2 Wathesalonike 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana tunasikia watu fulani miongoni mwenu hawafuati utaratibu,+ hawafanyi kazi yoyote, bali wanajiingiza katika mambo yasiyowahusu.+ 2 Wathesalonike 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana tunasikia watu fulani wanatembea bila utaratibu+ katikati yenu, hawafanyi kazi hata kidogo bali wanajiingiza katika mambo yasiyowahusu wao.+ 2 Wathethalonike Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:11 “Kila Andiko,” uku. 232
11 Kwa maana tunasikia watu fulani miongoni mwenu hawafuati utaratibu,+ hawafanyi kazi yoyote, bali wanajiingiza katika mambo yasiyowahusu.+
11 Kwa maana tunasikia watu fulani wanatembea bila utaratibu+ katikati yenu, hawafanyi kazi hata kidogo bali wanajiingiza katika mambo yasiyowahusu wao.+