5 Kisha akaenda nyumbani kwa baba yake huko Ofra+ na kuwaua ndugu zake,+ wana 70 wa Yerubaali, juu ya jiwe moja. Yothamu mwana mdogo zaidi wa Yerubaali ndiye aliyeokoka peke yake, kwa sababu alijificha.
24 Hayo yalitokea ili kulipiza ukatili waliotendewa wale wana 70 wa Yerubaali, na ili hatia ya damu iwe juu ya Abimeleki ndugu yao kwa sababu aliwaua,+ na juu ya viongozi wa Shekemu kwa sababu walimsaidia kuua ndugu zake.