Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zekaria

      • Mumuombe Yehova awapatie mvua, musiombe miungu ya uongo (1, 2)

      • Yehova anaunganisha watu wake (3-12)

        • Mutu wa maana kutoka katika nyumba ya Yuda (3, 4)

Zekaria 10:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 11:14; Yer 14:22; 51:16; Eze 34:26; Yoe 2:23

Zekaria 10:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “miungu ya familia imesema; sanamu zimesema.”

  • *

    Ao “mambo ya uchawi.”

Zekaria 10:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbuzi-dume.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 34:16, 17

Zekaria 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “munara wa pembe,” wenye unafananisha mutu wa maana; mukubwa.

  • *

    Tnn., “kipande kidogo cha muti,” chenye kinafananisha mutu mwenye anatoa musaada; mutawala.”

  • *

    Ao “musimamizi wa kazi.”

Zekaria 10:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 20:1
  • +Hag 2:22

Zekaria 10:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 3:18; Eze 37:16, 19; Ho 1:10, 11
  • +Yer 31:9, 20
  • +Yer 30:18

Zekaria 10:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 9:15
  • +Isa 66:14; Sef 3:14

Zekaria 10:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 44:22; 51:11

Zekaria 10:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:11
  • +Yer 50:19; Mik 7:14
  • +Isa 49:19, 20; 54:1, 2

Zekaria 10:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:15
  • +Isa 19:1; Eze 30:13

Zekaria 10:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:10; 45:24
  • +Mik 4:5

Maandiko ingine

Zek. 10:1Kum 11:14; Yer 14:22; 51:16; Eze 34:26; Yoe 2:23
Zek. 10:3Eze 34:16, 17
Zek. 10:5Kum 20:1
Zek. 10:5Hag 2:22
Zek. 10:6Yer 3:18; Eze 37:16, 19; Ho 1:10, 11
Zek. 10:6Yer 31:9, 20
Zek. 10:6Yer 30:18
Zek. 10:7Zek 9:15
Zek. 10:7Isa 66:14; Sef 3:14
Zek. 10:8Isa 44:22; 51:11
Zek. 10:10Isa 11:11
Zek. 10:10Yer 50:19; Mik 7:14
Zek. 10:10Isa 49:19, 20; 54:1, 2
Zek. 10:11Isa 11:15
Zek. 10:11Isa 19:1; Eze 30:13
Zek. 10:12Isa 41:10; 45:24
Zek. 10:12Mik 4:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zekaria 10:1-12

Zekaria

10 “Mumuombe Yehova mvua katika kipindi cha mvua ya mwisho.

Yehova ndiye anafanya mawingu ya zoruba,

Yeye ndiye anawamwangia mvua,+

Na kupatia kila mutu mimea katika shamba.

 2 Kwa maana sanamu za terafimu zimesema* udanganyifu;*

Na waaguzi wamepata maono ya uongo.

Wanasema juu ya ndoto za bure,

Na wanajaribu kutoa faraja lakini wanashindwa.

Ndiyo sababu watatanga-tanga kama kondoo.

Watateseka, kwa maana hakuna muchungaji.

 3 Kasirani yangu inawaka juu ya wachungaji,

Na nitaomba viongozi wenye kukandamiza* watoe hesabu;

Kwa maana Yehova wa majeshi ameelekeza uangalifu wake kwa kundi lake,+ kwa nyumba ya Yuda,

Na amewafanya kuwa kama farasi wake mwenye heshima katika mapigano.

 4 Kutoka kwake kunakuja mutu wa maana,*

Kutoka kwake kunakuja mutawala mwenye kutegemeza,*

Kutoka kwake kunakuja upinde wa vita;

Kwake kunatoka kila mwangalizi,* wote pamoja.

 5 Na watakuwa kama wapiganaji-vita,

Wenye wanakanyanga matope ya barabara katika mapigano.

Watapigana vita, kwa maana Yehova iko* pamoja nao;+

Na wapanda-farasi watapatishwa haya.+

 6 Nitafanya nyumba ya Yuda ikuwe yenye nguvu,

Na nitaokoa nyumba ya Yosefu.+

Nitawarudisha,

Kwa maana nitawaonyesha rehema;+

Na watakuwa kama vile sijawakataa hata siku moja;+

Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao, na nitawajibu.

 7 Wale wa Efraimu wanapaswa kuwa kama mupiganaji-vita mwenye nguvu,

Na moyo wao utafurahi kama wenye walikunywa divai.+

Wana wao wataona jambo hilo na kufurahi;

Moyo wao utakuwa wenye furaha katika Yehova.+

 8 ‘Nitawapigia muluzi na kuwakusanya pamoja;

Kwa maana nitawakomboa,+ na watakuwa wengi,

Na wataendelea kuwa wengi.

 9 Hata kama ninawatawanya kama mbegu kati ya vikundi vya watu,

Watanikumbuka wakiwa katika maeneo ya mbali;

Watarudia kwenye uzima pamoja na wana wao na kurudia.

10 Nitawarudisha kutoka inchi ya Misri

Na kuwakusanya kutoka Ashuru;+

Nitawaleta kwenye inchi ya Gileadi+ na Lebanoni,

Na hakutakuwa tena nafasi kwa ajili yao.+

11 Anapaswa kupita katika bahari kwa taabu;

Na ndani ya bahari atapiga mawimbi;+

Sehemu zote za chini kabisa za Muto Nile zitakauka.

Kiburi cha Ashuru kitashushwa,

Na fimbo ya Misri itaondoka.+

12 Nitawafanya kuwa na nguvu katika Yehova,+

Na watatembea huku na huku katika jina lake,’+ ni vile Yehova anasema.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine