Zaburi 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+ Mathayo 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu hatiwi unajisi na kile kinachoingia ndani ya kinywa chake; bali kinachotoka katika kinywa chake ndicho humtia unajisi.”+ Mathayo 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hata hivyo, mambo yanayotoka katika kinywa hutoka moyoni, na mambo hayo humtia mtu unajisi.+ Marko 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mambo hayo yote maovu hutoka ndani nayo humtia mtu unajisi.”+
39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+
11 Mtu hatiwi unajisi na kile kinachoingia ndani ya kinywa chake; bali kinachotoka katika kinywa chake ndicho humtia unajisi.”+