Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Septemba uku. 2
  • Septemba 1-7

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Septemba 1-7
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
mwb25 Septemba uku. 2

SEPTEMBA 1-7

METHALI 29

Wimbo 28 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Kataa Imani na Desturi Zisizo za Kimaandiko

(Dak. 10)

Mtii Yehova, nawe utakuwa na furaha ya kweli (Met 29:18; wp16.6 6, sanduku)

Tegemea hekima ya Mungu ili ujue ikiwa desturi fulani inakubalika kwa Yehova (Met 29:3a; w19.04 17 ¶13)

Kataa kushinikizwa kufuata desturi zisizo za kimaandiko (Met 29:25; w18.11 11 ¶12)

Mkusanyo wa picha: 1. Ndugu akiandika mambo makuu anapofanya utafiti kwa kutumia Biblia na kitabu “Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo.” 2. Ndugu yuleyule akifafanua imani yake kwa watu wa familia yake ambao si Mashahidi. Baadhi ya watu wa familia wanamsikiliza kwa makini huku wengine wakionyesha kukasirishwa na mambo anayosema.

Utafiti unaotegemea Biblia uliofanywa kwa makini na mazungumzo mazuri yanaweza kukusaidia kushinda mkazo wa kushinikizwa

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Met 29:5—Ni nini maana ya kusifusifu, na ni katika njia gani “mtu anayemsifusifu jirani yake anautandaza wavu wa kuinasa miguu yake”? (it “Kusifusifu” ¶1)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Met 29:​1-18 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mwalike mtu huyo ahudhurie hotuba ya pekee. (lmd somo la 2 jambo kuu la 3)

5. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Tumia Mnara wa Mlinzi Na. 1 2025 kuanzisha mazungumzo. Badili utangulizi wako mwenye nyumba anapopendezwa na jambo lingine. (lmd somo la 3 jambo kuu la 3)

6. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 5) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Toa gazeti la Mnara wa Mlinzi Na. 1 2025 kwa mtu anayekueleza kwamba anahangaishwa na vita. (lmd somo la 3 jambo kuu la 4)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 159

7. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) lfb utangulizi wa sehemu ya 4 na somo la 14-15

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 31 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki