12 Nilipokuwa pamoja nao nilikuwa nikiwatunza+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa; nami nimewalinda na hakuna hata mmoja wao aliyeangamizwa+ ila yule mwana wa maangamizi,+ ili andiko litimizwe.+
12 Nilipokuwa pamoja nao nilikuwa nikiwalinda+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa; nami nimewatunza, na hata mmoja wao hakuangamizwa+ ila yule mwana wa maangamizi,+ ili andiko lipate kutimizwa.+