-
1 Timotheo 1:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Kama nilivyokutia moyo ubaki Efeso nilipokuwa karibu kwenda Makedonia, sasa ninakutia moyo ufanye vivyo hivyo, ili uwaamuru watu fulani wasifundishe mambo tofauti, 4 wala kusikiliza hadithi za uwongo+ na kuchunguza-chunguza ukoo. Mambo hayo hayaleti manufaa yoyote+ bali hutokeza maswali badala ya kuleta chochote kutoka kwa Mungu kuhusiana na imani.
-