Marko 9:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Chumvi ni nzuri; lakini chumvi ikipoteza nguvu zake, mtaikoleza na nini?+ Iweni na chumvi+ ndani yenu, na mdumishe amani+ kati ya mtu na mwenzake.” 2 Wakorintho 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na wa amani+ atakuwa pamoja nanyi. Waebrania 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote,+ na utakaso+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana,+ 1 Petro 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 bali na ageuke kutoka katika yaliyo mabaya+ na kufanya yaliyo mema; na atafute amani na kuifuatilia.+
50 Chumvi ni nzuri; lakini chumvi ikipoteza nguvu zake, mtaikoleza na nini?+ Iweni na chumvi+ ndani yenu, na mdumishe amani+ kati ya mtu na mwenzake.”
11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na wa amani+ atakuwa pamoja nanyi.
11 bali na ageuke kutoka katika yaliyo mabaya+ na kufanya yaliyo mema; na atafute amani na kuifuatilia.+