4 Hivyo, ndugu zangu, ninyi pia mlifanywa wafu kuhusiana na Sheria+ kupitia mwili wa Kristo, ili muwe wa mwingine,+ muwe wa yule aliyefufuliwa kutoka kwa wafu,+ ili tumzalie Mungu matunda.+
16 Kikombe+ cha baraka ambacho tunabariki, je, hicho si kushiriki katika damu ya Kristo? Ule mkate ambao tunamega,+ je, huo si kushiriki katika mwili wa Kristo?+