Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+

      Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+

      Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+

      Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+

  • Mathayo 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtu hatiwi unajisi na kile kinachoingia ndani ya kinywa chake; bali kinachotoka katika kinywa chake ndicho humtia unajisi.”+

  • Mathayo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hata hivyo, mambo yanayotoka katika kinywa hutoka moyoni, na mambo hayo humtia mtu unajisi.+

  • Marko 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mambo hayo yote maovu hutoka ndani nayo humtia mtu unajisi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki