Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 21
JUMA LINALOANZA DESEMBA 21
Wimbo 90 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
ia sura ya 5 ¶1-13 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 20-24 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 20:13-20 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Kwa Nini Mungu Ameruhusu Uovu?—td 37B (Dak. 5)
Na. 3: Ni Nini Maana ya “Wakili Mkuu”? (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.” —Matendo 14:22.
Dak. 5: Sanduku la Swali. Hotuba.
Dak. 10: Thamini Ukarimu wa Yehova. Hotuba inayotegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Novemba 15, 2015, ukurasa wa 14-15. Hotuba itolewe na mzee.
Dak. 15: Wenye Kujihadhari Kama Nyoka na Wasio na Hatia Kama Njiwa. (Mt. 10:16) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2015, ukurasa wa 73, fungu la 1 na ukurasa wa 110 fungu la 2 hadi ukurasa wa 116. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Wimbo 137 na Sala