Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 25
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Wapiga-muziki na waimbaji kwa ajili ya nyumba ya Mungu (1-31)

1 Mambo ya Nyakati 25:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 16:41, 42; 2Nya 5:11, 12; 35:15
  • +1 Sa. 10:5
  • +1Nya 15:16

1 Mambo ya Nyakati 25:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 16:41, 42
  • +1Nya 15:16, 18
  • +Efe 5:19

1 Mambo ya Nyakati 25:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 15:16, 19

1 Mambo ya Nyakati 25:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ili ainue pembe yake.”

1 Mambo ya Nyakati 25:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 13:8; 15:16; 16:5

1 Mambo ya Nyakati 25:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 16:33

1 Mambo ya Nyakati 25:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 25:1, 2
  • +1Nya 25:1, 3

1 Mambo ya Nyakati 25:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 25:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 25:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 25:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 25:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 25:1, 4

1 Mambo ya Nyakati 25:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 25:1, 4

1 Mambo ya Nyakati 25:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 25:1, 4

1 Mambo ya Nyakati 25:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 25:1, 4

Maandiko ingine

1 Nya. 25:11Nya 16:41, 42; 2Nya 5:11, 12; 35:15
1 Nya. 25:11 Sa. 10:5
1 Nya. 25:11Nya 15:16
1 Nya. 25:31Nya 16:41, 42
1 Nya. 25:31Nya 15:16, 18
1 Nya. 25:3Efe 5:19
1 Nya. 25:41Nya 15:16, 19
1 Nya. 25:61Nya 13:8; 15:16; 16:5
1 Nya. 25:8Mez. 16:33
1 Nya. 25:91Nya 25:1, 2
1 Nya. 25:91Nya 25:1, 3
1 Nya. 25:101Nya 25:1, 2
1 Nya. 25:121Nya 25:1, 2
1 Nya. 25:201Nya 25:1, 4
1 Nya. 25:291Nya 25:1, 4
1 Nya. 25:301Nya 25:1, 4
1 Nya. 25:311Nya 25:1, 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 25:1-31

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

25 Tena, Daudi na wakubwa wa vikundi vya utumishi waliweka pembeni wana fulani wa Asafu, Hemani, na Yedutuni+ ili watoe unabii wakiwa na vinubi, vyombo vya kamba,+ na matoazi.+ Haya ndiyo yalikuwa majina ya wanaume wenye vyeo wenye waliwekwa kwenye utumishi huo, 2 kati ya wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Netania, na Asharela, wana wa Asafu wenye walikuwa chini ya uongozi wa Asafu, mwenye alitoa unabii chini ya uongozi wa mufalme. 3 Kutoka kwa Yedutuni,+ wana wa Yedutuni: Gedalia, Zeri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matitia,+ sita (6), chini ya uongozi wa Yedutuni baba yao, mwenye alitoa unabii akiwa na kinubi, akimushukuru na kumusifu Yehova.+ 4 Kutoka kwa Hemani,+ wana wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, Yerimoti, Hanania, Hanani, Eliata, Gidalti, Romamti-ezeri, Yoshbekasha, Maloti, Hotiri, na Mahazioti. 5 Hao wote walikuwa wana wa Hemani, muonaji wa mufalme katika mambo yenye kuhusiana na Mungu wa kweli kwa ajili ya utukufu wake;* basi Mungu wa kweli alimupatia Hemani watoto wanaume kumi na ine (14) na watoto wanamuke watatu (3). 6 Hao wote walikuwa chini ya uongozi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji kwenye nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi, vyombo vya kamba, na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli.

Chini ya uongozi wa mufalme kulikuwa Asafu, Yedutuni, na Hemani.

7 Hesabu yao pamoja na ndugu zao wenye walizoezwa ili kumuimbia Yehova, wote wenye ujuzi, ilikuwa mia mbili makumi munane na munane (288). 8 Basi wakapiga kura+ kwa ajili ya kazi zao, mudogo sawa na mukubwa, mwenye ujuzi pamoja na mwanafunzi.

9 Kura ya kwanza kuanguka ilikuwa ya Asafu kwa ajili ya Yosefu,+ ya pili kwa ajili ya Gedalia+ (yeye na ndugu zake na wana wake walikuwa kumi na mbili [12]); 10 ya tatu (3) kwa ajili ya Zakuri,+ wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 11 ya ine (4) kwa ajili ya Izri, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 12 ya tano (5) kwa ajili ya Netania,+ wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 13 ya sita (6) kwa ajili ya Bukia, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 14 ya saba (7) kwa ajili ya Yesharela, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 15 ya munane (8) kwa ajili ya Yeshaya, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 16 ya kenda (9) kwa ajili ya Matania, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 17 ya kumi (10) kwa ajili ya Shimei, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 18 ya kumi na moja (11) kwa ajili ya Azareli, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 19 ya kumi na mbili (12) kwa ajili ya Hashabia, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili; 20 ya kumi na tatu (13), ya Shubaeli,+ wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 21 ya kumi na ine (14), ya Matitia, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 22 ya kumi na tano (15), kwa ajili ya Yeremoti, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 23 ya kumi na sita (16), kwa ajili ya Hanania, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 24 ya kumi na saba (17), kwa ajili ya Yoshbekasha, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 25 ya kumi na munane (18), kwa ajili ya Hanani, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 26 ya kumi na kenda (19), kwa ajili ya Maloti, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 27 ya makumi mbili (20), kwa ajili ya Eliata, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 28 ya makumi mbili na moja (21), kwa ajili ya Hotiri, wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 29 ya makumi mbili na mbili (22), kwa ajili ya Gidalti,+ wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 30 ya makumi mbili na tatu (23), kwa ajili ya Mahazioti,+ wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12); 31 ya makumi mbili na ine (24), kwa ajili ya Romamti-ezeri,+ wana wake na ndugu zake, kumi na mbili (12).

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine