizi-nyumba+ niliokabidhiwa.
25 Mimi nilikuja kuwa mhudumu+ wa kutaniko hili kwa kupatana na usimamizi-nyumba+ kutoka kwa Mungu niliopewa kwa faida yenu ili kulihubiri neno la Mungu kwa ukamili,