Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Maombolezo

      • Sala ya watu ya kuomba kurudishwa

        • ‘Kumbuka mambo yenye yalitupata’ (1)

        • ‘Ole wetu; tumefanya zambi’ (16)

        • ‘Uturudishe, Ee Yehova’ (21)

        • “Fanya siku zetu zikuwe mupya” (21)

Maombolezo 5:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 79:4; Omb 2:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 10

Maombolezo 5:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:30; Zab 79:1; Yer 6:12; Sef 1:13

Maombolezo 5:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:24; Yer 18:21

Maombolezo 5:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15, 48; Isa 3:1; Eze 4:11, 16

Maombolezo 5:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:65

Maombolezo 5:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 30:2; Yer 44:12; Eze 17:17, 18
  • +2Nya 28:16; Yer 2:18, 36

Maombolezo 5:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 11

Maombolezo 5:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yetu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 4:10

Maombolezo 5:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:3; Omb 4:8

Maombolezo 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wamelalwa kinguvu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:30

Maombolezo 5:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 39:6
  • +Isa 47:6; Yer 6:11; Omb 4:16

Maombolezo 5:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 20:4
  • +Yer 25:10

Maombolezo 5:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 8:10

Maombolezo 5:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 1:22
  • +Kum 28:65

Maombolezo 5:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 26:18

Maombolezo 5:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 102:12; 145:13; 146:10

Maombolezo 5:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 79:5; Yer 14:19

Maombolezo 5:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:30; Zab 80:3; 85:4; Yer 31:18
  • +Yer 33:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 132

Maombolezo 5:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15

Maandiko ingine

Omb. 5:1Zab 79:4; Omb 2:15
Omb. 5:2Kum 28:30; Zab 79:1; Yer 6:12; Sef 1:13
Omb. 5:3Kut 22:24; Yer 18:21
Omb. 5:4Kum 28:15, 48; Isa 3:1; Eze 4:11, 16
Omb. 5:5Kum 28:65
Omb. 5:6Isa 30:2; Yer 44:12; Eze 17:17, 18
Omb. 5:62Nya 28:16; Yer 2:18, 36
Omb. 5:9Eze 4:10
Omb. 5:102 Fal. 25:3; Omb 4:8
Omb. 5:11Kum 28:30
Omb. 5:12Yer 39:6
Omb. 5:12Isa 47:6; Yer 6:11; Omb 4:16
Omb. 5:14Yosh. 20:4
Omb. 5:14Yer 25:10
Omb. 5:15Amo 8:10
Omb. 5:17Omb 1:22
Omb. 5:17Kum 28:65
Omb. 5:18Yer 26:18
Omb. 5:19Zab 102:12; 145:13; 146:10
Omb. 5:20Zab 79:5; Yer 14:19
Omb. 5:21Kum 4:30; Zab 80:3; 85:4; Yer 31:18
Omb. 5:21Yer 33:13
Omb. 5:22Kum 28:15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Maombolezo 5:1-22

Maombolezo

5 Kumbuka, Ee Yehova, mambo yenye yalitupata.

Angalia na uone haya yetu.+

 2 Uriti wetu umeenda kwa wageni, nyumba zetu kwa watu wa inchi ingine.+

 3 Tumekuwa mayatima wenye hawana baba; mama zetu ni kama wajane.+

 4 Tunapaswa kununua maji yetu wenyewe ya kunywa,+ na kuni zetu wenyewe zinakuja kwa bei.

 5 Wale wenye kutufuatilia wako kwenye shingo yetu;

Tumechoka, lakini hatupewe pumuziko lolote.+

 6 Tunanyooshea mukono wetu Misri+ na Ashuru,+ ili tupate mukate wa kutosha wa kula.

 7 Mababu zetu wenye walifanya zambi hawako tena, lakini tunapaswa kubeba makosa yao.

 8 Sasa watumishi wanatawala juu yetu; hakuna wa kututosha katika mukono wao.

 9 Tunaleta mukate wetu kwa kutia uzima wetu* katika hatari,+ kwa sababu ya upanga wa jangwa.

10 Ngozi yetu imekuwa moto kama tanuru, kwa sababu ya maumivu ya njaa.+

11 Bibi katika Sayuni wamepatishwa haya,* mabikira katika miji ya Yuda.+

12 Wakubwa walitundikwa kwa mukono wao,+ na wazee hawakuonyeshwa heshima yoyote.+

13 Vijana wanaume wanabeba jiwe la kusagia la mukono, na watoto wanaume wanajikwaa chini ya mizigo ya kuni.

14 Wazee wametoka kwenye mulango mukubwa wa muji;+ vijana wanaume hawapige muziki wao.+

15 Furaha imepotea katika moyo wetu; dansi zetu zimegeuka kuwa maombolezo.+

16 Taji limeanguka kutoka kwenye kichwa chetu. Ole wetu, kwa sababu tumefanya zambi!

17 Kwa sababu hiyo moyo wetu umegonjwa,+

Na kwa sababu ya mambo haya macho yetu yamefifia,+

18 Kwa sababu ya Mulima Sayuni, wenye umekuwa ukiwa;+ sasa mbweha wanatembea-tembea juu yake.

19 Sasa wewe, Ee Yehova, unakaa kwenye kiti cha ufalme milele.

Kiti chako cha ufalme ni cha kizazi kwa kizazi.+

20 Sababu gani unatusahau milele na kutuacha kwa wakati murefu hivi?+

21 Uturudishe kwako, Ee Yehova, na sisi tutarudia kwako kwa kupenda.+

Fanya siku zetu zikuwe mupya kama katika siku za zamani sana.+

22 Hata hivyo, umetukataa kabisa.

Ungali unatukasirikia sana.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine