Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Toleo la nafaka (1-16)

Mambo ya Walawi 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 9:17; Hes 15:2-4
  • +Kut 29:1-3; Law. 6:14, 15; Hes 7:13

Mambo ya Walawi 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya kumutuliza.” Tnn., “ya kumupumuzisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 5:25, 26

Mambo ya Walawi 2:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:9, 10
  • +Law. 10:12; Hes 18:9

Mambo ya Walawi 2:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 8:26, 28; Hes 6:13, 19

Mambo ya Walawi 2:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:20, 21

Mambo ya Walawi 2:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 28:9

Mambo ya Walawi 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya kumutuliza.” Tnn., “ya kumupumuzisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 2:2; 5:11, 12
  • +Kut 29:38-41; Hes 28:4-6

Mambo ya Walawi 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 18:9

Mambo ya Walawi 2:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:14, 17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 21-22

Mambo ya Walawi 2:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya kutuliza.” Tnn., “ya kupumuzisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:19; Hes 15:20; 2Nya 31:5; Mez. 3:9

Mambo ya Walawi 2:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 43:23, 24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 22

Mambo ya Walawi 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “masuke ya mubichi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:16; 34:22; Hes 28:26

Mambo ya Walawi 2:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 5:11, 12; 6:14, 15

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 2:1Law. 9:17; Hes 15:2-4
Mambo ya walawi 2:1Kut 29:1-3; Law. 6:14, 15; Hes 7:13
Mambo ya walawi 2:2Hes 5:25, 26
Mambo ya walawi 2:3Law. 7:9, 10
Mambo ya walawi 2:3Law. 10:12; Hes 18:9
Mambo ya walawi 2:4Law. 8:26, 28; Hes 6:13, 19
Mambo ya walawi 2:5Law. 6:20, 21
Mambo ya walawi 2:6Hes 28:9
Mambo ya walawi 2:9Law. 2:2; 5:11, 12
Mambo ya walawi 2:9Kut 29:38-41; Hes 28:4-6
Mambo ya walawi 2:10Hes 18:9
Mambo ya walawi 2:11Law. 6:14, 17
Mambo ya walawi 2:12Kut 23:19; Hes 15:20; 2Nya 31:5; Mez. 3:9
Mambo ya walawi 2:13Eze 43:23, 24
Mambo ya walawi 2:14Kut 23:16; 34:22; Hes 28:26
Mambo ya walawi 2:16Law. 5:11, 12; 6:14, 15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 2:1-16

Mambo ya Walawi

2 “‘Sasa kama mutu anamutolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake linapaswa kuwa unga muzuri, na anapaswa kumwanga mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.+ 2 Kisha atalipeleka kwa wana wa Haruni, makuhani, na kuhani atakamata mukono mumoja wa unga huo muzuri na mafuta na ubani wake wote, na atauchoma ili utoe moshi juu ya mazabahu ukiwa toleo la kumbukumbu,+ toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto lenye harufu ya kumupendeza* Yehova. 3 Nafaka yoyote yenye inabakia ya toleo la nafaka itakuwa ya Haruni na wana wake,+ ni kitu kitakatifu sana+ kutoka katika matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto.

4 “‘Kama mutu anatoa toleo la nafaka lenye limepikwa katika jiko, linapaswa kuwa la unga muzuri, mikate ya muviringo yenye haina chachu na yenye kuchanganywa na mafuta ao mikate myembamba yenye haina chachu yenye imepakwa mafuta.+

5 “‘Kama toleo lako ni toleo la nafaka kutoka kwenye kikaangio,+ linapaswa kuwa unga muzuri wenye hauna chachu, wenye ulichanganywa na mafuta. 6 Litavunjwa vipande-vipande, na utamwanga mafuta juu yake.+ Ni toleo la nafaka.

7 “‘Kama toleo lako ni toleo la nafaka lenye lilipikwa ndani ya chungu ya kukaangia, linapaswa kufanywa kwa unga muzuri pamoja na mafuta. 8 Utamuletea Yehova toleo la nafaka lenye lilitengenezwa na vitu hivyo, na litapelekwa kwa kuhani, naye atalipeleka karibu na mazabahu. 9 Na kuhani atakamata sehemu fulani ya toleo hilo la nafaka kama toleo la kumbukumbu+ na kulichoma ili litoe moshi juu ya mazabahu. Ni toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto lenye harufu ya kumupendeza* Yehova.+ 10 Nafaka yoyote yenye kubakia ya toleo la nafaka ni ya Haruni na wana wake, ni kitu kitakatifu sana kutoka katika matoleo ya Yehova yenye kutolewa kwa njia ya moto.+

11 “‘Toleo lolote la nafaka lenye munamutolea Yehova halipaswe kuwa na chachu,+ kwa maana hamupaswe kuchoma chachu ao asali ili itoe moshi ikiwa toleo lenye linatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.

12 “‘Munaweza kumutolea Yehova vitu hivyo vikiwa matunda ya kwanza,+ lakini havipaswe kuletwa kwenye mazabahu vikiwa harufu ya muzuri.*

13 “‘Kila toleo la nafaka lenye unatoa linapaswa kukolezwa na chumvi; na haupaswe kukubali chumvi ya agano la Mungu ikosekane katika toleo lako la nafaka. Kila toleo lenye unatoa, utalitoa pamoja na chumvi.+

14 “‘Kama unamutolea Yehova toleo la nafaka la matunda ya kwanza yenye kukomaa, utatoa nafaka mupya* yenye kukaangwa kwa moto, chenga-chenga za nafaka mupya zenye zilipondwa, kuwa toleo la nafaka la matunda yako ya kwanza yenye kukomaa.+ 15 Utatia mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake. Ni toleo la nafaka. 16 Kuhani atalichoma kama toleo la kumbukumbu ili litoe moshi,+ ni kusema, sehemu fulani ya chenga-chenga za nafaka pamoja na mafuta na ubani wake wote. Ni toleo lenye linatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine