Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Samweli

      • Daudi anamuonyesha Mefibosheti upendo mushikamanifu (1-13)

2 Samweli 9:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 18:1, 3; 20:15, 42

2 Samweli 9:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 16:1; 19:17

2 Samweli 9:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 4:4; 9:13; 19:26

2 Samweli 9:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eko.”

  • *

    Ao “Eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 17:27-29

2 Samweli 9:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mukate.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 11:17
  • +2 Sa. 19:28; Mez. 11:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2002, uku. 19

2 Samweli 9:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uso.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:14

2 Samweli 9:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 9:1; 16:4; 19:29

2 Samweli 9:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 19:28
  • +2 Sa. 19:17

2 Samweli 9:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “meza yangu.”

2 Samweli 9:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 8:34; 9:40

2 Samweli 9:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 9:7; 19:28
  • +2 Sa. 4:4

Maandiko ingine

2 Sam. 9:11 Sa. 18:1, 3; 20:15, 42
2 Sam. 9:22 Sa. 16:1; 19:17
2 Sam. 9:32 Sa. 4:4; 9:13; 19:26
2 Sam. 9:42 Sa. 17:27-29
2 Sam. 9:7Mez. 11:17
2 Sam. 9:72 Sa. 19:28; Mez. 11:25
2 Sam. 9:81 Sa. 24:14
2 Sam. 9:92 Sa. 9:1; 16:4; 19:29
2 Sam. 9:102 Sa. 19:28
2 Sam. 9:102 Sa. 19:17
2 Sam. 9:121Nya 8:34; 9:40
2 Sam. 9:132 Sa. 9:7; 19:28
2 Sam. 9:132 Sa. 4:4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Samweli 9:1-13

Cha Pili cha Samweli

9 Kisha Daudi akasema: “Je, kungali mutu fulani wa nyumba ya Sauli mwenye ninaweza kuonyesha upendo mushikamanifu kwa ajili ya Yonatani?”+ 2 Sasa kulikuwa mutumishi wa nyumba ya Sauli mwenye aliitwa Siba.+ Kwa hiyo wakamuita akuje kwa Daudi, na mufalme akamuuliza: “Wewe ni Siba?” Akajibu: “Mimi ni mutumishi wako.” 3 Mufalme akaendelea kusema: “Je, kungali mutu fulani wa nyumba ya Sauli mwenye ninaweza kuonyesha upendo mushikamanifu wa Mungu?” Siba akamujibu mufalme: “Kungali mwana mumoja wa Yonatani; ni kilema wa miguu yote mbili.”+ 4 Mufalme akamuuliza: “Iko* wapi?” Siba akamujibu mufalme: “Iko* katika nyumba ya Makiri+ mwana wa Amieli kule Lo-debari.”

5 Mara moja Mufalme Daudi akamuitisha na akamutosha katika nyumba ya Makiri mwana wa Amieli kule Lo-debari. 6 Wakati Mefibosheti mwana wa Yonatani mwana wa Sauli alifika mbele ya Daudi, mara moja akaanguka uso chini na kuinama uso chini. Kisha Daudi akasema: “Mefibosheti!” naye akajibu: “Mimi huyu mutumishi wako.” 7 Daudi akamuambia: “Usiogope, kwa maana hakika nitakuonyesha upendo mushikamanifu+ kwa ajili ya Yonatani baba yako, na nitakurudishia udongo wote wa Sauli babu yako, na utakula chakula* kwenye meza yangu sikuzote.”+

8 Basi akainama uso chini na kusema: “Mutumishi wako ni nani, hivi kwamba umegeuza uangalifu* wako kuelekea imbwa mwenye kufa+ kama mimi?” 9 Sasa mufalme akamuitisha Siba, mutumishi wa Sauli, na akamuambia: “Kila kitu chenye kilikuwa cha Sauli na cha nyumba yake yote ninamupatia mujukuu wa bwana wako.+ 10 Utalima udongo kwa ajili yake⁠—​wewe na wana wako na watumishi wako⁠—​na mutakusanya mavuno ya udongo huo ili watu wa mujukuu wa bwana wako wapate chakula. Lakini Mefibosheti, mujukuu wa bwana wako, atakula chakula kwenye meza yangu sikuzote.”+

Sasa Siba alikuwa na wana kumi na tano (15) na watumishi makumi mbili (20).+ 11 Basi Siba akamuambia mufalme: “Mutumishi wako atafanya mambo yote yenye bwana wangu mufalme anaamuru mutumishi wake afanye.” Kwa hiyo Mefibosheti akakuwa anakula kwenye meza ya Daudi* kama mumoja wa wana wa mufalme.” 12 Sasa Mefibosheti pia alikuwa na kijana mwanaume mwenye aliitwa Mika;+ na watu wote wenye waliishi katika nyumba ya Siba wakakuwa watumishi wa Mefibosheti. 13 Na Mefibosheti aliishi Yerusalemu, kwa maana sikuzote alikula kwenye meza ya mufalme;+ na alikuwa kilema wa miguu yote mbili.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine