Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Ukame, njaa, na upanga (1-12)

      • Manabii wa uongo wanalaumiwa (13-18)

      • Yeremia anakubali zambi za watu (19-22)

Yeremia 14:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:24

Yeremia 14:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoe 1:10

Yeremia 14:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye ni wadogo wao.”

  • *

    Ao “mifereji; matangi.”

Yeremia 14:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:20; Kum 28:23

Yeremia 14:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 12:4; Yoe 1:18

Yeremia 14:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 7:9; Zab 25:11; 115:1, 2
  • +Ezr 9:6; Ne 9:33; Da. 9:5, 8

Yeremia 14:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 106:8, 21; Isa 45:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    22/4/2004, uku. 11

Yeremia 14:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:45; Kum 23:14
  • +Da. 9:19

Yeremia 14:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:23
  • +Yer 2:25
  • +Yer 6:20
  • +Ho 8:13

Yeremia 14:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 7:16; 11:14

Yeremia 14:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:15; 58:3; Yer 11:11; Eze 8:18
  • +Isa 1:11
  • +Yer 9:16; Eze 5:12

Yeremia 14:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 4:10; 5:31; 6:13, 14; 23:16, 17; 27:8-10; Eze 13:10; Mik 3:11

Yeremia 14:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:25, 26; 29:21
  • +Yer 23:21; 27:15
  • +Omb 2:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2008, uku. 5

Yeremia 14:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 5:12, 13; 23:15; Eze 12:24; 13:9

Yeremia 14:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 79:2, 3; Yer 9:22
  • +Yer 4:18

Yeremia 14:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 8:18, 21; 9:1
  • +Omb 1:15

Yeremia 14:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 7:15
  • +Omb 5:10
  • +Kum 28:36

Yeremia 14:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako imechukia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 12:8; Omb 5:22
  • +2Nya 36:15, 16
  • +Yer 8:15

Yeremia 14:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 9:7; Da. 9:5, 8

Yeremia 14:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 36:22; Da. 9:15
  • +Kut 32:13; Law. 26:41, 42; Zab 106:43-45

Yeremia 14:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:12; Isa 30:23; Yoe 2:23

Maandiko ingine

Yer. 14:1Kum 28:24
Yer. 14:2Yoe 1:10
Yer. 14:4Law. 26:20; Kum 28:23
Yer. 14:6Yer 12:4; Yoe 1:18
Yer. 14:7Yosh. 7:9; Zab 25:11; 115:1, 2
Yer. 14:7Ezr 9:6; Ne 9:33; Da. 9:5, 8
Yer. 14:8Zab 106:8, 21; Isa 45:15
Yer. 14:9Kut 29:45; Kum 23:14
Yer. 14:9Da. 9:19
Yer. 14:10Yer 2:23
Yer. 14:10Yer 2:25
Yer. 14:10Yer 6:20
Yer. 14:10Ho 8:13
Yer. 14:11Yer 7:16; 11:14
Yer. 14:12Isa 1:15; 58:3; Yer 11:11; Eze 8:18
Yer. 14:12Isa 1:11
Yer. 14:12Yer 9:16; Eze 5:12
Yer. 14:13Yer 4:10; 5:31; 6:13, 14; 23:16, 17; 27:8-10; Eze 13:10; Mik 3:11
Yer. 14:14Yer 23:25, 26; 29:21
Yer. 14:14Yer 23:21; 27:15
Yer. 14:14Omb 2:14
Yer. 14:15Yer 5:12, 13; 23:15; Eze 12:24; 13:9
Yer. 14:16Zab 79:2, 3; Yer 9:22
Yer. 14:16Yer 4:18
Yer. 14:17Yer 8:18, 21; 9:1
Yer. 14:17Omb 1:15
Yer. 14:18Eze 7:15
Yer. 14:18Omb 5:10
Yer. 14:18Kum 28:36
Yer. 14:19Yer 12:8; Omb 5:22
Yer. 14:192Nya 36:15, 16
Yer. 14:19Yer 8:15
Yer. 14:20Ezr 9:7; Da. 9:5, 8
Yer. 14:21Eze 36:22; Da. 9:15
Yer. 14:21Kut 32:13; Law. 26:41, 42; Zab 106:43-45
Yer. 14:22Kum 28:12; Isa 30:23; Yoe 2:23
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 14:1-22

Yeremia

14 Hili ndilo neno la Yehova lenye lilikuja kwa Yeremia kuhusiana na ukame:+

 2 Yuda inaomboleza,+ na milango yake mikubwa imefifia.

Inazama katika udongo kwa sababu ya huzuni,

Na kilio kinapanda kutoka Yerusalemu.

 3 Na mabwana wao wanatuma watumishi wao* walete maji.

Wanaenda kwenye mashimo ya maji* lakini hawapate maji.

Wanarudia vyombo vyao vikiwa wazi.

Wamepata haya na kukata tamaa,

Na wanafunika vichwa vyao.

 4 Kwa sababu udongo umepasuka,

Kwa maana hakuna mvua juu ya inchi,+

Walimaji wamekuwa na woga na wanafunika vichwa vyao.

 5 Hata paa mwenye kuwa katika eneo la mashamba anaacha mutoto wake mwenye ametoka kuzaliwa

Kwa sababu hakuna majani.

 6 Punda wa pori wanasimama kwenye vilima vyenye kuwa wazi.

Wanavutavuta upepo kama mbweha;

Macho yao yamechoka kwa sababu hakuna majani.+

 7 Hata kama makosa yetu wenyewe yanashuhudia juu yetu,

Ee Yehova, tenda kwa ajili ya jina lako.+

Kwa maana matendo yetu ya kukosa uaminifu ni mengi,+

Na ni wewe ndiye tumetendea zambi.

 8 Ee tumaini la Israeli, Mwokozi wake+ nyakati za taabu,

Sababu gani uko kama mugeni katika inchi,

Kama musafiri mwenye anakaa ili kupitisha tu usiku?

 9 Sababu gani uko kama mutu mwenye kushangaa,

Kama mutu mwenye nguvu mwenye hawezi kuokoa?

Kwa maana uko kati yetu, Ee Yehova,+

Na jina lako limeitwa juu yetu.+

Usituache.

10 Yehova anasema hivi juu ya watu hawa: “Wanapenda kutanga-tanga;+ hawakuzuia miguu yao.+ Basi Yehova hapendezwe nao.+ Sasa atakumbuka kosa lao, na atawaomba watoe hesabu kwa sababu ya zambi zao.”+

11 Kisha Yehova akaniambia: “Usisali ili mema ikuje juu ya watu hawa.+ 12 Wakati wanafunga, sisikilize maombi yao,+ na wakati wanatoa matoleo mazima ya kuteketezwa na matoleo ya nafaka, siyafurahie,+ kwa maana nitawaharibu kwa upanga, kwa njaa, na kwa ugonjwa wa kuambukiza.”+

13 Halafu nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova! Angalia, manabii wanawaambia, ‘Hamutaona upanga, na njaa haitakuja juu yenu, lakini nitawapatia amani ya kweli mahali hapa.’”+

14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uongo na uaguzi wenye hauna mafaa yoyote na udanganyifu wa moyo wao wenyewe ndio unabii wenye wanawatolea ninyi.+ 15 Kwa hiyo Yehova anasema hivi juu ya manabii wenye wanatoa unabii katika jina langu, hata kama sikuwatuma, na wenye wanasema kwamba hakuna upanga ao njaa yenye itakuja katika inchi hii: ‘Manabii hao watakufa kwa upanga na kwa njaa.+ 16 Na watu wenye manabii hao wanatolea unabii watatupwa katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga, bila mutu yeyote wa kuwazika+⁠—​wao, bibi zao, watoto wao wanaume, wala watoto wao wanamuke⁠—​kwa maana nitamwanga juu yao musiba wenye wanastahili.’+

17 “Unapaswa kuwaambia neno hili:

‘Macho yangu yatiririke machozi usiku na muchana, yasiishe,+

Kwa maana binti bikira ya watu wangu amepondwa kabisa na kuvunjwa,+

Kwa kidonda kibaya sana.

18 Kama ninaenda katika eneo la mashamba na kuangalia,

Ninaona wale wenye waliuawa kwa upanga!+

Na kama ninakuja katika muji,

Ninaona magonjwa yenye yaliletwa na njaa!+

Kwa maana nabii na kuhani wamezunguka katika inchi yenye hawajue.’”+

19 Je, umekataa kabisa Yuda, ao, je, umechukia* Sayuni?+

Sababu gani umetupiga, na hivyo hakuna uponyeshaji kwa ajili yetu?+

Kulikuwa tumaini la kupata amani, lakini hakuna mema yenye yalikuja,

Tumaini la kupata kipindi cha kupona, lakini kuko woga!+

20 Tunakubali uovu wetu, Ee Yehova,

Na kosa la mababu zetu,

Kwa maana tumekutendea zambi.+

21 Kwa ajili ya jina lako, usitukatae;+

Usizarau kiti chako cha ufalme chenye utukufu.

Kumbuka, na usivunje agano lako pamoja na sisi.+

22 Kati ya sanamu zenye hazina mafaa yoyote za mataifa, je, kuko sanamu yenye inaweza kuleta mvua,

Ao, je, hata mbingu zinaweza kutuma matone ya mvua kwa kupenda zenyewe?

Je, haiko Wewe tu, Ee Yehova Mungu wetu?+

Na sisi tunakutumaini wewe,

Kwa maana wewe peke yako ndiye ulifanya mambo hayo yote.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine