Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Kumbukumbu la Torati 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nawe lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo+ wako wote na kwa nafsi+ yako yote na kwa nguvu+ zako zote. Yohana 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda ninyi,+ ninyi nanyi mpendane vivyo hivyo.+
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
5 Nawe lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo+ wako wote na kwa nafsi+ yako yote na kwa nguvu+ zako zote.
34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda ninyi,+ ninyi nanyi mpendane vivyo hivyo.+