Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 25
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Unabii juu ya Amoni (1-7)

      • Unabii juu ya Moabu (8-11)

      • Unabii juu ya Edomu (12-14)

      • Unabii juu ya Ufilisti (15-17)

Ezekieli 25:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:36, 38
  • +Yer 49:1; Amo 1:13; Sef 2:9

Ezekieli 25:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kambi zao zenye kuta.”

Ezekieli 25:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 12:26; Eze 21:20

Ezekieli 25:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako ilishangilia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 2:15
  • +Sef 2:8

Ezekieli 25:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 49:2; Amo 1:14

Ezekieli 25:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 15:1; Yer 48:1; Amo 2:1
  • +Kum 2:4

Ezekieli 25:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muteremuko.”

  • *

    Ao “pambo la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:37, 38; Yosh. 13:15, 19

Ezekieli 25:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 25:4
  • +Eze 21:28, 32

Ezekieli 25:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 48:1

Ezekieli 25:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:17; Zab 137:7; Omb 4:22; Amo 1:11; Oba 10

Ezekieli 25:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mal 1:4
  • +Yer 49:7, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 133

Ezekieli 25:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:14; 63:1
  • +Nah 1:2

Ezekieli 25:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wakiwa na zarau katika nafsi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:18; Isa 9:11, 12; 14:29; Yer 47:1; Yoe 3:4-6; Amo 1:6

Ezekieli 25:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 25:17, 20; Sef 2:4
  • +Sef 2:5
  • +Yer 47:4

Maandiko ingine

Eze. 25:2Mwa 19:36, 38
Eze. 25:2Yer 49:1; Amo 1:13; Sef 2:9
Eze. 25:52 Sa. 12:26; Eze 21:20
Eze. 25:6Omb 2:15
Eze. 25:6Sef 2:8
Eze. 25:7Yer 49:2; Amo 1:14
Eze. 25:8Isa 15:1; Yer 48:1; Amo 2:1
Eze. 25:8Kum 2:4
Eze. 25:9Hes 32:37, 38; Yosh. 13:15, 19
Eze. 25:10Eze 25:4
Eze. 25:10Eze 21:28, 32
Eze. 25:11Yer 48:1
Eze. 25:122Nya 28:17; Zab 137:7; Omb 4:22; Amo 1:11; Oba 10
Eze. 25:13Mal 1:4
Eze. 25:13Yer 49:7, 8
Eze. 25:14Isa 11:14; 63:1
Eze. 25:14Nah 1:2
Eze. 25:152Nya 28:18; Isa 9:11, 12; 14:29; Yer 47:1; Yoe 3:4-6; Amo 1:6
Eze. 25:16Yer 25:17, 20; Sef 2:4
Eze. 25:16Sef 2:5
Eze. 25:16Yer 47:4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 25:1-17

Ezekieli

25 Neno la Yehova likakuja tena kwangu, na kusema: 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako kwa Waamoni,+ na utoe unabii juu yao.+ 3 Unapaswa kusema kuhusu Waamoni, ‘Musikie neno la Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova. Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Kwa sababu ulisema ‘Aha!’ juu ya patakatifu pangu wakati palichafuliwa, na juu ya inchi ya Israeli wakati iliachwa ukiwa, na juu ya nyumba ya Yuda wakati walienda katika uhamisho, 4 kwa hiyo, ninakutia katika mukono wa watu wa Mashariki ili ukuwe mali yao. Watasimamisha kambi zao* ndani yako na kusimamisha mahema yao kati yako. Watakula matunda yako, na kunywa maziwa yako. 5 Nitafanya Raba+ kuwa eneo la malisho kwa ajili ya ngamia, na inchi ya Waamoni kuwa mahali pa kupumuzikia kwa ajili ya kundi; na ninyi mutalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”’”

6 “Kwa maana Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ulipiga mikono+ na kupiga vishindo kwa miguu yako na ulishangilia* juu ya inchi ya Israeli kwa zarau kamili kama hiyo,+ 7 kwa hiyo nitanyoosha mukono wangu juu yako ili kukutia katika mukono wa mataifa kusudi ukuwe kitu cha kunyanganywa. Nitakuondoa katikati ya vikundi vya watu na kukuharibu kutoka katika inchi hizo.+ Nitakuharibu, na utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’

8 “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu Moabu+ na Seiri+ wamesema, “Angalia! Nyumba ya Yuda iko kama mataifa mengine yote,” 9 ninaacha wazi upande* wa Moabu kwenye miji yake yenye kuwa kwenye mupaka wake, uzuri wa* inchi yake, Bet-yeshimoti, Baal-meoni, na kufikia Kiriataimu,+ 10 nitaitoa pamoja na Waamoni kuwa mali ya watu wa Mashariki,+ ili Waamoni wasikumbukwe kati ya mataifa.+ 11 Na nitafanya hukumu katika Moabu,+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’

12 “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Edomu amelipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda na amekuwa na hatia kubwa kwa kulipiza kisasi juu yao;+ 13 kwa hiyo Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Pia nitanyoosha mukono wangu juu ya Edomu na kuondoa ndani yake mwanadamu na mifugo, na nitafanya ikuwe ukiwa.+ Kuanzia Temani mupaka Dedani, wataanguka kwa upanga.+ 14 ‘Nitalipiza kisasi juu ya Edomu kwa mukono wa watu wangu Israeli.+ Wataleta hasira yangu na kasirani yangu kali juu ya Edomu, ili wapatwe na kisasi changu mwenyewe,’+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.”’

15 “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya chuki yao yenye kuendelea, Wafilisti wametafuta kwa nia ya mubaya* kuleta kisasi na uharibifu.+ 16 Kwa hiyo, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Angalia, ninanyoosha mukono wangu juu ya Wafilisti,+ na nitaondoa Wakereti+ wasikuwe tena na nitaharibu wakaaji wenye kubakia wa eneo la pembeni ya bahari.+ 17 Na nitafanya matendo makubwa ya kisasi juu yao pamoja na azabu kali, nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova wakati nitaleta kisasi changu juu yao.”’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine