Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Samweli

      • Nyumba ya Daudi inaendelea kupata nguvu (1)

      • Wana wa Daudi (2-5)

      • Abneri anajiunga na Daudi (6-21)

      • Yoabu anamuua Abneri (22-30)

      • Daudi anamuombolezea Abneri (31-39)

2 Samweli 3:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:27, 28; 24:17, 20; 26:25
  • +2 Sa. 2:17

2 Samweli 3:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 3:1-4
  • +2 Sa. 13:1
  • +1 Sa. 25:43

2 Samweli 3:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 25:42
  • +2 Sa. 15:12
  • +2 Sa. 13:37

2 Samweli 3:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:5

2 Samweli 3:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:8

2 Samweli 3:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 21:8-11
  • +2 Sa. 2:10
  • +2 Sa. 16:21; 1 Fal. 2:22

2 Samweli 3:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:27, 28; Zab 78:70; 89:20

2 Samweli 3:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 20:1; 2 Sa. 24:2

2 Samweli 3:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:39

2 Samweli 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “na angalia! mukono wangu uko pamoja na wewe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:3

2 Samweli 3:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 18:20; 19:11; 1Nya 15:29

2 Samweli 3:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Govi ni ngozi yenye kufunika sehemu ya mbele ya kiungo cha uzazi cha mwanaume mwenye hajatahiriwa.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:10
  • +1 Sa. 18:25, 27

2 Samweli 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 25:44

2 Samweli 3:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 16:5; 1 Fal. 2:8

2 Samweli 3:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 13:14; 15:27, 28; 16:1, 13; Zab 89:3, 20; 132:17; Mdo 13:22

2 Samweli 3:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 10:20, 21; 1Nya 12:29

2 Samweli 3:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako inatamani.”

2 Samweli 3:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:16
  • +1 Sa. 14:50; 2 Sa. 2:8, 22
  • +1 Sa. 14:51

2 Samweli 3:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa sababu ya damu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:20
  • +1 Fal. 2:5
  • +2 Sa. 2:22, 23

2 Samweli 3:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 9:6; Kut 21:12; Hes 35:33; Kum 21:9

2 Samweli 3:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine maneno hayo yanazungumuzia mwanaume kilema wa miguu mwenye aliombwa kufanya kazi ya wanamuke.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 7:16; 55:23; Mez. 5:22
  • +Law. 15:2
  • +Law. 13:44; Hes 5:2
  • +Kum 27:24; Zab 109:2, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2005, uku. 17

2 Samweli 3:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:24
  • +2 Sa. 2:8
  • +2 Sa. 2:23

2 Samweli 3:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “shaba.”

  • *

    Tnn., “wana wa ukosefu wa haki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:31, 32

2 Samweli 3:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mukate wa maombolezo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 20:26

2 Samweli 3:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:28; 1 Fal. 2:5

2 Samweli 3:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 14:50; 2 Sa. 2:8; 3:12

2 Samweli 3:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:4
  • +1Nya 2:15, 16
  • +2 Sa. 19:13; 20:10
  • +2 Sa. 3:29; 1 Fal. 2:5, 34

Maandiko ingine

2 Sam. 3:11 Sa. 15:27, 28; 24:17, 20; 26:25
2 Sam. 3:12 Sa. 2:17
2 Sam. 3:21Nya 3:1-4
2 Sam. 3:22 Sa. 13:1
2 Sam. 3:21 Sa. 25:43
2 Sam. 3:31 Sa. 25:42
2 Sam. 3:32 Sa. 15:12
2 Sam. 3:32 Sa. 13:37
2 Sam. 3:41 Fal. 1:5
2 Sam. 3:62 Sa. 2:8
2 Sam. 3:72 Sa. 21:8-11
2 Sam. 3:72 Sa. 2:10
2 Sam. 3:72 Sa. 16:21; 1 Fal. 2:22
2 Sam. 3:91 Sa. 15:27, 28; Zab 78:70; 89:20
2 Sam. 3:10Amu 20:1; 2 Sa. 24:2
2 Sam. 3:112 Sa. 3:39
2 Sam. 3:122 Sa. 5:3
2 Sam. 3:131 Sa. 18:20; 19:11; 1Nya 15:29
2 Sam. 3:142 Sa. 2:10
2 Sam. 3:141 Sa. 18:25, 27
2 Sam. 3:151 Sa. 25:44
2 Sam. 3:162 Sa. 16:5; 1 Fal. 2:8
2 Sam. 3:181 Sa. 13:14; 15:27, 28; 16:1, 13; Zab 89:3, 20; 132:17; Mdo 13:22
2 Sam. 3:191 Sa. 10:20, 21; 1Nya 12:29
2 Sam. 3:232 Sa. 8:16
2 Sam. 3:231 Sa. 14:50; 2 Sa. 2:8, 22
2 Sam. 3:231 Sa. 14:51
2 Sam. 3:272 Sa. 3:20
2 Sam. 3:271 Fal. 2:5
2 Sam. 3:272 Sa. 2:22, 23
2 Sam. 3:28Mwa 9:6; Kut 21:12; Hes 35:33; Kum 21:9
2 Sam. 3:29Zab 7:16; 55:23; Mez. 5:22
2 Sam. 3:29Law. 15:2
2 Sam. 3:29Law. 13:44; Hes 5:2
2 Sam. 3:29Kum 27:24; Zab 109:2, 10
2 Sam. 3:302 Sa. 2:24
2 Sam. 3:302 Sa. 2:8
2 Sam. 3:302 Sa. 2:23
2 Sam. 3:341 Fal. 2:31, 32
2 Sam. 3:35Amu 20:26
2 Sam. 3:372 Sa. 3:28; 1 Fal. 2:5
2 Sam. 3:381 Sa. 14:50; 2 Sa. 2:8; 3:12
2 Sam. 3:392 Sa. 19:13; 20:10
2 Sam. 3:392 Sa. 3:29; 1 Fal. 2:5, 34
2 Sam. 3:392 Sa. 2:4
2 Sam. 3:391Nya 2:15, 16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Samweli 3:1-39

Cha Pili cha Samweli

3 Vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi iliendelea wakati murefu; na Daudi akaendelea kupata nguvu,+ na nyumba ya Sauli ikaendelea kuwa zaifu.+

2 Wakati huo, Daudi akazaa wana katika Hebroni.+ Muzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni+ kupitia Ahinoamu+ wa Yezreeli. 3 Wake wa pili alikuwa Kileabu kupitia Abigaili+ mujane wa Nabali Mukarmeli; na wa tatu (3) alikuwa Absalomu+ mwana wa Maaka, binti ya Talmai+ mufalme wa Geshuri. 4 Wa ine (4) alikuwa Adoniya+ mwana wa Hagiti, na wa tano (5) alikuwa Shefatia mwana wa Abitali. 5 Wa sita (6) alikuwa Itreamu kupitia Egla bibi ya Daudi. Hao ndio Daudi alizaa katika Hebroni.

6 Wakati vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi ilikuwa inaendelea, Abneri+ aliendelea kutia nguvu cheo chake katika nyumba ya Sauli. 7 Sasa Sauli alikuwa na suria* mwenye jina lake lilikuwa Rispa,+ binti ya Aya. Kisha wakati fulani Ish-bosheti+ akamuambia Abneri: “Sababu gani ulilala na suria wa baba yangu?”+ 8 Abneri akakasirika sana kwa sababu ya maneno ya Ish-bosheti na akasema: “Je, mimi ni kichwa cha imbwa kutoka Yuda? Mupaka leo hii, nimeonyesha upendo mushikamanifu kuelekea nyumba ya Sauli baba yako na ndugu zake na marafiki wake, na sijakusaliti kwa kukutia katika mukono wa Daudi; lakini leo unaniomba nitoe hesabu kwa sababu ya kosa lenye linahusu mwanamuke. 9 Mungu na amufanyie Abneri vile na aongeze juu ya hilo kama simufanyie Daudi kama vile Yehova alimuapia:+ 10 kwamba atahamisha ufalme kutoka katika nyumba ya Sauli na kutia kiti cha ufalme cha Daudi juu ya Israeli na juu ya Yuda, kuanzia Dani mupaka Beer-sheba.”+ 11 Ish-bosheti hakuweza kusema hata neno moja la zaidi ili kumujibu Abneri, kwa sababu alimuogopa.+

12 Mara moja Abneri akatuma wajumbe kwa Daudi, na kusema: “Inchi hii ni ya nani?” Akaongeza: “Fanya agano pamoja na mimi, na mimi nitafanya jambo lolote lenye ninaweza* ili kugeuza Israeli wote wakuwe upande wako.”+ 13 Basi Daudi akajibu: “Muzuri! Nitafanya agano pamoja na wewe. Lakini jambo tu lenye ninakuomba ni kwamba usipime kuona uso wangu kama haumulete kwanza Mikali,+ binti ya Sauli, wakati utakuja kuniona.’” 14 Kisha Daudi akatuma wajumbe kwa Ish-bosheti,+ mwana wa Sauli, na kusema: “Unipatie bibi yangu Mikali, mwenye nilichumbia kwa magovi* mia moja (100) ya Wafilisti.”+ 15 Kwa hiyo Ish-bosheti akatuma watu wamuchukue Mikali kutoka kwa bwana yake, Paltieli+ mwana wa Laishi. 16 Lakini bwana yake akaenda pamoja naye, akamufuata akilia mupaka Bahurimu.+ Kisha Abneri akamuambia: “Uende, urudie!” Basi akarudia.

17 Wakati huo, Abneri akatuma ujumbe kwa wazee wa Israeli, akisema: “Wakati fulani mulitaka Daudi akuwe mufalme juu yenu. 18 Sasa muchukue hatua, kwa maana Yehova alimuambia Daudi:+ ‘Kwa mukono wa mutumishi wangu Daudi nitaokoa watu wangu Israeli katika mukono wa Wafilisti na katika mukono wa maadui wao wote.’” 19 Basi Abneri akazungumuza na watu wa Benyamini.+ Pia, Abneri akaenda kuzungumuza na Daudi kwa uficho kule Hebroni ili kumuambia mambo yenye Israeli na nyumba yote ya Benyamini walikuwa wamekubaliana.

20 Wakati Abneri alifika kwa Daudi kule Hebroni pamoja na watu makumi mbili (20), Daudi akafanya karamu kwa ajili ya Abneri na kwa ajili ya watu wenye walikuwa pamoja naye. 21 Kisha Abneri akamuambia Daudi: “Acha niende na nikusanye pamoja Israeli wote kwa bwana wangu mufalme, ili wafanye agano pamoja na wewe, na utakuwa mufalme juu ya kila kitu chenye unatamani.”* Kwa hiyo Daudi akamuacha Abneri aende, na akaenda zake kwa amani.

22 Wakati huo, watumishi wa Daudi na pia Yoabu walirudia kisha kushambulia, walirudia na vitu vingi vyenye vilichukuliwa katika vita. Abneri hakukuwa tena pamoja na Daudi kule Hebroni, kwa maana alikuwa amemuacha aende zake kwa amani. 23 Wakati Yoabu+ na jeshi lote lenye lilikuwa pamoja naye walifika, Yoabu aliambiwa: “Abneri+ mwana wa Neri+ alikuja kwa mufalme, na akamuacha aende zake, na Abneri akaenda zake kwa amani.” 24 Kwa hiyo Yoabu akaingia kwa mufalme na kusema: “Umefanya nini? Abneri alikuja kwako. Sababu gani ulimuacha aende zake na hivyo akaweza kutoroka? 25 Unamujua Abneri mwana wa Neri! Alikuja hapa kukudanganya na kuchunguza kila hatua yako na kujua kila jambo lenye unafanya.”

26 Kwa hiyo Yoabu akamuacha Daudi na akatuma wajumbe ili wamufuatilie Abneri, na wakamukuta kwenye tangi la Sira na kumurudisha; lakini Daudi hakujua lolote kuhusu jambo hilo. 27 Wakati Abneri alirudia Hebroni,+ Yoabu akamupeleka pembeni ndani ya mulango mukubwa ili azungumuze naye kwa siri. Lakini, Yoabu akamutoboa katika tumbo, na akakufa;+ kwa sababu alimuua* Asaheli ndugu yake.+ 28 Wakati Daudi alisikia kuhusu jambo hilo kisha wakati fulani, alisema: “Mimi na ufalme wangu hatuna hatia milele mbele ya Yehova+ kwa sababu ya damu ya Abneri mwana wa Neri. 29 Irudie juu ya kichwa cha Yoabu+ na juu ya nyumba yote ya baba yake. Nyumba ya Yoabu isikose hata siku moja kuwa na mwanaume mwenye kuwa na mutiririko+ ao mutu mwenye ukoma+ ao mwanaume mwenye kutumika kwenye kipande cha muti cha kusukia uzi* ao mutu mwenye kuanguka kwa upanga ao mutu mwenye kuhitaji chakula!”+ 30 Kwa hiyo Yoabu na Abishai+ ndugu yake walimuua Abneri+ kwa sababu alikuwa amemuua Asaheli ndugu yao katika vita+ kule Gibeoni.

31 Kisha Daudi akamuambia Yoabu na watu wote wenye walikuwa pamoja naye: “Mupasue nguo zenu na muvae nguo za magunia na mumuombolezee Abneri.” Mufalme Daudi mwenyewe alikuwa anatembea nyuma ya kitanda cha kubebea maiti. 32 Walimuzika Abneri kule Hebroni; na mufalme akalia kwa sauti kubwa kwenye kaburi la Abneri, na watu wote wakalia. 33 Mufalme akamuimbia Abneri na kusema:

“Je, ilifaa Abneri akufe kifo cha mutu mwenye hana akili?

34 Mikono yako haikukuwa imefungwa,

Na miguu yako haikukuwa katika pingu.*

Ulianguka kama vile mutu mwenye anaanguka mbele ya watenda-mabaya.”*+

Basi watu wote wakamulia tena.

35 Kisha wakati fulani watu wote wakakuja kumupatia Daudi mukate wa faraja* wakati ilikuwa ingali muchana, lakini Daudi akaapa: “Mungu anifanyie vile na aongeze juu ya hilo kama nitaonja mukate ao kitu kingine chochote mbele ya jua kushuka!”+ 36 Watu wote wakaona jambo hilo, na likawapendeza. Kama vile ilikuwa kuhusu kila jambo lenye mufalme alifanya, jambo hilo lilipendeza watu wote. 37 Kwa hiyo watu wote na Israeli wote wakajua siku hiyo kwamba haiko mufalme ndiye alifanya Abneri mwana wa Neri auawe.+ 38 Kisha mufalme akaambia watumishi wake: “Je, hamujue kwamba mukubwa na mutu wa maana sana ameanguka leo katika Israeli?+ 39 Niko muzaifu leo, hata kama nimetiwa mafuta ili kuwa mufalme,+ na watu hawa, wana wa Seruya,+ wananitendea bila huruma.+ Yehova amulipe mutenda maovu kulingana na uovu wake mwenyewe.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine