Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Wazao wa Isakari (1-5), wa Benyamini (6-12), wa Naftali (13), wa Manase (14-19), wa Efraimu (20-29), na wa Asheri (30-40)

1 Mambo ya Nyakati 7:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 46:13; Hes 26:23, 24

1 Mambo ya Nyakati 7:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

  • *

    Tnn., “vichwa.”

1 Mambo ya Nyakati 7:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 26:25

1 Mambo ya Nyakati 7:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 35:16, 18; Hes 26:38, 39
  • +1Nya 8:1
  • +Mwa 46:21
  • +1Nya 7:10

1 Mambo ya Nyakati 7:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 26:41

1 Mambo ya Nyakati 7:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 7:6

1 Mambo ya Nyakati 7:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 7:7

1 Mambo ya Nyakati 7:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 26:48, 49
  • +Mwa 30:3, 8; 46:24, 25

1 Mambo ya Nyakati 7:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 41:50, 51
  • +Mwa 50:23; Hes 26:29; Kum 3:15

1 Mambo ya Nyakati 7:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 26:33
  • +Hes 27:1, 7

1 Mambo ya Nyakati 7:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

1 Mambo ya Nyakati 7:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 1:33
  • +Hes 26:35

1 Mambo ya Nyakati 7:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 7:14; 17:4

1 Mambo ya Nyakati 7:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Katika Musiba.”

1 Mambo ya Nyakati 7:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 16:1, 3
  • +Yosh. 16:5; 21:20, 22; 2Nya 8:3, 5

1 Mambo ya Nyakati 7:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Yehoshua,” maana yake “Yehova Ni Wokovu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 33:11; Hes 11:28; 32:11, 12; Kum 34:9; Yosh. 1:1

1 Mambo ya Nyakati 7:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yenye kuizunguka.”

  • *

    Ao pengine, “Gaza,” lakini haiko Gaza yenye kuwa katika Filistia.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 28:16, 19; Yosh. 16:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 7:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 17:11; 1 Sa. 31:8, 10
  • +Amu 5:1, 19
  • +Amu 1:27; 1 Fal. 9:15
  • +1 Fal. 4:7, 11

1 Mambo ya Nyakati 7:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 26:44, 45
  • +Mwa 46:17

1 Mambo ya Nyakati 7:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Shomeri katika mustari wa 32.

1 Mambo ya Nyakati 7:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Inawezekana ni “Hotamu” katika mustari wa 32.

1 Mambo ya Nyakati 7:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 30:14
  • +Hes 1:41; 26:47

Maandiko ingine

1 Nya. 7:1Mwa 46:13; Hes 26:23, 24
1 Nya. 7:5Hes 26:25
1 Nya. 7:6Mwa 35:16, 18; Hes 26:38, 39
1 Nya. 7:61Nya 8:1
1 Nya. 7:6Mwa 46:21
1 Nya. 7:61Nya 7:10
1 Nya. 7:7Hes 26:41
1 Nya. 7:101Nya 7:6
1 Nya. 7:121Nya 7:7
1 Nya. 7:13Hes 26:48, 49
1 Nya. 7:13Mwa 30:3, 8; 46:24, 25
1 Nya. 7:14Mwa 41:50, 51
1 Nya. 7:14Mwa 50:23; Hes 26:29; Kum 3:15
1 Nya. 7:15Hes 26:33
1 Nya. 7:15Hes 27:1, 7
1 Nya. 7:20Hes 1:33
1 Nya. 7:20Hes 26:35
1 Nya. 7:211 Sa. 7:14; 17:4
1 Nya. 7:24Yosh. 16:1, 3
1 Nya. 7:24Yosh. 16:5; 21:20, 22; 2Nya 8:3, 5
1 Nya. 7:27Kut 33:11; Hes 11:28; 32:11, 12; Kum 34:9; Yosh. 1:1
1 Nya. 7:28Mwa 28:16, 19; Yosh. 16:1, 2
1 Nya. 7:29Yosh. 17:11; 1 Sa. 31:8, 10
1 Nya. 7:29Amu 5:1, 19
1 Nya. 7:29Amu 1:27; 1 Fal. 9:15
1 Nya. 7:291 Fal. 4:7, 11
1 Nya. 7:30Hes 26:44, 45
1 Nya. 7:30Mwa 46:17
1 Nya. 7:40Kut 30:14
1 Nya. 7:40Hes 1:41; 26:47
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 7:1-40

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

7 Sasa wana wa Isakari walikuwa Tola, Pua, Yashubu, na Shimroni+⁠—​ine (4). 2 Na wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu, na Shemueli, vichwa vya jamaa zao za upande wa baba. Kati ya wazao wa Tola kulikuwa wapiganaji-vita wenye nguvu, hesabu yao katika siku za Daudi ilikuwa elfu makumi mbili na mbili na mia sita (22 600). 3 Na wazao* wa Uzi walikuwa Izrahia na wana wa Izrahia: Mikaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia⁠—​wote tano (5) walikuwa wakubwa.* 4 Na pamoja nao, kulingana na wazao wao, kulingana na jamaa zao za upande wa baba, kulikuwa maaskari elfu makumi tatu na sita (36 000) katika jeshi lao wenye walikuwa tayari kwa ajili ya vita, kwa maana walikuwa na bibi wengi na wana wengi. 5 Na ndugu zao wa familia zote za Isakari walikuwa wapiganaji-vita wenye nguvu elfu makumi munane na saba (87 000) kama vile wanatajwa katika maandikisho kulingana na ukoo.+

6 Wana wa Benyamini+ walikuwa Bela,+ Bekeri,+ na Yediaeli+⁠—​watatu (3). 7 Na wana wa Bela walikuwa Esboni, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri⁠—​watano (5)⁠—vichwa vya jamaa zao za upande wa baba, wapiganaji-vita wenye nguvu, na elfu makumi mbili na mbili na makumi tatu na ine (22 034) walikuwa katika maandikisho yao kulingana na ukoo wao.+ 8 Na wana wa Bekeri walikuwa Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti⁠—​hao wote walikuwa wana wa Bekeri. 9 Maandikisho yao kulingana na ukoo wao kulingana na wazao wao kuhusiana na vichwa vya jamaa zao za upande wa baba walikuwa wapiganaji-vita wenye nguvu elfu makumi mbili na mia mbili (20 200). 10 Na wana wa Yediaeli+ walikuwa Bilhani na wana wa Bilhani: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarshishi, na Ahishahari. 11 Hao wote walikuwa wana wa Yediaeli, kulingana na vichwa vya mababu zao, wapiganaji-vita wenye nguvu elfu kumi na saba na mia mbili (17 200) wenye walikuwa tayari kujiunga na jeshi kwa ajili ya vita.

12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wana wa Ire;+ Wahushimu walikuwa wana wa Aheri.

13 Wana wa Naftali+ walikuwa Yahzieli, Guni, Yezeri, na Shalumu⁠—​wazao* wa Bilha.+

14 Wana wa Manase:+ Asrieli, mwenye suria* wake Musiria alizaa. (Suria huyo alimuzaa Makiri+ baba ya Gileadi. 15 Makiri alimuchukua bibi kwa ajili ya Hupimu na Shupimu, na jina la dada yake lilikuwa Maaka.) Jina la mwana wa pili lilikuwa Selofehadi,+ lakini Selofehadi alikuwa na watoto wanamuke.+ 16 Maaka, bibi ya Makiri, alizaa mwana na kumupatia jina Pereshi; na jina la ndugu yake lilikuwa Shereshi; na wana wake walikuwa Ulamu na Rekemu. 17 Na mwana* wa Ulamu alikuwa Bedani. Hao ndio walikuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase. 18 Na dada yake alikuwa Hamoleketi. Alimuzaa Ishodi, Abiezeri, na Mala. 19 Na wana wa Shemida walikuwa Ahiani, Shekemu, Likhi, na Aniamu.

20 Wana wa Efraimu+ walikuwa Shutela,+ Beredi mwana wake, Tahati mwana wake, Eleada mwana wake, Tahati mwana wake, 21 Zabadi mwana wake, Shutela mwana wake, Ezeri, na Eleadi. Watu wa Gati+ wenye walizaliwa katika inchi waliwaua kwa sababu walishuka ili kukamata mifugo yao. 22 Efraimu baba yao aliendelea kuomboleza kwa siku nyingi, na ndugu zake walikuwa wanakuja kumufariji. 23 Kisha akalala na bibi yake, na akapata mimba na kuzaa mwana. Lakini akamupatia jina Beria* kwa sababu mwanamuke huyo alikuwa katika nyumba yake wakati kulikuwa musiba katika nyumba hiyo. 24 Na binti yake alikuwa Sheera, mwenye alijenga Bet-horoni ya Chini+ na ya Juu+ na Uzen-sheera. 25 Na kulikuwa Refa mwana wake, Reshefu, Tela mwana wake, Tahani mwana wake, 26 Ladani mwana wake, Amihudi mwana wake, Elishama mwana wake, 27 Nuni mwana wake, na Yoshua*+ mwana wake.

28 Eneo lao na makao yao ilikuwa Beteli+ na miji yake ya pembeni-pembeni,* na upande wa mashariki Naarani, na upande wa mangaribi Gezeri na miji yake ya pembeni-pembeni, na Shekemu na miji yake ya pembeni-pembeni, mupaka Aya* na miji yake ya pembeni-pembeni; 29 na karibu ya wazao wa Manase, Bet-sheani+ na miji yake ya pembeni-pembeni, Taanaki+ na miji yake ya pembeni-pembeni, Megido+ na miji yake ya pembeni-pembeni, na Dori+ na miji yake ya pembeni-pembeni. Wazao wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hiyo.

30 Wana wa Asheri walikuwa Imna, Ishva, Ishvi, na Beria,+ na dada yao alikuwa Sera.+ 31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malkieli, mwenye alikuwa baba ya Birzaiti. 32 Heberi akamuzaa Yafleti, Shomeri, na Hotamu, na Shua dada yao. 33 Wana wa Yafleti walikuwa Pasaki, Bimhali, na Ashvati. Hao ndio walikuwa wana wa Yafleti. 34 Wana wa Shemeri* walikuwa Ahi, Roga, Yehuba, na Aramu. 35 Wana wa Helemu* ndugu yake walikuwa Sofa, Imna, Sheleshi, na Amali. 36 Wana wa Sofa walikuwa Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra, 37 Beseri, Hodi, Shama, Shilsha, Itrani, na Beera. 38 Wana wa Yeteri walikuwa Yefune, Pispa, na Ara. 39 Wana wa Ula walikuwa Ara, Hanieli, na Risia. 40 Hao wote walikuwa wana wa Asheri, vichwa vya jamaa zao za upande wa baba, wenye walichaguliwa, wapiganaji-vita wenye nguvu, vichwa vya wakubwa; na hesabu yao kulingana na maandikisho ya ukoo+ ilikuwa watu elfu makumi mbili na sita (26 000)+ katika jeshi, wenye kuwa tayari kwa ajili ya vita.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine