Zaburi
Uniokoe kutoka kwa mutu wa udanganyifu na ukosefu wa haki.
2 Kwa maana wewe ni Mungu wangu, ngome yangu.+
Sababu gani umenitupa?
Sababu gani nitembee huku na huku nikiwa na huzuni kwa sababu ya kukandamizwa na adui yangu?+
3 Tuma mwangaza wako na kweli yako.+
4 Kisha nitakuja kwenye mazabahu ya Mungu,+
Kwa Mungu, shangwe yangu nyingi sana.
Na nitakusifu kwa kinubi,+ Ee Mungu, Mungu wangu.
5 Sababu gani nimepoteza* tumaini?
Sababu gani musukosuko huu uko ndani yangu?