Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Kifo cha Sauli na wana wake (1-14)

1 Mambo ya Nyakati 10:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 31:1-5; 2 Sa. 1:21, 25

1 Mambo ya Nyakati 10:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 8:33

1 Mambo ya Nyakati 10:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 26:9, 10

1 Mambo ya Nyakati 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mubaya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 16:21, 23
  • +1Nya 10:13

1 Mambo ya Nyakati 10:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 31:6, 7

1 Mambo ya Nyakati 10:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eneo tambarare la chini.”

1 Mambo ya Nyakati 10:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 28:4; 31:8-10

1 Mambo ya Nyakati 10:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 16:23, 24

1 Mambo ya Nyakati 10:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hekalu la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 5:2

1 Mambo ya Nyakati 10:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 11:1
  • +1 Sa. 31:11-13

1 Mambo ya Nyakati 10:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:5; 21:12

1 Mambo ya Nyakati 10:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 13:13; 15:22, 23
  • +Law. 20:6; 1 Sa. 28:7

1 Mambo ya Nyakati 10:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ru 4:17; 1 Sa. 13:14; 15:27, 28; 2 Sa. 5:3

Maandiko ingine

1 Nya. 10:11 Sa. 31:1-5; 2 Sa. 1:21, 25
1 Nya. 10:21Nya 8:33
1 Nya. 10:31 Sa. 26:9, 10
1 Nya. 10:4Amu 16:21, 23
1 Nya. 10:41Nya 10:13
1 Nya. 10:61 Sa. 31:6, 7
1 Nya. 10:81 Sa. 28:4; 31:8-10
1 Nya. 10:9Amu 16:23, 24
1 Nya. 10:101 Sa. 5:2
1 Nya. 10:111 Sa. 11:1
1 Nya. 10:111 Sa. 31:11-13
1 Nya. 10:122 Sa. 2:5; 21:12
1 Nya. 10:131 Sa. 13:13; 15:22, 23
1 Nya. 10:13Law. 20:6; 1 Sa. 28:7
1 Nya. 10:14Ru 4:17; 1 Sa. 13:14; 15:27, 28; 2 Sa. 5:3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 10:1-14

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

10 Sasa Wafilisti walikuwa wanapigana na Israeli. Na watu wa Israeli wakakimbia kutoka mbele ya Wafilisti, na wengi wakaanguka wakiwa wameuawa kwenye Mulima Gilboa.+ 2 Wafilisti wakamukaribia sana Sauli na wana wake, na Wafilisti wakamupiga na kumuua Yonatani, Abinadabu, na Malki-shua,+ wana wa Sauli. 3 Pigano likakuwa kali sana juu ya Sauli, na wapiga-mishale wakamupata, na wapiga-mishale hao wakamuumiza.+ 4 Kisha Sauli akamuambia mubeba-silaha wake: “Chomoa upanga wako unitoboe nao, ili watu hawa wenye hawatahiriwe wasikuje na kunitendea bila huruma.”*+ Lakini mubeba-silaha wake hakutaka, kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akakamata upanga na kuuangukia.+ 5 Wakati mubeba-silaha wake aliona kwamba Sauli amekufa, yeye pia akaangukia upanga wake mwenyewe na akakufa. 6 Basi Sauli na wana wake watatu (3) wakakufa, na watu wote wa nyumba yake wakakufa pamoja.+ 7 Wakati watu wote wa Israeli katika bonde* waliona kwamba kila mutu alikuwa amekimbia na kwamba Sauli na wana wake walikuwa wamekufa, wakaanza kuacha miji yao na kukimbia; kisha Wafilisti wakakuja na kukaa ndani.

8 Siku yenye ilifuata, wakati Wafilisti walikuja kuondoa vitu kwenye miili ya wale wenye waliuawa, walikuta Sauli na wana wake wakiwa wameanguka kwenye Mulima Gilboa.+ 9 Basi wakaondoa vitu kwenye mwili wake na kuondoa kichwa chake na silaha zake, na wakatuma ujumbe katika inchi yote ya Wafilisti ili kueneza habari hiyo kwa sanamu zao+ na kwa watu. 10 Kisha wakatia silaha zake katika nyumba ya* mungu wao na wakafungia mufupa wake wa kichwa kwenye nyumba ya Dagoni.+

11 Wakati watu wote wa Yabeshi+ katika Gileadi walisikia mambo yote yenye Wafilisti walikuwa wamemutendea Sauli,+ 12 wapiganaji-vita wote wakasimama na kubeba maiti ya Sauli na maiti za wana wake. Wakawaleta Yabeshi na kuzika mifupa yao chini ya muti mukubwa katika Yabeshi,+ na wakafunga kwa siku saba (7).

13 Basi Sauli akakufa kwa sababu ya ukosefu wa uaminifu wenye alionyesha kumuelekea Yehova kwa sababu hakutii neno la Yehova,+ pia kwa sababu ya kutafuta shauri kutoka kwa mutu mwenye kupashana habari na pepo wachafu+ 14 kuliko kumuuliza Yehova. Kwa hiyo Yeye akamuua na kumupatia Daudi mwana wa Yese ufalme.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine