Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Nehemia

      • Mabadiliko mengine yenye Nehemia alileta (1-31)

        • Sehemu moja za kumi zinatolewa (10-13)

        • Sabato haipaswe kuchafuliwa (15-22)

        • Kufanya ndoa na wanamuke wa kigeni kunalaumiwa (23-28)

Nehemia 13:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:11; Ne 8:2, 3; Mdo 15:21
  • +Mwa 19:36-38
  • +Kum 23:3, 6

Nehemia 13:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 22:4-6
  • +Hes 23:8; 24:10

Nehemia 13:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “asili yenye kuchangamana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 10:10, 11; Ne 9:1, 2

Nehemia 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vyumba vya kukulia chakula vya.”

  • *

    Ao “hekalu la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 10:37, 38
  • +Ne 3:1
  • +Ne 2:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 4

Nehemia 13:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “chumba kikubwa cha kukulia chakula.”

  • *

    Ao “zaka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 18:3, 4
  • +Hes 18:24
  • +Ne 12:44

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 4

Nehemia 13:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 5:14
  • +Ezr 7:1; Ne 2:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2006, uku. 11

    “Kila Andiko,” uku. 173

Nehemia 13:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 12:10
  • +Ne 4:7

Nehemia 13:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “chumba hicho cha kukulia chakula.”

Nehemia 13:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vyumba vya kukulia chakula.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 10:39
  • +Law. 2:14, 15

Nehemia 13:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 10:37; 12:47
  • +Mal 3:8
  • +Hes 35:2

Nehemia 13:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 9:2
  • +Ne 10:39

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 4-5

Nehemia 13:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 27:30; Hes 18:21
  • +Ne 10:38, 39; Mal 3:10

Nehemia 13:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwandishi.”

Nehemia 13:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kazi yake ya kulinda.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 5:19
  • +Ebr 6:10

Nehemia 13:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “niliwaonya siku hiyo wasiuzishe vyakula.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:10; 34:21; 35:2
  • +Yer 17:21, 27

Nehemia 13:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 10:31

Nehemia 13:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:8-10

Nehemia 13:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 5:12
  • +Ne 5:19; 13:14, 30, 31

Nehemia 13:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “walikuwa wameingiza katika nyumba zao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 9:1, 2; 10:10; 2 Kor. 6:14
  • +Yosh. 13:2, 3
  • +Kum 23:3, 4

Nehemia 13:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 14

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 6-7

Nehemia 13:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 25:2; Ezr 7:26
  • +Kum 7:3, 4; Ne 10:30

Nehemia 13:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:12, 13; 2Nya 9:22
  • +2 Sa. 12:24
  • +1 Fal. 11:1-5

Nehemia 13:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 10:2

Nehemia 13:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 12:10
  • +Ne 3:1; 13:4
  • +Ne 2:10; 6:14

Nehemia 13:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 40:15; Hes 25:11-13
  • +Mal 2:4

Nehemia 13:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:6; 25:1

Nehemia 13:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 10:34
  • +Ne 5:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 7

    1/2/2011, uku. 14

Maandiko ingine

Ne. 13:1Kum 31:11; Ne 8:2, 3; Mdo 15:21
Ne. 13:1Mwa 19:36-38
Ne. 13:1Kum 23:3, 6
Ne. 13:2Hes 22:4-6
Ne. 13:2Hes 23:8; 24:10
Ne. 13:3Ezr 10:10, 11; Ne 9:1, 2
Ne. 13:4Ne 10:37, 38
Ne. 13:4Ne 3:1
Ne. 13:4Ne 2:10
Ne. 13:5Kum 18:3, 4
Ne. 13:5Hes 18:24
Ne. 13:5Ne 12:44
Ne. 13:6Ne 5:14
Ne. 13:6Ezr 7:1; Ne 2:1
Ne. 13:7Ne 12:10
Ne. 13:7Ne 4:7
Ne. 13:9Ne 10:39
Ne. 13:9Law. 2:14, 15
Ne. 13:10Ne 10:37; 12:47
Ne. 13:10Mal 3:8
Ne. 13:10Hes 35:2
Ne. 13:11Ezr 9:2
Ne. 13:11Ne 10:39
Ne. 13:12Law. 27:30; Hes 18:21
Ne. 13:12Ne 10:38, 39; Mal 3:10
Ne. 13:14Ne 5:19
Ne. 13:14Ebr 6:10
Ne. 13:15Kut 20:10; 34:21; 35:2
Ne. 13:15Yer 17:21, 27
Ne. 13:16Ne 10:31
Ne. 13:18Kut 20:8-10
Ne. 13:22Kum 5:12
Ne. 13:22Ne 5:19; 13:14, 30, 31
Ne. 13:23Ezr 9:1, 2; 10:10; 2 Kor. 6:14
Ne. 13:23Yosh. 13:2, 3
Ne. 13:23Kum 23:3, 4
Ne. 13:25Kum 25:2; Ezr 7:26
Ne. 13:25Kum 7:3, 4; Ne 10:30
Ne. 13:261 Fal. 3:12, 13; 2Nya 9:22
Ne. 13:262 Sa. 12:24
Ne. 13:261 Fal. 11:1-5
Ne. 13:27Ezr 10:2
Ne. 13:28Ne 12:10
Ne. 13:28Ne 3:1; 13:4
Ne. 13:28Ne 2:10; 6:14
Ne. 13:29Kut 40:15; Hes 25:11-13
Ne. 13:29Mal 2:4
Ne. 13:301Nya 23:6; 25:1
Ne. 13:31Ne 10:34
Ne. 13:31Ne 5:19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Nehemia 13:1-31

Nehemia

13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa katika masikio ya watu,+ na ndani yake ikavumbuliwa kwamba ilikuwa imeandikwa kuwa Mwamoni ao Mumoabu+ hawapaswe hata kidogo kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+ 2 kwa maana hawakuenda kupokea Waisraeli na mukate na maji, lakini walimulipa Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aligeuza laana hiyo kuwa baraka.+ 3 Wakati tu walisikia Sheria hiyo, wakaanza kutenga kutoka katika Israeli wale wote wenye walikuwa wa asili ya kigeni.*+

4 Sasa mbele ya mambo hayo, kuhani mwenye alisimamia madepo ya* nyumba ya* Mungu wetu+ alikuwa Eliashibu,+ mutu wa jamaa ya Tobia.+ 5 Eliashibu alikuwa amemupatia Tobia depo kubwa,* mahali kwenye kulikuwa kunatumiwa zamani ili kuweka toleo la nafaka, ubani, na vyombo na sehemu moja ya kumi (1/10)* ya nafaka, divai mupya, na mafuta,+ vyenye Walawi,+ waimbaji, na walinzi wa milango mikubwa walikuwa na haki ya kupewa, pamoja na michango kwa ajili ya makuhani.+

6 Na wakati huo wote mimi sikukuwa Yerusalemu, kwa maana nilienda kwa mufalme katika mwaka wa makumi tatu na mbili (32)+ wa Mufalme Artashasta+ wa Babiloni; na kisha wakati fulani nilimuomba mufalme ruhusa ya kuondoka. 7 Kisha nikafika Yerusalemu na kuona jambo la kuchukiza lenye Eliashibu+ alikuwa amefanya kwa ajili ya Tobia,+ kwa kumupatia depo katika kiwanja cha nyumba ya Mungu wa kweli. 8 Jambo hilo lilinichukiza sana, kwa hiyo nikatupa vitu vyote vya nyumba ya Tobia inje ya depo hiyo.* 9 Kisha jambo hilo nikatoa amri, na wakatakasa madepo;* na nikarudisha ndani vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ pamoja na toleo la nafaka na ubani.+

10 Pia, nikavumbua kwamba Walawi+ hawakukuwa wanapewa tena mafungu yao,+ kwa hiyo Walawi na waimbaji wenye walikuwa wanafanya kazi walikuwa wameenda, kila mumoja kwenye shamba lake.+ 11 Kwa hiyo nikakemea watawala-wasaidizi+ na kusema: “Sababu gani nyumba ya Mungu wa kweli imepuuzwa?”+ Kisha nikawakusanya pamoja na kuwarudisha kwenye kazi zao. 12 Na watu wote wa Yuda wakaleta kwenye madepo sehemu moja ya kumi (1/10)+ ya nafaka, divai mupya, na mafuta.+ 13 Kisha nikaweka Shelemia kuhani, Sadoki mwandikaji,* na Pedaya Mulawi wasimamie madepo, na Hanani mwana wa Zakuri mwana wa Matania alikuwa musaidizi wao, kwa maana wanaume hao walionwa kuwa wenye kutegemeka. Walikuwa na daraka la kugawia ndugu zao.

14 Unikumbuke,+ Ee Mungu wangu, juu ya jambo hili, na usifute matendo yangu ya upendo mushikamanifu yenye nimetenda kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu na utumishi wake mbalimbali.*+

15 Katika siku hizo niliona watu kule Yuda wakikanyanga-kanyanga katika vikamulio vya divai siku ya Sabato,+ walileta marundo ya nafaka na kuyapakiza juu ya punda, na walileta divai, zabibu, tini, na kuingiza kila aina ya muzigo katika Yerusalemu siku ya Sabato.+ Kwa hiyo, niliwaonya wasiuzishe vyakula siku hiyo.* 16 Na Watiro wenye waliishi katika muji walikuwa wanaleta samaki na kila namna ya vitu vya biashara, waliviuzisha kwa watu wa Yuda na katika Yerusalemu siku ya Sabato.+ 17 Kwa hiyo nikakemea watu wenye vyeo wa Yuda na kuwaambia: “Ni jambo gani hili la mubaya lenye muko munafanya, kwa kuchafua hata siku ya Sabato? 18 Je, mababu zenu hawakufanya vile, na kwa hiyo Mungu wetu alileta musiba wote huu juu yetu na juu ya muji huu? Sasa munaendelea kuongeza kasirani yenye kuwaka juu ya Israeli kwa kuchafua Sabato.”+

19 Kwa hiyo wakati tu giza lilianza kuingia juu ya milango mikubwa ya Yerusalemu mbele ya Sabato kuanza, nikatoa amri milango ifungwe. Pia nikasema hawapaswe kuifungua mupaka kisha Sabato, na niliweka wamoja kati ya watumishi wangu kwenye milango mikubwa ili muzigo wowote usiingizwe ndani ya muji siku ya Sabato. 20 Kwa hiyo wafanyabiashara na wenye kuuzisha kila aina ya vitu vya biashara walilala inje ya Yerusalemu mara moja ao mara mbili. 21 Kisha nikawapatia angalisho na kuwaambia: “Sababu gani munalala mbele ya ukuta usiku? Mukifanya hivi tena, nitawafukuza kwa nguvu.” Tangu wakati huo na kuendelea hawakukuja tena siku ya Sabato.

22 Na nikaambia Walawi kwamba wanapaswa kujitakasa kwa ukawaida na kuja na kulinda milango mikubwa ili kuendelea kufanya siku ya Sabato kuwa takatifu.+ Kwa ajili ya jambo hili pia, Ee Mungu wangu, unikumbuke, na unisikilie huruma kwa sababu ya wingi wa upendo wako mushikamanifu.+

23 Katika siku hizo pia niliona Wayahudi wenye walikuwa wameoa* wanamuke+ Waashdodi,+ Waamoni, na Wamoabu.+ 24 Nusu ya wana wao walizungumuza Kiashdodi na nusu walizungumuza luga za vikundi vingine vya watu, lakini hakuna mumoja kati yao mwenye alijua kuzungumuza luga ya Wayahudi. 25 Kwa hiyo nikawakemea na kuwalaani na kupiga wamoja kati ya wanaume hao+ na nikangoa nywele zao na kuwaapisha katika jina la Mungu: “Hamupaswe kupana watoto wenu wanamuke kwa watoto wao wanaume, na hamupaswe kukubali hata mumoja wa watoto wao wanamuke kwa ajili ya watoto wenu wanaume ao kwa ajili yenu wenyewe.+ 26 Je, haikukuwa kwa sababu yao kwamba Mufalme Sulemani wa Israeli alitenda zambi? Kati ya mataifa mengi hapakukuwa mufalme kama yeye;+ na alipendwa na Mungu wake,+ hata Mungu akamufanya kuwa mufalme juu ya Israeli wote. Lakini wanamuke wa kigeni walimufanya hata yeye atende zambi.+ 27 Je, hili haliko jambo lenye halijapata kusikiwa kwamba muko munatenda uovu huu mukubwa wa kukosa kuwa waaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanamuke wa kigeni?”+

28 Mumoja wa wana wa Yoyada+ mwana wa Eliashibu+ kuhani mukubwa alikuwa amekuwa mwana-mukwe wa Sanbalati+ Muhoroni. Kwa hiyo nikamufukuza atoke mbele yangu.

29 Uwakumbuke, Ee Mungu wangu, kwa sababu wamechafua ukuhani na agano la ukuhani+ na Walawi.+

30 Na niliwatakasa kutokana na kila uchafu wa kigeni, na nilipatia makuhani na Walawi kazi zao, kila mutu katika utumishi wake,+ 31 na nilifanya mipango kwa ajili ya kuleta kuni+ wakati wenye ulichaguliwa na kwa ajili ya matunda ya kwanza yenye kukomaa.

Unikumbuke kwa wema, Ee Mungu wangu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine