Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 1:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kama nilivyokutia moyo ubaki Efeso nilipokuwa karibu kwenda Makedonia, sasa ninakutia moyo ufanye vivyo hivyo, ili uwaamuru watu fulani wasifundishe mambo tofauti, 4 wala kusikiliza hadithi za uwongo+ na kuchunguza-chunguza ukoo. Mambo hayo hayaleti manufaa yoyote+ bali hutokeza maswali badala ya kuleta chochote kutoka kwa Mungu kuhusiana na imani.

  • 1 Timotheo 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini kataa hadithi za uwongo zisizo na heshima,+ kama zile zinazosimuliwa na wanawake wazee. Badala yake, endelea kujizoeza ukiwa na lengo la ujitoaji-kimungu.*

  • Tito 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini epuka mabishano ya kipumbavu na kubishana kuhusu ukoo na mizozo na mapambano kuhusu Sheria, kwa maana mambo hayo hayana faida na ni ya ubatili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki