Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 26
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Yeremia anaogopeshwa kwamba atauawa (1-15)

      • Yeremia anaokolewa (16-19)

        • Unabii wa Mika unatajwa (18)

      • Nabii Uriya (20-24)

Yeremia 26:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:34; 2Nya 36:4; Yer 25:1; 35:1; 36:1

Yeremia 26:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “na.”

  • *

    Ao “kuinama.”

Yeremia 26:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitasikitika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 55:7; Yer 18:7, 8; 36:3; Eze 18:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 151

Yeremia 26:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “agizo langu lenye.”

Yeremia 26:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ninaamuka asubui sana na kutuma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 17:13, 14; Yer 7:12-14; 25:3

Yeremia 26:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:60
  • +Yer 24:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    4/2017, uku. 7

Yeremia 26:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 26:2

Yeremia 26:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 36:10

Yeremia 26:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 18:19, 20
  • +Yer 38:4

Yeremia 26:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:17

Yeremia 26:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “atasikitika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 7:3; 36:3; Eze 18:32; Yon 3:9

Yeremia 26:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mulima wa hekalu.”

  • *

    Ao “mahali penye kuinuka penye miti.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mik 1:1
  • +2Nya 29:1
  • +Zab 79:1; Yer 9:11
  • +Mik 3:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 156

Yeremia 26:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hakujaribu kutuliza uso wa Yehova.”

  • *

    Ao “akasikitika.”

  • *

    Ao “nafsi zetu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:26

Yeremia 26:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:20, 60; 18:11, 14; 1 Sa. 7:2

Yeremia 26:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:34; 2Nya 36:5
  • +2Nya 16:10

Yeremia 26:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 36:11, 12

Yeremia 26:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:30

Yeremia 26:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:12, 13; Yer 39:13, 14; 40:5
  • +2 Fal. 22:10
  • +1 Fal. 18:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 122

Maandiko ingine

Yer. 26:12 Fal. 23:34; 2Nya 36:4; Yer 25:1; 35:1; 36:1
Yer. 26:3Isa 55:7; Yer 18:7, 8; 36:3; Eze 18:27
Yer. 26:52 Fal. 17:13, 14; Yer 7:12-14; 25:3
Yer. 26:6Zab 78:60
Yer. 26:6Yer 24:9
Yer. 26:7Yer 26:2
Yer. 26:10Yer 36:10
Yer. 26:11Yer 18:19, 20
Yer. 26:11Yer 38:4
Yer. 26:12Yer 1:17
Yer. 26:13Yer 7:3; 36:3; Eze 18:32; Yon 3:9
Yer. 26:18Mik 1:1
Yer. 26:182Nya 29:1
Yer. 26:18Zab 79:1; Yer 9:11
Yer. 26:18Mik 3:12
Yer. 26:192Nya 32:26
Yer. 26:20Yosh. 15:20, 60; 18:11, 14; 1 Sa. 7:2
Yer. 26:212 Fal. 23:34; 2Nya 36:5
Yer. 26:212Nya 16:10
Yer. 26:22Yer 36:11, 12
Yer. 26:23Yer 2:30
Yer. 26:242 Fal. 22:12, 13; Yer 39:13, 14; 40:5
Yer. 26:242 Fal. 22:10
Yer. 26:241 Fal. 18:4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 26:1-24

Yeremia

26 Katika mwanzo wa utawala wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mufalme wa Yuda, neno hili lilikuja kutoka kwa Yehova: 2 “Yehova anasema hivi: ‘Simama katika kiwanja cha nyumba ya Yehova na useme kuhusu* watu wote wa miji ya Yuda wenye wanaingia ili kuabudu* katika nyumba ya Yehova. Uwaambie kila kitu chenye ninakuamuru; usiondoe hata neno moja. 3 Pengine watasikiliza na kila mumoja atageuka na kuacha njia yake yenye uovu, na nitabadilisha mawazo yangu* kuhusu musiba wenye ninakusudia kuleta juu yao kwa sababu ya matendo yao maovu.+ 4 Uwaambie: “Yehova anasema hivi: ‘Kama hamutanisikiliza kwa kufuata sheria yangu yenye* nimeweka mbele yenu, 5 kwa kusikiliza maneno ya watumishi wangu manabii, wenye ninatuma kwenu tena na tena,* wenye hamukusikiliza,+ 6 basi nitafanya nyumba hii kama Shilo,+ na nitafanya muji huu kuwa kitu cha kulaaniwa kwa mataifa yote ya dunia.’”’”+

