Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Mabadiliko yenye yalifanywa na Asa (1-19)

2 Mambo ya Nyakati 15:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 4:8
  • +Isa 55:6
  • +1Nya 28:9; Ebr 10:38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 9-10

2 Mambo ya Nyakati 15:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Na siku nyingi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 33:8, 10; 2Nya 17:8, 9; Mal 2:7

2 Mambo ya Nyakati 15:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 106:43, 44; Isa 55:7

2 Mambo ya Nyakati 15:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hapakukuwa amani kwa mwenye kutoka inje ao mwenye kuingia ndani.”

2 Mambo ya Nyakati 15:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15, 48

2 Mambo ya Nyakati 15:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “musiache mikono yenu iregee.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 1:9; 1Nya 28:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 9

2 Mambo ya Nyakati 15:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:24
  • +2Nya 8:12

2 Mambo ya Nyakati 15:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 11:16; 30:25

2 Mambo ya Nyakati 15:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:29; 2 Fal. 23:3; Ne 10:28, 29

2 Mambo ya Nyakati 15:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:20

2 Mambo ya Nyakati 15:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 15:2
  • +Mez. 16:7

2 Mambo ya Nyakati 15:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nkambo.”

  • *

    Ao “mwanamuke muheshimiwa.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:9, 10
  • +Kum 13:6-9
  • +1 Fal. 15:13, 14

2 Mambo ya Nyakati 15:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ulijitoa kikamili.”

  • *

    Tnn., “siku zake zote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:43
  • +1 Fal. 14:22, 23; 2 Fal. 14:3, 4; 23:19, 20
  • +1 Fal. 8:61

2 Mambo ya Nyakati 15:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:51; 15:15; 1Nya 26:26

2 Mambo ya Nyakati 15:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 14:1

Maandiko ingine

2 Nya. 15:2Yak 4:8
2 Nya. 15:2Isa 55:6
2 Nya. 15:21Nya 28:9; Ebr 10:38
2 Nya. 15:3Kum 33:8, 10; 2Nya 17:8, 9; Mal 2:7
2 Nya. 15:4Zab 106:43, 44; Isa 55:7
2 Nya. 15:6Kum 28:15, 48
2 Nya. 15:7Yosh. 1:9; 1Nya 28:20
2 Nya. 15:82 Fal. 23:24
2 Nya. 15:82Nya 8:12
2 Nya. 15:92Nya 11:16; 30:25
2 Nya. 15:12Kum 4:29; 2 Fal. 23:3; Ne 10:28, 29
2 Nya. 15:13Kut 22:20
2 Nya. 15:152Nya 15:2
2 Nya. 15:15Mez. 16:7
2 Nya. 15:161 Fal. 15:9, 10
2 Nya. 15:16Kum 13:6-9
2 Nya. 15:161 Fal. 15:13, 14
2 Nya. 15:171 Fal. 22:43
2 Nya. 15:171 Fal. 14:22, 23; 2 Fal. 14:3, 4; 23:19, 20
2 Nya. 15:171 Fal. 8:61
2 Nya. 15:181 Fal. 7:51; 15:15; 1Nya 26:26
2 Nya. 15:192Nya 14:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 15:1-19

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

15 Sasa roho ya Mungu ikakuja juu ya Azaria mwana wa Odedi. 2 Basi akatoka kuenda kukutana na Asa na akamuambia: “Munisikie, Ee Asa na Yuda yote na Benyamini! Yehova iko* pamoja na ninyi wakati wote wenye munaendelea kuwa pamoja naye;+ na kama munamutafuta, atajiacha mumupate,+ lakini kama munamuacha yeye, atawaacha ninyi.+ 3 Kwa wakati murefu* Israeli hawakukuwa na Mungu wa kweli, hawakukuwa na kuhani mwenye kufundisha, na hawakukuwa na sheria.+ 4 Lakini wakati walikuwa katika taabu yao na wakamurudilia Yehova Mungu wa Israeli na kumutafuta, alijiacha wamupate.+ 5 Nyakati hizo hakuna mutu yeyote mwenye angeweza kusafiri kwa usalama,* kwa maana kulikuwa musukosuko mukubwa kati ya wakaaji wote wa inchi mbalimbali. 6 Taifa lilikuwa linapondwa na taifa lingine na muji mumoja ulikuwa unapondwa na muji mwingine, kwa sababu Mungu aliendelea kuwatia katika muchafuko pamoja na kila namna ya taabu.+ 7 Lakini ninyi, mukuwe na nguvu na musivunjike moyo,*+ kwa maana kazi yenu itapewa zawabu.”

8 Wakati tu Asa alisikia maneno hayo na unabii wa Odedi nabii, akajipatia uhodari na akaondoa sanamu zenye kuchukiza katika inchi yote ya Yuda+ na Benyamini na katika miji yenye alikuwa amekamata katika eneo lenye milima la Efraimu, na akajenga upya mazabahu ya Yehova yenye ilikuwa mbele ya baraza la Yehova.+ 9 Na akakusanya pamoja Yuda yote na Benyamini na wakaaji wageni wenye walikuwa pamoja nao kutoka Efraimu na Manase na Simeoni,+ kwa maana walikuwa wamekimbia na kuja kwake kwa wingi kutoka Israeli wakati waliona kwamba Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye. 10 Basi wakakusanywa pamoja Yerusalemu katika mwezi wa tatu (3) wa mwaka wa kumi na tano (15) wa utawala wa Asa. 11 Katika siku hiyo walimutolea Yehova zabihu kutoka katika vitu vyenye vilichukuliwa katika vita vyenye walikuwa wameleta, ngombe mia saba (700) na kondoo elfu saba (7 000). 12 Zaidi ya hayo, wakaingia katika agano ili kumutafuta Yehova Mungu wa mababu zao kwa moyo wao wote na kwa nafsi* yao yote.+ 13 Mutu yeyote mwenye hangemutafuta Yehova Mungu wa Israeli alipaswa kuuawa, akuwe mudogo ao mukubwa, mwanaume ao mwanamuke.+ 14 Basi wakafanya kiapo kwa Yehova kwa sauti kubwa, pamoja na vigelegele vya shangwe, na pamoja na tarumbeta na pembe. 15 Na Yuda wote wakafurahi kwa sababu ya kiapo hicho, kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote na walimutafuta kwa bidii naye akajiacha wamupate,+ na Yehova akaendelea kuwapatia pumuziko pande zote.+

16 Mufalme Asa aliondoa hata Maaka+ tate* yake mwanamuke kutoka kwenye cheo chake cha malkia mama ya mufalme,* kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu chafu kwa ajili ya ibada ya muti mutakatifu.*+ Asa akakata sanamu yake chafu na akaiponda-ponda na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.+ 17 Lakini mahali pa juu hapakuondolewa+ katika Israeli.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa kamili* maisha yake yote.*+ 18 Na alileta vitu vyenye yeye na baba yake walikuwa wamefanya kuwa vitakatifu katika nyumba ya Mungu wa kweli⁠—​feza, zahabu, na vyombo mbalimbali.+ 19 Hapakukuwa vita mupaka mwaka wa makumi tatu na tano (35) wa utawala wa Asa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine