Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na moyo wa Daudi ukaanza kumpiga+ baada ya kuwahesabu watu. Basi Daudi akamwambia Yehova: “Nimetenda dhambi+ sana kwa lile ambalo nimefanya. Na sasa, Yehova, tafadhali acha kosa la mtumishi wako lipitilie mbali;+ kwa maana nimetenda kwa upumbavu sana.”+

  • Mathayo 26:75
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 75 Naye Petro akakumbuka maneno ambayo Yesu alisema, yaani: “Kabla ya jogoo kuwika, utanikana mara tatu.”+ Naye akaenda nje akalia kwa uchungu.+

  • Luka 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alikuwa akipiga-piga kifua chake,+ akisema, ‘Ee Mungu, unirehemu mimi mtenda-dhambi.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki