17 Lakini hekima+ inayotoka juu kwanza kabisa ni safi kiadili,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haifanyi tofauti zenye ubaguzi,+ si ya kinafiki.+
14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe yeye awapate ninyi mkiwa bila doa+ na bila dosari na mkiwa katika amani.+