Luka 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo akamwita na kumwambia, ‘Ni nini hili ninalosikia juu yako? Toa hesabu+ ya usimamizi wako, kwa maana huwezi tena kuisimamia nyumba.’ 1 Wakorintho 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kama nikifanya hilo kwa kupenda,+ nina thawabu;+ lakini kama nikifanya hilo kinyume cha kupenda kwangu, vyovyote vile nina usimamizi-nyumba+ niliokabidhiwa. Waefeso 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ikiwa, kwa kweli, mmesikia juu ya usimamizi-nyumba+ wa fadhili zisizostahiliwa za Mungu ambao nilipewa kwa ajili yenu,
2 Kwa hiyo akamwita na kumwambia, ‘Ni nini hili ninalosikia juu yako? Toa hesabu+ ya usimamizi wako, kwa maana huwezi tena kuisimamia nyumba.’
17 Kama nikifanya hilo kwa kupenda,+ nina thawabu;+ lakini kama nikifanya hilo kinyume cha kupenda kwangu, vyovyote vile nina usimamizi-nyumba+ niliokabidhiwa.
2 ikiwa, kwa kweli, mmesikia juu ya usimamizi-nyumba+ wa fadhili zisizostahiliwa za Mungu ambao nilipewa kwa ajili yenu,