34 Basi akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali,+ akafukuza roho wengi waovu, lakini hakuwaruhusu hao roho waovu waseme, kwa maana walijua yeye ni Kristo.*
34 Kwa hiyo akawaponya wengi waliokuwa na magonjwa ya namna mbalimbali,+ naye akafukuza roho waovu wengi, lakini hakuwa akiwaruhusu roho waovu waseme, kwa sababu walijua kuwa yeye ni Kristo.+