7 Na makuhani na manabii na watu wote wakasikia Yeremia akisema maneno hayo ndani ya nyumba ya Yehova.+ 8 Basi wakati Yeremia alimaliza kusema mambo yote yenye Yehova alikuwa amemuamuru aambie watu wote, makuhani na manabii na watu wote wakamukamata na kusema: “Hakika utakufa. 9 Sababu gani umetoa unabii katika jina la Yehova, kwa kusema, ‘Nyumba hii itakuwa kama Shilo, na muji huu utaharibiwa na kuachwa bila mukaaji?” Na watu wote wakakusanyika kumuzunguka Yeremia ndani ya nyumba ya Yehova.

10 Wakati wakubwa wa Yuda walisikia maneno hayo, wakapanda kutoka kwenye nyumba ya mufalme wakaenda kwenye nyumba ya Yehova na kukaa kwenye muingilio wa mulango mukubwa mupya wa Yehova.+ 11 Makuhani na manabii wakaambia wakubwa na watu wote: “Mutu huyu anastahili hukumu ya kifo,+ kwa sababu ametoa unabii juu ya muji huu kama vile mumesikia kwa masikio yenu wenyewe.”+

12 Kisha Yeremia akaambia wakubwa wote na watu wote: “Yehova ndiye alinituma kutoa unabii juu ya nyumba hii na juu ya muji huu kwa maneno yote yenye mumesikia.+ 13 Basi sasa, murekebishe njia zenu na matendo yenu na mutii sauti ya Yehova Mungu wenu, na Yehova atabadilisha mawazo yake* juu ya musiba wenye amesema juu yenu.+ 14 Lakini mimi, niko katika mukono wenu. Munitendee jambo lolote lenye munaona kuwa muzuri na sawa mbele ya macho yenu. 15 Lakini mujue hakika kwamba kama munaniua, mutaleta damu yenye haina kosa juu yenu wenyewe na juu ya muji huu na juu ya wakaaji wake, kwa maana kwa kweli Yehova alinituma kwenu ili niseme maneno haya yote katika masikio yenu.”

16 Kisha wakubwa na watu wote wakaambia makuhani na manabii: “Mutu huyu hastahili hukumu ya kifo, kwa maana alisema na sisi katika jina la Yehova Mungu wetu.”

17 Zaidi ya hayo, wazee fulani wa inchi wakasimama na kuanza kuambia kutaniko lote la watu: 18 “Mika+ wa Moresheti alikuwa anatoa unabii katika siku za Mufalme Hezekia+ wa Yuda, na akaambia watu wote wa Yuda, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi:

“Sayuni italimwa kama shamba,

Yerusalemu itakuwa marundo ya mabomoko,+

Na mulima wa Nyumba* utakuwa kama mahali pa juu katika pori.”’*+

19 “Je, Mufalme Hezekia wa Yuda na Yuda wote walimuua? Je, hakumuogopa Yehova na kumuomba Yehova wema,* na hivyo Yehova akabadilisha mawazo yake* kuhusu musiba wenye alikuwa amesema juu yao?+ Basi tuko karibu kuleta musiba mukubwa juu yetu* wenyewe.

20 “Na kulikuwa mutu mwingine mwenye kutoa unabii katika jina la Yehova, Uriya mwana wa Shemaya kutoka Kiriat-yearimu,+ mwenye alitoa unabii juu ya muji huu na juu ya inchi hii kwa maneno kama ya Yeremia. 21 Mufalme Yehoyakimu+ na wanaume wake wote wenye nguvu na wakubwa wote wakasikia maneno yake, na mufalme akatafuta kumuua.+ Wakati Uriya alisikia jambo hilo, mara moja akaogopa na kukimbilia Misri. 22 Kisha Mufalme Yehoyakimu akatuma Elnatani+ mwana wa Akbori pamoja na watu wengine kuenda Misri. 23 Wakamuleta Uriya kutoka Misri na wakamupeleka kwa Mufalme Yehoyakimu, mwenye alimupiga na kumuua kwa upanga+ na kutupa maiti yake katika makaburi ya watu wa kawaida.”

24 Lakini Ahikamu+ mwana wa Shafani+ alimusaidia Yeremia, na hivyo hakutiwa katika mikono ya watu na kuuawa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine