Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Agano pamoja na Israeli kule Moabu (1-13)

      • Onyo kuhusu kukosa kutii (14-29)

        • Mambo yenye kufichwa, mambo yenye kufunuliwa (29)

Kumbukumbu la Torati 29:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:8

Kumbukumbu la Torati 29:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:4; Yosh. 24:5

Kumbukumbu la Torati 29:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “majaribu makubwa yenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:34; Ne 9:10

Kumbukumbu la Torati 29:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 11:8

Kumbukumbu la Torati 29:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 1:3; 8:2
  • +Kum 8:4; Ne 9:21; Mt 6:31

Kumbukumbu la Torati 29:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:26
  • +Hes 21:33
  • +Zab 135:10, 11

Kumbukumbu la Torati 29:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:33; Kum 3:12, 13

Kumbukumbu la Torati 29:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:6; 8:18; Yosh. 1:7, 8; 1 Fal. 2:3; Zab 103:17, 18; Lu 11:28

Kumbukumbu la Torati 29:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 8:2
  • +Kut 12:38

Kumbukumbu la Torati 29:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 1:3; 29:1

Kumbukumbu la Torati 29:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5; Kum 7:6; 28:9
  • +Kut 6:7; 29:45
  • +Mwa 17:1, 7; 22:16, 17
  • +Mwa 26:3
  • +Mwa 28:13

Kumbukumbu la Torati 29:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 2:4

Kumbukumbu la Torati 29:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine neno la Kiebrania lenye linatumiwa hapa linahusiana na maneno “mavi ya wanyama” na linatumiwa ili kuonyesha zarau.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 25:1, 2

Kumbukumbu la Torati 29:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 11:16; Ebr 3:12
  • +Ebr 12:15

Kumbukumbu la Torati 29:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kitu chenye kumwangiwa maji muzuri pamoja na kitu chenye kukauka.”

Kumbukumbu la Torati 29:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 24:19
  • +Kum 27:26; 28:15

Kumbukumbu la Torati 29:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:24; Yud 7
  • +Mwa 10:19; 14:2

Kumbukumbu la Torati 29:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:8, 9; 2Nya 7:21, 22; Yer 22:8, 9

Kumbukumbu la Torati 29:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 19:10
  • +Yer 31:32

Kumbukumbu la Torati 29:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hawakukuwa wamepewa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:12

Kumbukumbu la Torati 29:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:16; Kum 27:26

Kumbukumbu la Torati 29:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:45, 63; 1 Fal. 14:15; 2 Fal. 17:18; Lu 21:24
  • +Ezr 9:7; Da. 9:7

Kumbukumbu la Torati 29:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 11:33
  • +Zab 78:5; Mhu. 12:13

Maandiko ingine

Kum. 29:1Kut 24:8
Kum. 29:2Kut 19:4; Yosh. 24:5
Kum. 29:3Kum 4:34; Ne 9:10
Kum. 29:4Rom. 11:8
Kum. 29:5Kum 1:3; 8:2
Kum. 29:5Kum 8:4; Ne 9:21; Mt 6:31
Kum. 29:7Hes 21:26
Kum. 29:7Hes 21:33
Kum. 29:7Zab 135:10, 11
Kum. 29:8Hes 32:33; Kum 3:12, 13
Kum. 29:9Kum 4:6; 8:18; Yosh. 1:7, 8; 1 Fal. 2:3; Zab 103:17, 18; Lu 11:28
Kum. 29:11Ne 8:2
Kum. 29:11Kut 12:38
Kum. 29:12Kum 1:3; 29:1
Kum. 29:13Kut 19:5; Kum 7:6; 28:9
Kum. 29:13Kut 6:7; 29:45
Kum. 29:13Mwa 17:1, 7; 22:16, 17
Kum. 29:13Mwa 26:3
Kum. 29:13Mwa 28:13
Kum. 29:16Kum 2:4
Kum. 29:17Hes 25:1, 2
Kum. 29:18Kum 11:16; Ebr 3:12
Kum. 29:18Ebr 12:15
Kum. 29:20Yosh. 24:19
Kum. 29:20Kum 27:26; 28:15
Kum. 29:23Mwa 19:24; Yud 7
Kum. 29:23Mwa 10:19; 14:2
Kum. 29:241 Fal. 9:8, 9; 2Nya 7:21, 22; Yer 22:8, 9
Kum. 29:251 Fal. 19:10
Kum. 29:25Yer 31:32
Kum. 29:26Amu 2:12
Kum. 29:27Law. 26:16; Kum 27:26
Kum. 29:28Kum 28:45, 63; 1 Fal. 14:15; 2 Fal. 17:18; Lu 21:24
Kum. 29:28Ezr 9:7; Da. 9:7
Kum. 29:29Rom. 11:33
Kum. 29:29Zab 78:5; Mhu. 12:13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 29:1-29

Kumbukumbu la Torati

29 Haya ndiyo maneno ya agano lenye Yehova alimuamuru Musa afanye pamoja na watu wa Israeli katika inchi ya Moabu, zaidi ya lile agano lenye alifanya pamoja nao kule Horebu.+

2 Kisha Musa akaita Israeli wote na kuwaambia, “Mumeona mambo yote yenye Yehova alifanya mbele ya macho yenu katika inchi ya Misri juu ya Farao na juu ya watumishi wake wote na inchi yake yote,+ 3 hukumu kubwa zenye* macho yako yaliona, zile alama kubwa na miujiza.+ 4 Lakini Yehova hajawapatia moyo wa kuelewa na macho ya kuona na masikio ya kusikia, mupaka leo.+ 5 ‘Wakati nilikuwa ninawaongoza kwa miaka makumi ine (40) katika jangwa,+ nguo zenu hazikuzeeka juu yenu na viatu vyenu havikuzeeka kwenye miguu yenu.+ 6 Hamukukula mukate, na hamukukunywa divai wala pombe yoyote, ili mujue kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu.’ 7 Mwishowe mulifika mahali hapa, na Sihoni mufalme wa Heshboni+ na Ogu mufalme wa Bashani+ wakakuja kupigana na sisi, lakini tuliwashinda.+ 8 Kisha pale tulikamata inchi yao na kuipatia Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase kuwa uriti wao.+ 9 Kwa hiyo, mushike maneno ya agano hili na kuyatii, ili kila jambo lenye munafanya likuwe na matokeo mazuri.+

10 “Leo ninyi wote munasimama mbele ya Yehova Mungu wenu; vichwa vya makabila yenu, wazee wenu, maofisa wenu, kila mwanaume wa Israeli, 11 watoto wenu, bibi zenu,+ na mukaaji mugeni+ mwenye anaishi katikati ya kambi yako, kuanzia mutu mwenye anakuokotea kuni mupaka mutu mwenye anakushotea maji. 12 Uko hapa ili uingie katika agano la Yehova Mungu wako na kiapo chake, agano lenye Yehova Mungu wako anafanya pamoja na wewe leo+ 13 ili akufanye leo kuwa kikundi chake cha watu+ na akuwe Mungu wako,+ kama vile amekuahidi na kama vile aliapia mababu zako, Abrahamu,+ Isaka,+ na Yakobo.+

14 “Sasa sifanye agano hili na kiapo hiki pamoja na ninyi tu, 15 lakini ni pamoja na wale wenye kusimama hapa pamoja na sisi leo mbele ya Yehova Mungu wetu na pamoja na wale wenye hawako hapa pamoja na sisi leo. 16 (Kwa maana munajua muzuri namna tuliishi katika inchi ya Misri na namna tulipita katikati ya mataifa mbalimbali wakati tulikuwa katika safari.+ 17 Na mulikuwa munaona vitu vyao vyenye kuchukiza na sanamu zao zenye kuchukiza*+ za miti na majiwe, feza na zahabu, zenye walikuwa nazo.) 18 Mukuwe waangalifu ili kusikuwe mwanaume ao mwanamuke, familia ao kabila kati yenu leo lenye moyo wake utageuka na kumuacha Yehova Mungu wetu ili kuenda kutumikia miungu ya mataifa hayo,+ ili kusikuwe kati yenu muzizi wenye kuzaa tunda lenye sumu na pakanga.+

19 “Lakini kama mutu anasikia maneno ya kiapo hiki na anajivuna katika moyo wake, na kusema, ‘Nitakuwa na amani, hata kama ninaendelea kutembea katika njia za moyo wangu mwenyewe,’ na hivyo kuharibu kila kitu* katika njia yake, 20 Yehova hatakuwa tayari kumusamehe.+ Lakini, kasirani kali ya Yehova itawaka juu ya mutu huyo, na laana yote yenye kuandikwa katika kitabu hiki hakika itakuja juu yake,+ na Yehova kwa kweli atafuta jina la mutu huyo chini ya mbingu. 21 Kisha Yehova atamuondoa katika makabila yote ya Israeli ili apate musiba kulingana na laana yote ya agano yenye kuandikwa katika kitabu hiki cha Sheria.

22 “Wakati kizazi cha siku zenye kuja cha wana wenu na mugeni kutoka inchi ya mbali wataona mapigo ya inchi, magonjwa yenye Yehova ameleta juu ya inchi⁠— 23 kiberiti na chumvi na kuteketea, na hivyo inchi yote haitapandwa wala kuotesha mimea, wala hakuna mumea wowote wenye utaota ndani yake, kama vile ilikuwa wakati wa kupinduliwa kwa Sodoma na Gomora,+ Adma na Seboimu,+ miji yenye Yehova alipindua katika kasirani yake na katika kasirani yake kali⁠—​ 24 wao na mataifa yote watasema, ‘Sababu gani Yehova alitendea hivi inchi hii?+ Ni nini kilitokeza kasirani hii kali, yenye kuwaka?’ 25 Kisha watasema, ‘Ni kwa sababu waliacha agano la Yehova,+ Mungu wa mababu zao, lenye alifanya nao wakati aliwatosha katika inchi ya Misri.+ 26 Lakini walienda na kutumikia miungu mingine na kuiinamia, miungu yenye hawakukuwa wamejua na yenye hakukuwa amewaruhusu waabudu.*+ 27 Basi kasirani yenye kuwaka ya Yehova ikakuja juu ya inchi hiyo kwa kuleta juu ya inchi hiyo laana yote yenye kuandikwa katika kitabu hiki.+ 28 Kwa hiyo, Yehova akawaongoa kutoka kwenye udongo wao katika kasirani yake+ na kasirani kali na kuuzika sana na akawapeleka katika inchi ingine, mahali kwenye wako leo.’+

29 “Mambo yenye kufichwa ni ya Yehova Mungu wetu,+ lakini mambo yenye kufunuliwa ni yetu na wazao wetu milele, ili tushike maneno yote ya Sheria hii.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine