Kutoka 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati huo Musa na Waisraeli wakamwimbia Yehova wimbo huu:+ “Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana amekwezwa sana.+ Farasi na mpandaji wake amewavurumisha baharini.+ 2 Samweli 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Daudi akamwimbia Yehova maneno ya wimbo huu+ siku ambayo Yehova alimwokoa kutoka mikononi mwa maadui wake wote+ na kutoka mikononi mwa Sauli.+ Isaya 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwimbieni sifa* Yehova+ kwa maana ametenda mambo makuu.+ Jambo hilo na litangazwe duniani kote.
15 Wakati huo Musa na Waisraeli wakamwimbia Yehova wimbo huu:+ “Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana amekwezwa sana.+ Farasi na mpandaji wake amewavurumisha baharini.+
22 Daudi akamwimbia Yehova maneno ya wimbo huu+ siku ambayo Yehova alimwokoa kutoka mikononi mwa maadui wake wote+ na kutoka mikononi mwa Sauli.+