24 Basi wakaambiana: “Tusilirarue, badala yake tupige kura ili tuamue litakuwa la nani.”+ Hilo lilitimiza andiko linalosema: “Waligawana mavazi yangu, na wakalipigia kura vazi langu.”+ Kwa kweli, hivyo ndivyo walivyofanya wale wanajeshi.
24 Kwa hiyo wakaambiana: “Tusilirarue, bali na tuamue kwa kura juu yake litakuwa la nani.” Hii ilikuwa ili andiko lipate kutimizwa: “Waligawana mavazi yangu ya nje, nalo vazi langu walilipigia kura.”+ Ndivyo hasa hao askari-jeshi walivyofanya mambo hayo.