16 Ndiyo sababu ni kupitia imani, ili iwe kulingana na fadhili zisizostahiliwa,+ kusudi ahadi iwe hakika kwa uzao wake* wote,+ si kwa wale tu wanaoshika Sheria, bali pia kwa wale wanaoshika imani ya Abrahamu, ambaye ni baba yetu sote.+
16 Kwa hiyo ilitokana na imani, ili iwe kulingana na fadhili zisizostahiliwa,+ kusudi ahadi+ iwe hakika kwa uzao+ wake wote, si kwa ule tu unaoshikamana na Sheria, bali pia kwa ule unaoshikamana na imani ya Abrahamu. (Yeye ndiye baba+ yetu sote,