Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 35
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Yosia anapanga Pasaka kubwa (1-19)

      • Farao Neko anamuua Yosia (20-27)

2 Mambo ya Nyakati 35:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:3-11; 2 Fal. 23:21
  • +Kut 12:21
  • +Law. 23:5; Kum 16:1

2 Mambo ya Nyakati 35:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 23:18; 31:2

2 Mambo ya Nyakati 35:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 33:10; 2Nya 17:8, 9; Ne 8:7, 8
  • +1 Fal. 6:38; 2Nya 5:7
  • +Hes 4:15; 1Nya 23:25, 26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2009, uku. 18

    1/12/2005, uku. 20

2 Mambo ya Nyakati 35:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:6
  • +2Nya 8:14

2 Mambo ya Nyakati 35:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana wa watu.”

2 Mambo ya Nyakati 35:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:21; 2Nya 30:1, 15

2 Mambo ya Nyakati 35:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 30:24

2 Mambo ya Nyakati 35:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:4; 2Nya 34:14

2 Mambo ya Nyakati 35:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:6

2 Mambo ya Nyakati 35:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:3, 6
  • +2Nya 30:16
  • +2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 35:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Wakachoma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:8; Kum 16:6, 7

2 Mambo ya Nyakati 35:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 16:37
  • +1Nya 23:5
  • +1Nya 25:1, 2
  • +1Nya 16:41, 42; 25:3
  • +1Nya 26:12, 13

2 Mambo ya Nyakati 35:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 23:5
  • +2 Fal. 23:21

2 Mambo ya Nyakati 35:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:15; Law. 23:6; Kum 16:3; 2Nya 30:1, 21

2 Mambo ya Nyakati 35:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:22, 23; 2Nya 30:5, 26

2 Mambo ya Nyakati 35:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyumba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 46:2
  • +2 Fal. 23:29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    3/2017, uku. 27

2 Mambo ya Nyakati 35:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:30
  • +Amu 1:27; 5:19; Zek 12:11; Ufu 16:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    3/2017, uku. 27

2 Mambo ya Nyakati 35:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:30; 2Nya 34:28

2 Mambo ya Nyakati 35:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyimbo za maombolezo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:1
  • +Yer 9:17, 20

2 Mambo ya Nyakati 35:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:28

Maandiko ingine

2 Nya. 35:1Kut 12:3-11; 2 Fal. 23:21
2 Nya. 35:1Kut 12:21
2 Nya. 35:1Law. 23:5; Kum 16:1
2 Nya. 35:22Nya 23:18; 31:2
2 Nya. 35:3Kum 33:10; 2Nya 17:8, 9; Ne 8:7, 8
2 Nya. 35:31 Fal. 6:38; 2Nya 5:7
2 Nya. 35:3Hes 4:15; 1Nya 23:25, 26
2 Nya. 35:41Nya 23:6
2 Nya. 35:42Nya 8:14
2 Nya. 35:6Kut 12:21; 2Nya 30:1, 15
2 Nya. 35:72Nya 30:24
2 Nya. 35:82 Fal. 23:4; 2Nya 34:14
2 Nya. 35:101Nya 23:6
2 Nya. 35:11Kut 12:3, 6
2 Nya. 35:112Nya 30:16
2 Nya. 35:112Nya 29:34
2 Nya. 35:13Kut 12:8; Kum 16:6, 7
2 Nya. 35:151Nya 16:37
2 Nya. 35:151Nya 23:5
2 Nya. 35:151Nya 25:1, 2
2 Nya. 35:151Nya 16:41, 42; 25:3
2 Nya. 35:151Nya 26:12, 13
2 Nya. 35:16Law. 23:5
2 Nya. 35:162 Fal. 23:21
2 Nya. 35:17Kut 12:15; Law. 23:6; Kum 16:3; 2Nya 30:1, 21
2 Nya. 35:182 Fal. 23:22, 23; 2Nya 30:5, 26
2 Nya. 35:20Yer 46:2
2 Nya. 35:202 Fal. 23:29
2 Nya. 35:221 Fal. 22:30
2 Nya. 35:22Amu 1:27; 5:19; Zek 12:11; Ufu 16:16
2 Nya. 35:242 Fal. 23:30; 2Nya 34:28
2 Nya. 35:25Yer 1:1
2 Nya. 35:25Yer 9:17, 20
2 Nya. 35:272 Fal. 23:28
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 35:1-27

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

35 Yosia akamufanyia Yehova Pasaka+ katika Yerusalemu, na wakachinja zabihu ya Pasaka+ katika siku ya kumi na ine (14) ya mwezi wa kwanza.+ 2 Akaweka makuhani kwenye madaraka yao na kuwatia moyo watimize utumishi wao wa nyumba ya Yehova.+ 3 Kisha akaambia Walawi, wafundishaji wa Israeli yote,+ wale wenye walikuwa watakatifu kwa Yehova: “Mutie Sanduku takatifu ndani ya nyumba yenye Sulemani mwana wa Daudi mufalme wa Israeli alijenga;+ hamupaswe kulibeba tena juu ya mabega yenu.+ Sasa mutumikie Yehova Mungu wenu na watu wake Israeli. 4 Na mujitayarishe kulingana na familia zenu za upande wa baba kulingana na vikundi vyenu, kufuatana na mambo yenye yaliandikwa na Mufalme Daudi+ wa Israeli na Sulemani mwana wake.+ 5 Musimame mahali patakatifu mukiwa katika vikundi kulingana na jamaa za upande wa baba za ndugu zenu, watu wengine,* pamoja na kikundi chenye kulingana cha jamaa ya upande wa baba ya Walawi. 6 Muchinje zabihu ya Pasaka+ na mujitakase na kufanya matayarisho kwa ajili ya ndugu zenu ili kutimiza neno la Yehova kupitia Musa.”

7 Yosia akatolea watu muchango wa makundi, wana-kondoo dume na wana-mbuzi dume, kwa ajili ya zabihu za Pasaka kwa ajili ya wote wenye walikuwa pale, wanyama hao wote pamoja walikuwa elfu makumi tatu (30 000), na pia ngombe elfu tatu (3 000). Hao walitoka katika mali za mufalme mwenyewe.+ 8 Wakubwa wake pia walitoa muchango kuwa toleo la kujipendea kwa ajili ya watu, makuhani, na Walawi. Hilkia,+ Zekaria, na Yehieli, viongozi wa nyumba ya Mungu wa kweli, walipatia makuhani zabihu elfu mbili mia sita (2 600) za Pasaka na ngombe mia tatu (300). 9 Konania na ndugu zake Shemaya na Netaneli, pamoja na Hashabia, Yeieli, na Yozabadi, wakubwa wa Walawi, walipatia Walawi muchango wa zabihu elfu tano (5 000) za Pasaka na ngombe mia tano (500).

10 Utumishi ukatayarishwa, na makuhani wakasimama mahali pao na Walawi kulingana na vikundi vyao,+ kama vile mufalme alikuwa ameamuru. 11 Wakachinja zabihu za Pasaka,+ na makuhani wakanyunyiza* damu yenye walipokea kutoka kwao,+ wakati Walawi walikuwa wanatosha wanyama ngozi.+ 12 Kisha wakatayarisha matoleo ya kuteketezwa ili kuyagawia watu wengine, wenye walikuwa wamekusanywa katika vikundi kulingana na jamaa ya upande wa baba, ili yatolewe kwa Yehova kama vile imeandikwa katika kitabu cha Musa; na wakafanya vilevile na wale ngombe. 13 Wakapika* toleo la Pasaka juu ya moto kulingana na desturi;+ na wakapika matoleo matakatifu katika vyungu, sufuria kubwa, na vyungu vya kukaangia, kisha wakalileta haraka kwa watu wengine wote. 14 Kisha wakafanya matayarisho kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, kwa sababu makuhani, wazao wa Haruni, walikuwa wanatoa zabihu za kuteketezwa na vipande vyenye mafuta mupaka wakati usiku ulianza, basi Walawi wakafanya matayarisho kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, wazao wa Haruni.

15 Na waimbaji, wana wa Asafu,+ walikuwa mahali pao kwa amri ya Daudi,+ Asafu,+ Hemani, na Yedutuni+ muonaji wa mufalme; na walinzi wa milango mikubwa walikuwa kwenye milango mikubwa mbalimbali.+ Haikukuwa lazima waache utumishi wao, kwa sababu ndugu zao Walawi walifanya matayarisho kwa ajili yao. 16 Basi utumishi wote wa Yehova ukatayarishwa katika siku hiyo ili kufanya Pasaka+ na kutoa matoleo ya kuteketezwa juu ya mazabahu ya Yehova, kulingana na agizo la Mufalme Yosia.+

17 Waisraeli wenye walikuwa pale wakafanya Pasaka wakati huo na pia Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu kwa siku saba (7).+ 18 Pasaka kama hiyo ilikuwa haijafanywa hata siku moja katika Israeli tangu siku za Samweli nabii; wala wafalme wengine wa Israeli hawakukuwa wamefanya Pasaka kama hiyo yenye ilifanywa na Yosia,+ makuhani, Walawi, Yuda wote na Israeli wenye walikuwa pale, na wakaaji wa Yerusalemu. 19 Pasaka hii ilifanywa katika mwaka wa kumi na munane (18) wa utawala wa Yosia.

20 Kisha mambo hayo yote, wakati Yosia alikuwa ametayarisha hekalu,* Mufalme Neko+ wa Misri alipanda ili kupigana kule Karkemishi karibu na Efrati. Halafu Yosia akaenda kupigana naye.+ 21 Basi akatuma wajumbe kwake, na kusema: “Je, jambo hili linakuangalia wewe, Ee mufalme wa Yuda? Sikuje kupigana na wewe leo, lakini pigano langu ni juu ya nyumba ingine, na Mungu anasema kwamba ninapaswa kufanya haraka. Kwa faida yako mwenyewe, acha kumupinga Mungu, mwenye kuwa pamoja na mimi, ao atakuharibu.” 22 Hata hivyo, Yosia hakugeuka na kumuacha, lakini alibadilisha sura yake+ ili kupigana naye na hakusikiliza maneno ya Neko, yenye yalitoka katika kinywa cha Mungu. Basi akakuja kupigana katika Inchi Tambarare ya Megido.+

23 Na wapiga-mishale wakamupiga Mufalme Yosia, na mufalme akaambia watumishi wake: “Munitoshe hapa, kwa maana nimeumizwa sana.” 24 Basi watumishi wake wakamutosha katika gari na wakamuweka katika gari lake la pili la vita na kumuleta Yerusalemu. Kwa hiyo akakufa na kuzikwa katika kaburi la mababu zake,+ na Yuda wote na Yerusalemu wakamuombolezea Yosia. 25 Na Yeremia+ akaimba juu ya Yosia, na waimbaji wote wanaume na wanamuke+ wanaendelea kuimba juu ya Yosia katika nyimbo zao za huzuni* mupaka leo; na uamuzi ukafanywa kwamba zinapaswa kuimbwa katika Israeli, na zimeandikwa katika nyimbo za huzuni.

26 Na mambo mengine ya historia ya Yosia na matendo yake ya upendo mushikamanifu, kulingana na mambo yenye yameandikwa katika Sheria ya Yehova, 27 na mambo yenye alifanya, kuanzia mwanzo mupaka mwisho, yameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli na wa Yuda.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine