10 Na moyo wa Daudi ukaanza kumpiga+ baada ya kuwahesabu watu. Basi Daudi akamwambia Yehova: “Nimetenda dhambi+ sana kwa lile ambalo nimefanya. Na sasa, Yehova, tafadhali acha kosa la mtumishi wako lipitilie mbali;+ kwa maana nimetenda kwa upumbavu sana.”+
13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alikuwa akipiga-piga kifua chake,+ akisema, ‘Ee Mungu, unirehemu mimi mtenda-dhambi.’+