Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 35
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Unabii kuhusu milima ya Seiri (1-15)

Ezekieli 35:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 32:3; Kum 2:5
  • +Yer 49:8; Omb 4:22; Eze 25:8, 9; Oba 1

Ezekieli 35:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 25:12, 13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 133

Ezekieli 35:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoe 3:19; Mal 1:3

Ezekieli 35:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 27:41; Amo 1:11
  • +Zab 137:7; Oba 10

Ezekieli 35:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Oba 15
  • +Eze 25:14

Ezekieli 35:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 25:13

Ezekieli 35:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 49:17, 18; Eze 25:13; Mal 1:4

Ezekieli 35:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 36:5; Oba 13

Ezekieli 35:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 1:11

Ezekieli 35:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ikuwe chakula.”

Ezekieli 35:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Oba 3

Ezekieli 35:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 4:21; Oba 12, 15
  • +Isa 34:5; Eze 25:12, 13; 36:5

Maandiko ingine

Eze. 35:2Mwa 32:3; Kum 2:5
Eze. 35:2Yer 49:8; Omb 4:22; Eze 25:8, 9; Oba 1
Eze. 35:3Eze 25:12, 13
Eze. 35:4Yoe 3:19; Mal 1:3
Eze. 35:5Mwa 27:41; Amo 1:11
Eze. 35:5Zab 137:7; Oba 10
Eze. 35:6Oba 15
Eze. 35:6Eze 25:14
Eze. 35:7Eze 25:13
Eze. 35:9Yer 49:17, 18; Eze 25:13; Mal 1:4
Eze. 35:10Eze 36:5; Oba 13
Eze. 35:11Amo 1:11
Eze. 35:13Oba 3
Eze. 35:15Omb 4:21; Oba 12, 15
Eze. 35:15Isa 34:5; Eze 25:12, 13; 36:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 35:1-15

Ezekieli

35 Neno la Yehova likakuja tena kwangu, na kusema: 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako kwenye eneo lenye milima la Seiri,+ na utoe unabii juu yake.+ 3 Uliambie, ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Angalia, nitapigana na wewe, Ee eneo lenye milima la Seiri, na nitanyoosha mukono wangu juu yako na kukufanya kuwa eneo lenye kuwa ukiwa.+ 4 Nitafanya miji yako kuwa mabomoko, na utakuwa eneo lenye kuwa ukiwa;+ na utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova. 5 Kwa maana ulikuwa na chuki yenye kuendelea,+ na ulitoa Waisraeli ili wauawe kwa upanga wakati wa musiba wao, wakati wa azabu yao ya mwisho.”’+

6 “‘Kwa hiyo kama vile hakika ninaishi,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, ‘nitakutayarisha kwa ajili ya umwangaji wa damu, na umwangaji wa damu utakufuatilia.+ Kwa maana ulichukia damu, umwangaji wa damu utakufuatilia.+ 7 Nitafanya eneo lenye milima la Seiri kuwa eneo lenye kuwa ukiwa,+ na nitamuondoa katikati yake mutu yeyote mwenye kupita ndani yake na mutu yeyote mwenye kurudia. 8 Nitajaza milima yake watu wenye kuuawa; na wale wenye kuuawa kwa upanga wataanguka kwenye vilima vyako, katika mabonde yako, na katika mito yako yote midogo. 9 Nitakufanya kuwa ukiwa sikuzote, na miji yako haitaikaliwa na watu;+ na mutalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’

10 “Kwa sababu ulisema, ‘Haya mataifa mbili na inchi hizi mbili zitakuwa zangu, na sisi tutakamata zote mbili,’+ hata kama Yehova mwenyewe alikuwa pale, 11 ‘kwa hiyo kama vile hakika ninaishi,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, ‘nitakutendea kulingana na kasirani ileile na wivu uleule wenye ulionyesha katika chuki yako kuwaelekea;+ na nitajijulisha kati yao wakati nitakuhukumu. 12 Kisha utalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesikia mambo yote ya mubaya yenye ulisema kuhusu milima ya Israeli wakati ulisema, “Imeachwa ukiwa na imepewa kwetu ili tuimeze.”* 13 Na mulizungumuza kwa kiburi juu yangu, na muliongeza maneno yenu juu yangu.+ Nilisikia yote.’

14 “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Dunia yote itafurahi wakati nitakufanya kuwa eneo lenye kuwa ukiwa. 15 Kama vile ulifurahi wakati uriti wa nyumba ya Israeli uliachwa ukiwa, ni vile nitakutendea.+ Utakuwa mabomoko yenye ukiwa, Ee eneo lenye milima la Seiri, ndiyo, Edomu yote;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine