Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Daudi anawekwa kuwa mufalme (1, 2)

      • Familia ya Daudi (3-7)

      • Wafilisti wanashindwa (8-17)

1 Mambo ya Nyakati 14:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wajenzi wa kuta.”

  • *

    Ao “nyumba ya kifalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 5:6, 8
  • +2 Sa. 5:11, 12

1 Mambo ya Nyakati 14:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 89:20, 21
  • +2 Sa. 7:8

1 Mambo ya Nyakati 14:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:17
  • +2 Sa. 5:13-16

1 Mambo ya Nyakati 14:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 3:5-9
  • +Lu 3:23, 31
  • +1 Fal. 1:47; Mt 1:6

1 Mambo ya Nyakati 14:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 11:3
  • +2 Sa. 5:17; Zab 2:2

1 Mambo ya Nyakati 14:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eneo Tambarare la Chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:18, 22; 23:13

1 Mambo ya Nyakati 14:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:19-21

1 Mambo ya Nyakati 14:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Bwana Mwenye Kufanya Mupasuko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 28:21

1 Mambo ya Nyakati 14:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:25

1 Mambo ya Nyakati 14:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eneo tambarare la chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:22-25

1 Mambo ya Nyakati 14:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 8:2; Zab 18:34

1 Mambo ya Nyakati 14:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 23:14; Amu 4:14

1 Mambo ya Nyakati 14:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 6:22; Kut 39:32
  • +Yosh. 16:10

1 Mambo ya Nyakati 14:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 2:25; 11:25; Yosh. 2:9

Maandiko ingine

1 Nya. 14:11 Fal. 5:6, 8
1 Nya. 14:12 Sa. 5:11, 12
1 Nya. 14:2Zab 89:20, 21
1 Nya. 14:22 Sa. 7:8
1 Nya. 14:3Kum 17:17
1 Nya. 14:32 Sa. 5:13-16
1 Nya. 14:41Nya 3:5-9
1 Nya. 14:4Lu 3:23, 31
1 Nya. 14:41 Fal. 1:47; Mt 1:6
1 Nya. 14:81Nya 11:3
1 Nya. 14:82 Sa. 5:17; Zab 2:2
1 Nya. 14:92 Sa. 5:18, 22; 23:13
1 Nya. 14:102 Sa. 5:19-21
1 Nya. 14:11Isa 28:21
1 Nya. 14:12Kum 7:25
1 Nya. 14:132 Sa. 5:22-25
1 Nya. 14:14Yosh. 8:2; Zab 18:34
1 Nya. 14:15Kum 23:14; Amu 4:14
1 Nya. 14:16Mwa 6:22; Kut 39:32
1 Nya. 14:16Yosh. 16:10
1 Nya. 14:17Kum 2:25; 11:25; Yosh. 2:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 14:1-17

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

14 Mufalme Hiramu+ wa Tiro alituma wajumbe kwa Daudi, pamoja na mbao za mierezi, mafundi wa kujenga kwa majiwe,* na wafanyakazi wa miti ili wamujengee Daudi nyumba.*+ 2 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemuweka imara kabisa kuwa mufalme juu ya Israeli,+ kwa maana ufalme wake ulikuwa umeinuliwa sana kwa ajili ya watu Wake Israeli.+

3 Daudi alichukua bibi wengine zaidi+ katika Yerusalemu, na Daudi akazaa watoto wanaume na watoto wanamuke wengine zaidi.+ 4 Haya ndiyo majina ya watoto wake wenye walizaliwa Yerusalemu:+ Shamua, Shobabu, Natani,+ Sulemani,+ 5 Ibhari, Elishua, Elpeleti, 6 Noga, Nefegi, Yafia, 7 Elishama, Beeliada, na Elifeleti.

8 Wakati Wafilisti walisikia kwamba Daudi alikuwa ametiwa mafuta kuwa mufalme juu ya Israeli wote,+ Wafilisti wote wakapanda kuja kumutafuta Daudi.+ Wakati Daudi alisikia jambo hilo, akaenda kupigana nao. 9 Kisha Wafilisti wakaingia na wakaendelea kufanya mashambulizi katika Bonde* la Refaimu.+ 10 Daudi akamuuliza Mungu, kwa kusema: “Je, nipande kuenda kupigana na Wafilisti? Je, utawatia katika mukono wangu?” Halafu Yehova akamuambia: “Panda uende, na hakika nitawatia katika mukono wako.”+ 11 Basi Daudi akapanda kuenda Baal-perasimu,+ na akawapiga na kuwaua kule. Halafu Daudi akasema: “Mungu wa kweli amepasua njia katikati ya maadui wangu kupitia mukono wangu, kama njia yenye kupasuliwa na maji.” Ndiyo sababu waliita mahali pale Baal-perasimu.* 12 Wafilisti wakaacha miungu yao pale, na wakati Daudi alitoa amri, miungu hiyo iliteketezwa katika moto.+

13 Kisha wakati fulani Wafilisti wakafanya tena shambulizi katika bonde.*+ 14 Daudi akamuuliza tena Mungu, lakini Mungu wa kweli akamuambia: “Usipande moja kwa moja kuwafuatilia. Lakini, uzunguke nyuma yao, na uwashambulie mbele ya miti midogo-midogo ya mibaka.+ 15 Na wakati utasikia sauti ya mwendo juu ya miti midogo-midogo ya mibaka, fanya shambulizi lako, kwa maana Mungu wa kweli atakuwa ametoka kuenda mbele yako ili kupiga na kuua jeshi la Wafilisti.”+ 16 Basi Daudi akafanya kama vile Mungu wa kweli alimuamuru,+ na wakapiga na kuua jeshi la Wafilisti kuanzia Gibeoni mupaka Gezeri.+ 17 Na sifa ya Daudi ikaenea katika inchi zote, na Yehova akatia woga wake juu ya mataifa yote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine