Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wafalme

      • Mapatano ya Yehoshafati pamoja na Ahabu (1-12)

      • Mikaya anatabiri kushindwa (13-28)

        • Roho ya udanganyifu ili kumudanganya Ahabu (21, 22)

      • Ahabu anauawa kule Ramoti-gileadi (29-40)

      • Utawala wa Yehoshafati juu ya Yuda (41-50)

      • Ahazia mufalme wa Israeli (51-53)

1 Wafalme 22:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:24
  • +2Nya 18:2, 3

1 Wafalme 22:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 20:8, 9; 1 Fal. 4:7, 13

1 Wafalme 22:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 3:7; 2Nya 19:2

1 Wafalme 22:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 27:21
  • +2Nya 18:4, 5

1 Wafalme 22:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 3:11; 2Nya 18:6, 7

1 Wafalme 22:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 18:4
  • +1 Fal. 21:20; 2Nya 36:16
  • +Isa 30:9, 10; Yer 38:4

1 Wafalme 22:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 18:8-11

1 Wafalme 22:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 13:2, 3

1 Wafalme 22:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utasukuma.”

1 Wafalme 22:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 18:12-16

1 Wafalme 22:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15, 25

1 Wafalme 22:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 18:17

1 Wafalme 22:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 6:1; Eze 1:26
  • +2Nya 18:18-22; Yob 1:6; Da. 7:9, 10; Mt 18:10; Ufu 5:11

1 Wafalme 22:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “malaika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 104:4; Ebr 1:7, 14

1 Wafalme 22:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:6

1 Wafalme 22:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 14:9
  • +1 Fal. 20:42

1 Wafalme 22:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 18:23-27

1 Wafalme 22:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 11:32, 36

1 Wafalme 22:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 16:28, 29

1 Wafalme 22:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 18:28-32

1 Wafalme 22:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 35:22

1 Wafalme 22:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 20:1

1 Wafalme 22:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bila nia ya mubaya.”

  • *

    Tnn., “kambi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 18:33, 34

1 Wafalme 22:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 20:42

1 Wafalme 22:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:17

1 Wafalme 22:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “mahali penye makahaba waliogea, imbwa walilambula damu yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 21:18, 19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2014, uku. 15

1 Wafalme 22:39

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba ya kifalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:22; Eze 27:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 149

1 Wafalme 22:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:28
  • +2 Fal. 1:2; 2Nya 20:35

1 Wafalme 22:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 3:10; 2Nya 17:1; 20:31; Mt 1:8

1 Wafalme 22:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:11; 2Nya 14:11; 15:8
  • +2Nya 17:3
  • +Kum 12:14; 1 Fal. 14:23; 15:14

1 Wafalme 22:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 18:1; 19:2

1 Wafalme 22:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 23:17, 18; 1 Fal. 14:24
  • +1 Fal. 15:11, 12

1 Wafalme 22:47

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:1, 9
  • +2 Sa. 8:14; 2 Fal. 8:20-22; Zab 108:9

1 Wafalme 22:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua za maji; bateaux.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:22
  • +1 Fal. 9:26; 2Nya 20:35-37

1 Wafalme 22:49

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua za maji; bateaux.”

1 Wafalme 22:50

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:10
  • +2 Fal. 8:16; 2Nya 21:1, 5

1 Wafalme 22:51

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 1:2

1 Wafalme 22:52

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:30
  • +1 Fal. 21:25
  • +1 Fal. 12:28-30; 13:33

1 Wafalme 22:53

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:31, 32; 2 Fal. 1:2
  • +Kut 20:3; 34:14

Maandiko ingine

1 Fa. 22:21 Fal. 15:24
1 Fa. 22:22Nya 18:2, 3
1 Fa. 22:3Yosh. 20:8, 9; 1 Fal. 4:7, 13
1 Fa. 22:42 Fal. 3:7; 2Nya 19:2
1 Fa. 22:5Hes 27:21
1 Fa. 22:52Nya 18:4, 5
1 Fa. 22:72 Fal. 3:11; 2Nya 18:6, 7
1 Fa. 22:81 Fal. 18:4
1 Fa. 22:81 Fal. 21:20; 2Nya 36:16
1 Fa. 22:8Isa 30:9, 10; Yer 38:4
1 Fa. 22:92Nya 18:8-11
1 Fa. 22:10Eze 13:2, 3
1 Fa. 22:132Nya 18:12-16
1 Fa. 22:17Kum 28:15, 25
1 Fa. 22:182Nya 18:17
1 Fa. 22:19Isa 6:1; Eze 1:26
1 Fa. 22:192Nya 18:18-22; Yob 1:6; Da. 7:9, 10; Mt 18:10; Ufu 5:11
1 Fa. 22:21Zab 104:4; Ebr 1:7, 14
1 Fa. 22:221 Fal. 22:6
1 Fa. 22:23Eze 14:9
1 Fa. 22:231 Fal. 20:42
1 Fa. 22:242Nya 18:23-27
1 Fa. 22:27Ebr 11:32, 36
1 Fa. 22:28Hes 16:28, 29
1 Fa. 22:292Nya 18:28-32
1 Fa. 22:302Nya 35:22
1 Fa. 22:311 Fal. 20:1
1 Fa. 22:342Nya 18:33, 34
1 Fa. 22:351 Fal. 20:42
1 Fa. 22:361 Fal. 22:17
1 Fa. 22:381 Fal. 21:18, 19
1 Fa. 22:391 Fal. 10:22; Eze 27:15
1 Fa. 22:401 Fal. 16:28
1 Fa. 22:402 Fal. 1:2; 2Nya 20:35
1 Fa. 22:411Nya 3:10; 2Nya 17:1; 20:31; Mt 1:8
1 Fa. 22:431 Fal. 15:11; 2Nya 14:11; 15:8
1 Fa. 22:432Nya 17:3
1 Fa. 22:43Kum 12:14; 1 Fal. 14:23; 15:14
1 Fa. 22:442Nya 18:1; 19:2
1 Fa. 22:46Kum 23:17, 18; 1 Fal. 14:24
1 Fa. 22:461 Fal. 15:11, 12
1 Fa. 22:47Mwa 36:1, 9
1 Fa. 22:472 Sa. 8:14; 2 Fal. 8:20-22; Zab 108:9
1 Fa. 22:481 Fal. 10:22
1 Fa. 22:481 Fal. 9:26; 2Nya 20:35-37
1 Fa. 22:501 Fal. 2:10
1 Fa. 22:502 Fal. 8:16; 2Nya 21:1, 5
1 Fa. 22:512 Fal. 1:2
1 Fa. 22:521 Fal. 16:30
1 Fa. 22:521 Fal. 21:25
1 Fa. 22:521 Fal. 12:28-30; 13:33
1 Fa. 22:531 Fal. 16:31, 32; 2 Fal. 1:2
1 Fa. 22:53Kut 20:3; 34:14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wafalme 22:1-53

Cha Kwanza cha Wafalme

22 Kwa miaka tatu (3) hapakukuwa vita kati ya Siria na Israeli. 2 Katika mwaka wa tatu (3) Mufalme Yehoshafati+ wa Yuda akashuka kuenda kwa mufalme wa Israeli.+ 3 Kisha mufalme wa Israeli akaambia watumishi wake: “Je, munajua kwamba Ramoti-gileadi+ ni muji wetu? Na bado tunasita-sita kuukamata tena kutoka kwa mufalme wa Siria.” 4 Halafu akaambia Yehoshafati: “Je, utaenda pamoja na mimi kupigana kule Ramoti-gileadi?” Yehoshafati akamujibu mufalme wa Israeli: “Mimi ni kama wewe. Watu wangu ni kama watu wako. Farasi zangu ni kama farasi zako.”+

5 Lakini Yehoshafati akamuambia mufalme wa Israeli: “Tafazali, uliza kwanza+ neno la Yehova.”+ 6 Kwa hiyo mufalme wa Israeli akakusanya pamoja manabii, wanaume karibu mia ine (400), na akawaambia: “Je, niende kupigana vita na Ramoti-gileadi, ao nisiende?” Wakasema: “Panda uende, na Yehova ataitia katika mukono wa mufalme.”

7 Kisha Yehoshafati akasema: “Je, hapa hakuna nabii wa Yehova? Acha tuulize pia kupitia yeye.”+ 8 Halafu mufalme wa Israeli akamuambia Yehoshafati: “Kungali mutu mumoja mwenye kupitia yeye tunaweza kumuuliza Yehova;+ lakini ninamuchukia,+ kwa maana hatabiri hata kidogo mambo ya muzuri juu yangu, ya mubaya tu.+ Yeye ni Mikaya mwana wa Imla.” Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mufalme asiseme jambo kama hilo.”

9 Basi mufalme wa Israeli akamuita ofisa mumoja wa makao ya mufalme na kusema: “Leta haraka Mikaya mwana wa Imla.”+ 10 Sasa mufalme wa Israeli na Yehoshafati mufalme wa Yuda walikuwa wamekaa kila mumoja kwenye kiti chake cha ufalme, akiwa amevaa nguo za kifalme, katika kiwanja cha kupigia-pigia nafaka kwenye muingilio wa mulango mukubwa wa Samaria, na manabii wote walikuwa wanatabiri mbele yao.+ 11 Kisha Sedekia mwana wa Kenaana akajitengenezea pembe za chuma na kusema: “Yehova anasema hivi: ‘Kwa kutumia pembe hizi utapiga* Wasiria mupaka utawaharibu kabisa.’” 12 Wale manabii wengine wote walikuwa wanatabiri kwa njia ileile, wakisema: “Panda uende Ramoti-gileadi na utapata matokeo ya muzuri; Yehova ataitia katika mukono wa mufalme.”

13 Basi mujumbe mwenye alienda kumuita Mikaya akamuambia: “Angalia! Maneno ya manabii wote pamoja ni ya muzuri kwa mufalme. Tafazali, acha neno lako likuwe kama maneno yao, na useme mambo ya muzuri.”+ 14 Lakini Mikaya akasema: “Kama vile hakika Yehova anaishi, jambo lolote lenye Yehova ataniambia, hilo ndilo nitasema.” 15 Kisha akaingia kwa mufalme, na mufalme akamuuliza: “Mikaya, je, tuende kupigana vita na Ramoti-gileadi, ao tusiende?” Mara moja akajibu: “Panda uende na utapata matokeo ya muzuri; Yehova ataitia katika mukono wa mufalme.” 16 Halafu mufalme akamuambia: “Ninapaswa kukuapisha mara ngapi kwamba usiniambie jambo lolote isipokuwa kweli katika jina la Yehova?” 17 Basi akasema: “Ninaona Waisraeli wote wakiwa wametawanyika kwenye milima,+ kama kondoo wenye hawana muchungaji. Yehova akasema: ‘Hawa hawana bwana. Kila mumoja wao arudie kwenye nyumba yake kwa amani.’”

18 Kisha mufalme wa Israeli akamuambia Yehoshafati: “Je, sikukuambia, ‘Hatatabiri mambo ya muzuri juu yangu, ya mubaya tu’?”+

19 Kisha Mikaya akasema: “Basi, sikia neno la Yehova: Nilimuona Yehova akiwa amekaa kwenye kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama pembeni yake, upande wake wa kuume na upande wake wa kushoto.+ 20 Kisha Yehova akasema, ‘Ni nani mwenye atamudanganya Ahabu, ili apande na kuanguka kule Ramoti-gileadi?’ Na mumoja alikuwa anasema jambo moja lakini mwingine alikuwa anasema jambo lingine. 21 Kisha roho* fulani+ akakuja na kusimama mbele ya Yehova na kusema, ‘Mimi nitamudanganya.’ Yehova akamuuliza, ‘Utafanya vile namna gani?’ 22 Akajibu, ‘Nitaenda na kuwa roho ya udanganyifu katika kinywa cha manabii wake wote.’+ Kwa hiyo akasema, ‘Utamudanganya, na zaidi ya hilo, utapata matokeo ya muzuri. Uende na ufanye vile.’ 23 Na sasa Yehova ametia roho ya udanganyifu katika kinywa cha hawa manabii wako wote,+ lakini Yehova ametangaza musiba juu yako.”+

24 Sasa Sedekia mwana wa Kenaana akamukaribia Mikaya na kumupiga kwenye shavu na kusema: “Roho ya Yehova ilipita njia gani kutoka kwangu ili iseme na wewe?”+ 25 Mikaya akajibu: “Angalia! Utaona ni njia gani katika siku yenye utaingia katika chumba cha ndani kabisa ili kujificha.” 26 Kisha mufalme wa Israeli akasema: “Kamata Mikaya na umupeleke kwa Amoni mukubwa wa muji na kwa Yoashi mwana wa mufalme. 27 Uwaambie, ‘Mufalme anasema hivi: “Mutie mutu huyu katika gereza+ na mumulishe kwa kiasi chenye kupunguzwa cha mukate na maji mupaka wakati nitarudia kwa amani.”’” 28 Lakini Mikaya akasema: “Kama unarudia kwa amani, Yehova hakusema na mimi.”+ Kisha akaongezea: “Mukuwe waangalifu, ninyi watu wote.”

29 Basi mufalme wa Israeli na Yehoshafati mufalme wa Yuda wakapanda kuenda Ramoti-gileadi.+ 30 Sasa mufalme wa Israeli akamuambia Yehoshafati: “Nitajibadilisha sura na nitaingia katika pigano, lakini wewe uvae nguo zako za kifalme.” Kwa hiyo mufalme wa Israeli akajibadilisha sura+ na akaingia katika pigano. 31 Sasa mufalme wa Siria alikuwa ameamuru hivi makamanda wake makumi tatu na mbili (32) wa magari:+ “Musipigane na mutu yeyote, mudogo ao mukubwa, isipokuwa mufalme wa Israeli.” 32 Na wakati tu makamanda wa magari walimuona Yehoshafati, wakasema: “Hakika ni mufalme wa Israeli.” Basi wakageuka ili kupigana naye; na Yehoshafati akaanza kulilia musaada. 33 Wakati makamanda hao wa magari waliona kwamba haikukuwa mufalme wa Israeli, mara moja wakageuka na kuacha kumufuata.

34 Lakini mutu fulani alipiga upinde wake bila kukusudia,* na akamupiga mufalme wa Israeli katikati ya viungio vya koti yake ya chuma. Basi mufalme akamuambia muendesha-gari wake: “Geuka na unitoshe katika pigano,* kwa maana nimeumizwa mubaya.”+ 35 Pigano likakuwa kali sana siku hiyo yote, na mufalme akasimamishwa katika gari, kuelekeana na Wasiria. Damu ya kidonda hicho ikamwangika ndani ya gari la vita, na akakufa mangaribi.+ 36 Karibu na wakati wa kushuka kwa jua sauti ikapita katika kambi, ikisema: “Kila mutu aende katika muji wake! Kila mutu aende katika inchi yake!”+ 37 Basi mufalme akakufa, na akaletwa Samaria; wakamuzika mufalme katika Samaria. 38 Wakati walisafisha gari hilo la vita pembeni ya kiziwa cha maji cha Samaria, imbwa walilambula damu yake na makahaba waliogea pale,* kulingana na neno lenye Yehova alikuwa amesema.+

39 Na mambo mengine ya historia ya Ahabu, mambo yote yenye alifanya na ile nyumba* ya pembe za tembo+ yenye alijenga na miji yote yenye alijenga, je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli? 40 Kisha Ahabu akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake;+ na Ahazia mwana wake+ akakuwa mufalme pa nafasi yake.

41 Yehoshafati+ mwana wa Asa alikuwa amewekwa kuwa mufalme juu ya Yuda katika mwaka wa ine (4) wa Mufalme Ahabu wa Israeli. 42 Yehoshafati alikuwa na miaka makumi tatu na tano (35) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi mbili na tano (25) katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Azuba binti ya Shilhi. 43 Aliendelea kutembea katika njia yote ya Asa+ baba yake. Hakugeuka kutoka katika njia hiyo, na alifanya yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova.+ Lakini, mahali pa juu hapakuondolewa, na watu walikuwa wangali wanatoa zabihu na kuchoma zabihu ili zitoe moshi mahali pa juu.+ 44 Yehoshafati aliendelea kuwa na uhusiano wa amani pamoja na mufalme wa Israeli.+ 45 Na mambo mengine ya historia ya Yehoshafati, matendo yake makubwa yenye nguvu na namna alipigana vita, je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 46 Pia alitosha kabisa katika inchi wanaume wote makahaba wa hekalu+ wenye walikuwa wamebakia katika siku za Asa baba yake.+

47 Kisha hapakukuwa mufalme katika Edomu;+ musaidizi ndiye alikuwa anatumika kama mufalme.+

48 Yehoshafati akatengeneza pia mashua* za Tarshishi* za kuenda Ofiri kwa ajili ya zahabu, + lakini hazikuenda kwa sababu mashua hizo zilivunjika kule Esion-geberi.+ 49 Ni wakati huo ndio Ahazia mwana wa Ahabu alimuambia Yehoshafati: “Acha watumishi wangu waende pamoja na watumishi wako katika mashua* hizo,” lakini Yehoshafati hakukubali.

50 Kisha Yehoshafati akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake+ na akazikwa pamoja na mababu zake katika Muji wa Daudi babu yake; na Yehoramu+ mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.

51 Ahazia+ mwana wa Ahabu akakuwa mufalme juu ya Israeli katika Samaria katika mwaka wa kumi na saba (17) wa Mufalme Yehoshafati wa Yuda, na alitawala juu ya Israeli kwa miaka mbili. 52 Na aliendelea kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova na kutembea katika njia ya baba yake+ na mama yake+ na katika njia ya Yeroboamu mwana wa Nebati, mwenye alifanya Israeli watende zambi.+ 53 Aliendelea kumutumikia Baali+ na kumuinamia na aliendelea kumukasirisha Yehova Mungu wa Israeli,+ kama vile baba yake alikuwa amefanya.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine