Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Haruni anatoa matoleo ya kuweka makuhani katika madaraka ya ukuhani (1-24)

Mambo ya Walawi 9:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 8:35

Mambo ya Walawi 9:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:3

Mambo ya Walawi 9:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 3:1
  • +Law. 2:4; 6:14
  • +Kut 29:43

Mambo ya Walawi 9:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 16:10; 24:16; 40:34

Mambo ya Walawi 9:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:3
  • +Ebr 7:27
  • +Ebr 5:1-3
  • +Law. 16:33

Mambo ya Walawi 9:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:3, 4

Mambo ya Walawi 9:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 9:22
  • +Law. 4:7; 8:14, 15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 22

Mambo ya Walawi 9:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:8-10

Mambo ya Walawi 9:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:11, 12; Ebr 13:11

Mambo ya Walawi 9:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:5

Mambo ya Walawi 9:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:3; 6:9

Mambo ya Walawi 9:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 2:1, 11, 13
  • +Kut 29:39

Mambo ya Walawi 9:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 3:1, 2

Mambo ya Walawi 9:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 3:3, 4
  • +Law. 3:9, 10

Mambo ya Walawi 9:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:29-31

Mambo ya Walawi 9:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:27, 28

Mambo ya Walawi 9:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 6:23-27; Kum 10:8; 21:5; 1Nya 23:13

Mambo ya Walawi 9:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 6:18; 2Nya 6:3
  • +Law. 9:6

Mambo ya Walawi 9:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 6:21; 1Nya 21:26
  • +1 Fal. 18:38, 39; 2Nya 7:1, 3

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 9:1Law. 8:35
Mambo ya walawi 9:2Law. 4:3
Mambo ya walawi 9:4Law. 3:1
Mambo ya walawi 9:4Law. 2:4; 6:14
Mambo ya walawi 9:4Kut 29:43
Mambo ya walawi 9:6Kut 16:10; 24:16; 40:34
Mambo ya walawi 9:7Law. 4:3
Mambo ya walawi 9:7Ebr 7:27
Mambo ya walawi 9:7Ebr 5:1-3
Mambo ya walawi 9:7Law. 16:33
Mambo ya walawi 9:8Law. 4:3, 4
Mambo ya walawi 9:9Ebr 9:22
Mambo ya walawi 9:9Law. 4:7; 8:14, 15
Mambo ya walawi 9:10Law. 4:8-10
Mambo ya walawi 9:11Law. 4:11, 12; Ebr 13:11
Mambo ya walawi 9:12Law. 1:5
Mambo ya walawi 9:16Law. 1:3; 6:9
Mambo ya walawi 9:17Law. 2:1, 11, 13
Mambo ya walawi 9:17Kut 29:39
Mambo ya walawi 9:18Law. 3:1, 2
Mambo ya walawi 9:19Law. 3:3, 4
Mambo ya walawi 9:19Law. 3:9, 10
Mambo ya walawi 9:20Law. 7:29-31
Mambo ya walawi 9:21Kut 29:27, 28
Mambo ya walawi 9:22Hes 6:23-27; Kum 10:8; 21:5; 1Nya 23:13
Mambo ya walawi 9:232 Sa. 6:18; 2Nya 6:3
Mambo ya walawi 9:23Law. 9:6
Mambo ya walawi 9:24Amu 6:21; 1Nya 21:26
Mambo ya walawi 9:241 Fal. 18:38, 39; 2Nya 7:1, 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 9:1-24

Mambo ya Walawi

9 Siku ya munane (8),+ Musa akamuita Haruni na wana wake na wazee wa Israeli. 2 Akamuambia Haruni: “Ujikamatie kitoto-dume cha ngombe kwa ajili ya toleo la zambi+ na kondoo-dume kwa ajili ya toleo la kuteketezwa, wanyama wenye hawana kasoro, na uwatoe mbele ya Yehova. 3 Lakini utaambia Waisraeli, ‘Mukamate mbuzi-dume kwa ajili ya toleo la zambi na kitoto-dume cha ngombe na mwana-kondoo dume, wote wa mwaka mumoja, wenye hawana kasoro, kwa ajili ya toleo la kuteketezwa, 4 na ngombe-dume na kondoo-dume kwa ajili ya zabihu za ushirika,+ ili kuwatoa kuwa zabihu mbele ya Yehova, na pia toleo la nafaka+ lenye kuchanganywa na mafuta, kwa sababu leo Yehova atawatokea ninyi.’”+

5 Kwa hiyo wakapeleka mbele ya hema ya mukutano vitu vyenye Musa alikuwa ameamuru. Kisha mukusanyiko wote ukakaribia na kusimama mbele ya Yehova. 6 Na Musa akasema: “Ni hivi Yehova ameamuru mufanye, ili utukufu wa Yehova uwatokee ninyi.”+ 7 Kisha Musa akamuambia Haruni: “Uende karibu na mazabahu na utoe toleo lako la zambi+ na toleo lako la kuteketezwa, na ufunike zambi kwa ajili yako mwenyewe+ na kwa ajili ya nyumba yako; na utoe toleo la watu,+ na ufunike zambi kwa ajili yao,+ kama vile Yehova ameamuru.”

8 Haruni akaenda mara moja karibu na mazabahu na akachinja kile kitoto-dume cha ngombe cha toleo la zambi chenye kilikuwa kwa ajili yake mwenyewe.+ 9 Kisha wana wa Haruni wakamuletea damu,+ na akaingiza kidole chake katika damu hiyo na akaitia kwenye pembe za mazabahu, na damu yenye ilibakia akaimwanga kwenye musingi wa mazabahu.+ 10 Akachoma mafuta na figo na mafuta yenye kuwa juu ya maini kutoka katika toleo la zambi ili vitoe moshi juu ya mazabahu, kama vile Yehova alikuwa amemuamuru Musa.+ 11 Na akateketeza kwa moto nyama na ngozi inje ya kambi.+

12 Kisha akachinja toleo la kuteketezwa, na wana wa Haruni wakamupatia damu, na akainyunyiza* kwenye pande zote za mazabahu.+ 13 Wakamupatia vipande vya toleo la kuteketezwa pamoja na kichwa, na akavichoma ili vitoe moshi juu ya mazabahu. 14 Pia, akasafisha matumbotumbo na miguu na akachoma vitu hivyo juu ya toleo la kuteketezwa ili vitoe moshi juu ya mazabahu.

15 Kisha akatoa toleo la watu na akakamata ule mbuzi wa toleo la zambi mwenye alikuwa kwa ajili ya watu na akamuchinja na kutoa toleo la zambi kama vile alifanya na ule wa kwanza. 16 Na akatoa toleo la kuteketezwa na akalitoa kwa kufuata utaratibu wa kawaida.+

17 Kisha akatoa toleo la nafaka;+ akajaza sehemu fulani ya toleo hilo katika mukono wake na akalichoma ili litoe moshi juu ya mazabahu, zaidi ya toleo la kuteketezwa la asubui.+

18 Kisha mambo hayo Haruni akachinja ule ngombe-dume na kondoo-dume wa zabihu ya ushirika mwenye alikuwa kwa ajili ya watu. Kisha wana wa Haruni wakamupatia damu, na akainyunyiza* kwenye pande zote za mazabahu.+ 19 Lakini vipande vya mafuta vya ngombe-dume,+ mukia wenye mafuta wa kondoo-dume, mafuta yenye kufunika viungo vya ndani, na figo, na mafuta yenye kuwa juu ya maini,+ 20 walitia vipande hivyo vyote vya mafuta juu ya vifua, kisha akachoma vipande hivyo vyenye mafuta ili vitoe moshi juu ya mazabahu.+ 21 Lakini, Haruni akatikisa vifua na muguu wa kuume mbele na nyuma kuwa toleo la kutikiswa mbele ya Yehova, kama vile Musa alikuwa ameamuru.+

22 Halafu Haruni akainua mikono yake kuelekea watu na akawabariki+ na akashuka chini kisha kutoa toleo la zambi na toleo la kuteketezwa na zabihu za ushirika. 23 Mwishowe Musa na Haruni wakaingia katika hema ya mukutano na wakatoka inje na kubariki watu.+

Halafu utukufu wa Yehova ukatokea watu wote,+ 24 na moto ukashuka kutoka kwa Yehova+ na ukaanza kuteketeza lile toleo la kuteketezwa na vile vipande vya mafuta vyenye vilikuwa kwenye mazabahu. Wakati watu wote waliona jambo hilo, wakaanza kupiga vigelegele na wakaanguka uso chini.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine