Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Wimbo wa huzuni kwa ajili ya wakubwa wa Israeli (1-14)

Ezekieli 19:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wimbo wa maombolezo.”

Ezekieli 19:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kati ya wana-simba wenye manyoya ya murefu kwenye shingo.”

Ezekieli 19:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:1

Ezekieli 19:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “crochets.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:31-34; 2Nya 36:4; Yer 22:11, 12

Ezekieli 19:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 22:17

Ezekieli 19:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 28:15

Ezekieli 19:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makila yao.”

Ezekieli 19:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Kizimba ni kitu cha kuchungia ao kubebea wanyama.

  • *

    Ao “crochets.”

Ezekieli 19:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kama muzabibu katika shamba lako la mizabibu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 80:8; Isa 5:7

Ezekieli 19:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “fimbo zenye.”

Ezekieli 19:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 5:5; Eze 15:6
  • +2 Fal. 23:34; 24:6; 25:5-7
  • +Kum 32:22; Eze 15:4

Ezekieli 19:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:48; Yer 17:5, 6; 52:27

Ezekieli 19:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “fimbo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 17:16, 18

Maandiko ingine

Eze. 19:32Nya 36:1
Eze. 19:42 Fal. 23:31-34; 2Nya 36:4; Yer 22:11, 12
Eze. 19:6Yer 22:17
Eze. 19:7Mez. 28:15
Eze. 19:10Zab 80:8; Isa 5:7
Eze. 19:12Isa 5:5; Eze 15:6
Eze. 19:122 Fal. 23:34; 24:6; 25:5-7
Eze. 19:12Kum 32:22; Eze 15:4
Eze. 19:13Kum 28:48; Yer 17:5, 6; 52:27
Eze. 19:14Eze 17:16, 18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 19:1-14

Ezekieli

19 “Unapaswa kuimba wimbo wa huzuni* kuhusu wakubwa wa Israeli, 2 na kusema,

‘Mama yako alikuwa nani? Simba-dike kati ya simba.

Alilala kati ya wana-simba wenye nguvu* naye akalea vitoto vyake.

 3 Alilea mumoja wa vitoto vyake, akakuwa mwana-simba mwenye nguvu.+

Akajifunza namna ya kupasua mawindo,

Akapasua vipande-vipande hata wanadamu.

 4 Mataifa yalisikia kumuhusu na wakamukamata katika shimo lao,

Nao wakamuleta katika inchi ya Misri kupitia kulabu.*+

 5 Mama huyo alingojea na mwishowe akaona kwamba hakuna tumaini la kurudia kwa kitoto hicho.

Basi akamukamata mwingine kati ya vitoto vyake na kumutuma akiwa mwana-simba mwenye nguvu.

 6 Naye pia alitembea huku na huku kati ya simba na akakuwa mwana-simba mwenye nguvu.

Akajifunza namna ya kupasua mawindo, na akapasua vipande-vipande hata wanadamu.+

 7 Akatembea kwa kuvizia-vizia kati ya minara yao yenye ngome na kuharibu miji yao,

Na hivyo inchi yenye kuwa ukiwa ikajaa sauti ya mungurumo wake.+

 8 Mataifa ya wilaya zenye kumuzunguka wakakuja kumushambulia ili kutupa wavu wao* juu yake,

Naye akakamatwa katika shimo lao.

 9 Wakamutia katika kizimba* kwa kulabu* na kumuleta kwa mufalme wa Babiloni.

Wakamufunga kule ili sauti yake isisikiwe tena katika milima ya Israeli.

10 Mama yako alikuwa kama muzabibu+ katika damu yako,* wenye ulipandwa pembeni ya maji.

Ukazaa matunda na ukajaa matawi kwa sababu ya maji mengi.

11 Ukatokeza matawi yenye* nguvu, yenye kustahili kuwa fimbo za ufalme za watawala.

Ukakomaa na kuwa murefu kuliko miti ingine,

Nao ukaonekana kwa sababu ya urefu wake na kwa sababu ya wingi wa majani yake.

12 Lakini alingolewa kwa kasirani kali+ na kutupwa chini,

Na upepo wa mashariki ukakausha matunda yake.

Matawi yake yenye nguvu yalikatwa na kukauka,+ na moto ukayateketeza.+

13 Sasa amepandwa katika jangwa,

Katika inchi yenye haina maji na yenye kiu.+

14 Moto ukaenea kutoka katika matawi* yake na kuteketeza machipukizi yake na matunda yake,

Na hakuna tawi lenye nguvu lenye lilibakia, hakuna fimbo ya ufalme ya kutawala.+

“‘Huo ni wimbo wa huzuni, na utatumiwa kama wimbo wa huzuni.’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine