Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 21
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Yehova anakataa ombi la Sedekia (1-7)

      • Watu kuchagua uzima ao kifo (8-14)

Yeremia 21:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:18; 1Nya 3:15; 2Nya 36:9, 10
  • +Yer 38:1
  • +Yer 29:25; 37:3; 52:24, 27

Yeremia 21:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:1; Yer 32:28; 39:1
  • +1 Sa. 7:10; 2Nya 14:11; Isa 37:36, 37

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 55-56

Yeremia 21:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitawageuzia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 32:5

Yeremia 21:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 63:10; Omb 2:5
  • +Isa 5:25

Yeremia 21:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:21, 22; Eze 7:15

Yeremia 21:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

  • *

    Ao “wenye wanatafuta nafsi yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:6, 7; Yer 37:17; 39:5-7; 52:9-11; Eze 17:20
  • +Kum 28:49, 50; 2Nya 36:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 158-159

Yeremia 21:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 11

Yeremia 21:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yake.”

  • *

    Ao “ataponyoka na uzima wake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 27:12, 13; 38:2, 17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2002, uku. 15-16

Yeremia 21:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 44:11
  • +Yer 38:3
  • +2Nya 36:17, 19; Yer 17:27; 34:2; 37:10; 39:8

Yeremia 21:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:17; Yer 22:3; Eze 22:29; Mik 2:2
  • +Kum 32:22; Isa 1:31; Yer 7:20
  • +Yer 7:5-7

Yeremia 21:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eneo tambarare la chini.”

Yeremia 21:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 5:9; 9:9
  • +2Nya 36:17, 19; Yer 52:12, 13

Maandiko ingine

Yer. 21:12 Fal. 24:18; 1Nya 3:15; 2Nya 36:9, 10
Yer. 21:1Yer 38:1
Yer. 21:1Yer 29:25; 37:3; 52:24, 27
Yer. 21:22 Fal. 25:1; Yer 32:28; 39:1
Yer. 21:21 Sa. 7:10; 2Nya 14:11; Isa 37:36, 37
Yer. 21:4Yer 32:5
Yer. 21:5Isa 63:10; Omb 2:5
Yer. 21:5Isa 5:25
Yer. 21:6Kum 28:21, 22; Eze 7:15
Yer. 21:72 Fal. 25:6, 7; Yer 37:17; 39:5-7; 52:9-11; Eze 17:20
Yer. 21:7Kum 28:49, 50; 2Nya 36:17
Yer. 21:9Yer 27:12, 13; 38:2, 17
Yer. 21:10Yer 44:11
Yer. 21:10Yer 38:3
Yer. 21:102Nya 36:17, 19; Yer 17:27; 34:2; 37:10; 39:8
Yer. 21:12Isa 1:17; Yer 22:3; Eze 22:29; Mik 2:2
Yer. 21:12Kum 32:22; Isa 1:31; Yer 7:20
Yer. 21:12Yer 7:5-7
Yer. 21:14Yer 5:9; 9:9
Yer. 21:142Nya 36:17, 19; Yer 52:12, 13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 21:1-14

Yeremia

21 Yeremia alipokea neno kutoka kwa Yehova wakati Mufalme Sedekia+ alituma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, ili kutoa ombi hili: 2 “Tafazali umuulize Yehova kwa ajili yetu, kwa sababu Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni anapigana vita na sisi.+ Pengine Yehova atatutendea moja ya matendo yake ya ajabu, na hivyo ataondoka kwetu.”+

3 Yeremia akawaambia: “Mumuambie Sedekia hivi: 4 ‘Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: “Angalia, ninageuza juu yenu* silaha za vita zenye kuwa katika mikono yenu wenyewe, zenye munatumia ili kupigana na mufalme wa Babiloni+ na Wakaldayo wenye kuwa inje ya ukuta wenye wanawazunguka ninyi kwa ajili ya vita. Na nitawakusanya katikati ya muji huu. 5 Na mimi mwenyewe nitapigana na ninyi+ kwa mukono wenye kunyooshwa na kwa mukono wenye nguvu, kwa hasira na kasirani kali na ukali mukubwa.+ 6 Nitapiga wakaaji wa muji huu, mwanadamu na munyama pia. Watakufa kwa ugonjwa mukubwa wa kuambukiza.”’+

7 “‘“Na kisha,” ni vile Yehova anasema, “Nitatia Mufalme Sedekia wa Yuda na watumishi wake na watu wa muji huu⁠—wale wenye wataokoka ugonjwa wa kuambukiza, upanga, na njaa⁠—​nitawatia katika mukono wa Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni, katika mukono wa maadui wao, na katika mukono wa wale wenye wanatafuta kuondoa uzima wao.*+ Atawapiga na kuwaangusha kwa upanga. Hatawasikitikia, ao kuonyesha huruma ao kuwa na rehema yoyote.”’+

8 “Na utaambia watu hawa, ‘Yehova anasema hivi: “Angalia, ninaweka mbele yenu njia ya uzima na njia ya kifo. 9 Wale wenye watabakia katika muji huu watakufa kwa upanga, kwa njaa, na kwa ugonjwa wa kuambukiza. Lakini mutu yeyote mwenye atatoka na kujitia katika mikono ya Wakaldayo wenye wanawazunguka ninyi kwa ajili ya vita ataendelea kuishi, na atapata uzima wake* kama kitu chenye kilichukuliwa katika vita.”’*+

10 “‘“Kwa maana nimekaza uso wangu juu ya muji huu kwa ajili ya musiba haiko kwa ajili ya mema,”+ ni vile Yehova anasema. “Utatiwa katika mukono wa mufalme wa Babiloni,+ na atauteketeza kwa moto.”+

11 “‘Kwa nyumba ya mufalme wa Yuda: Musikie neno la Yehova. 12 Enyi nyumba ya Daudi, Yehova anasema hivi:

“Mutende haki kila asubui,

Na mumukomboe ule mwenye ananyanganywa kutoka katika mukono wa mupunjaji,+

Ili kasirani yangu kali isiwake kama moto+

Na kuteketeza bila mutu wa kuuzimisha

Kwa sababu ya matendo yenu maovu.”’+

13 ‘Angalia, nitapigana na wewe, Ee mukaaji wa bonde,*

Ee mwamba wa inchi tambarare,’ ni vile Yehova anasema.

‘Na ninyi wenye kusema: “Ni nani atashuka kupigana na sisi?

Na ni nani mwenye atashambulia makao yetu?”

14 Nitawaomba ninyi mutoe hesabu

Kulingana na matendo yenu,’+ ni vile Yehova anasema.

‘Na nitawasha moto katika pori lake,

Na utateketeza vitu vyote vyenye kumuzunguka.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine