Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Sababu gani Israeli alipewa ile inchi (1-6)

      • Israeli wanamukasirisha Yehova mara ine (7-29)

        • Kitoto-dume cha ngombe cha zahabu (7-14)

        • Musa anamulilia Mungu (15-21, 25-29)

        • Wanamukasirisha mara tatu zaidi (22)

Kumbukumbu la Torati 9:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, yenye kuta za murefu sana.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 4:19
  • +Kum 7:1
  • +Hes 13:28

Kumbukumbu la Torati 9:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:33

Kumbukumbu la Torati 9:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ukamate inchi yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 1:30; 20:4; 31:3
  • +Kum 4:24; Ebr 12:29
  • +Kut 23:31; Kum 7:23, 24

Kumbukumbu la Torati 9:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:7, 8; Eze 36:22
  • +Mwa 15:16; Kum 12:31; 18:9, 12

Kumbukumbu la Torati 9:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:25
  • +Mwa 13:14, 15; 17:1, 8
  • +Mwa 26:3
  • +Mwa 28:13

Kumbukumbu la Torati 9:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wenye shingo ngumu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:9; Zab 78:8

Kumbukumbu la Torati 9:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 9:22; Zab 78:40; Ebr 3:16
  • +Kut 17:2; Hes 11:4; 16:1, 2; 25:2, 3; Kum 31:27

Kumbukumbu la Torati 9:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:4, 10

Kumbukumbu la Torati 9:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:12; 31:18; 32:16
  • +Kut 24:7
  • +Kut 24:18

Kumbukumbu la Torati 9:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kutaniko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:19; Kum 4:10-13

Kumbukumbu la Torati 9:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sanamu ya kuyeyushwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:7
  • +Kut 32:4

Kumbukumbu la Torati 9:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wenye shingo ngumu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:9

Kumbukumbu la Torati 9:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:10

Kumbukumbu la Torati 9:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:18
  • +Kut 32:15

Kumbukumbu la Torati 9:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “cha kuyeyushwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:3, 4

Kumbukumbu la Torati 9:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:19

Kumbukumbu la Torati 9:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:28

Kumbukumbu la Torati 9:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:10
  • +Kut 32:11, 14; Zab 106:23

Kumbukumbu la Torati 9:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “niliomba dua.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:2, 21

Kumbukumbu la Torati 9:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:4
  • +Kut 32:20

Kumbukumbu la Torati 9:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 11:3
  • +Kut 17:7
  • +Hes 11:4, 34

Kumbukumbu la Torati 9:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:26
  • +Hes 14:3, 4
  • +Kum 1:32; Zab 106:24, 25; Ebr 3:19

Kumbukumbu la Torati 9:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:28

Kumbukumbu la Torati 9:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuomba dua kwa.”

  • *

    Ao “uriti wako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5; Zab 135:4
  • +Kut 32:11

Kumbukumbu la Torati 9:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:6; 6:8; Kum 9:5
  • +Kut 32:31, 32

Kumbukumbu la Torati 9:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:12; Hes 14:15, 16

Kumbukumbu la Torati 9:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uriti wako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:51; Ne 1:10
  • +Kut 6:6; Kum 4:20, 34

Maandiko ingine

Kum. 9:1Yosh. 4:19
Kum. 9:1Kum 7:1
Kum. 9:1Hes 13:28
Kum. 9:2Hes 13:33
Kum. 9:3Kum 1:30; 20:4; 31:3
Kum. 9:3Kum 4:24; Ebr 12:29
Kum. 9:3Kut 23:31; Kum 7:23, 24
Kum. 9:4Kum 7:7, 8; Eze 36:22
Kum. 9:4Mwa 15:16; Kum 12:31; 18:9, 12
Kum. 9:5Law. 18:25
Kum. 9:5Mwa 13:14, 15; 17:1, 8
Kum. 9:5Mwa 26:3
Kum. 9:5Mwa 28:13
Kum. 9:6Kut 34:9; Zab 78:8
Kum. 9:7Kum 9:22; Zab 78:40; Ebr 3:16
Kum. 9:7Kut 17:2; Hes 11:4; 16:1, 2; 25:2, 3; Kum 31:27
Kum. 9:8Kut 32:4, 10
Kum. 9:9Kut 24:12; 31:18; 32:16
Kum. 9:9Kut 24:7
Kum. 9:9Kut 24:18
Kum. 9:10Kut 19:19; Kum 4:10-13
Kum. 9:12Kut 32:7
Kum. 9:12Kut 32:4
Kum. 9:13Kut 32:9
Kum. 9:14Kut 32:10
Kum. 9:15Kut 19:18
Kum. 9:15Kut 32:15
Kum. 9:16Kut 20:3, 4
Kum. 9:17Kut 32:19
Kum. 9:18Kut 34:28
Kum. 9:19Kut 32:10
Kum. 9:19Kut 32:11, 14; Zab 106:23
Kum. 9:20Kut 32:2, 21
Kum. 9:21Kut 32:4
Kum. 9:21Kut 32:20
Kum. 9:22Hes 11:3
Kum. 9:22Kut 17:7
Kum. 9:22Hes 11:4, 34
Kum. 9:23Hes 13:26
Kum. 9:23Hes 14:3, 4
Kum. 9:23Kum 1:32; Zab 106:24, 25; Ebr 3:19
Kum. 9:25Kut 34:28
Kum. 9:26Kut 19:5; Zab 135:4
Kum. 9:26Kut 32:11
Kum. 9:27Kut 3:6; 6:8; Kum 9:5
Kum. 9:27Kut 32:31, 32
Kum. 9:28Kut 32:12; Hes 14:15, 16
Kum. 9:291 Fal. 8:51; Ne 1:10
Kum. 9:29Kut 6:6; Kum 4:20, 34
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 9:1-29

Kumbukumbu la Torati

9 “Sikia, Ee Israeli, leo unavuka Yordani+ ili kuingia na kukamata inchi ya mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko wewe,+ miji mikubwa na yenye ngome zenye kufika mbinguni,*+ 2 watu wenye nguvu na warefu, wana wa Waanaki,+ wenye unajua na umesikia watu wanasema kuwahusu: ‘Ni nani anaweza kusimama mbele ya wana wa Anaki?’ 3 Kwa hiyo, unapaswa kujua leo kwamba Yehova Mungu wako atavuka mbele yako.+ Yeye ni moto wenye kuteketeza,+ na atawaharibu. Atawanyenyekeza mbele ya macho yako ili uwafukuze haraka* na kuwaharibu, kama vile Yehova amekuahidi.+

4 “Usiseme katika moyo wako wakati Yehova Mungu wako atawafukuza mbele yako, ‘Ni kwa sababu ya haki yangu ndiyo maana Yehova amenileta ili niriti inchi hii.’+ Lakini, ni kwa sababu ya uovu wa mataifa hayo+ ndiyo maana Yehova anayafukuza mbele yako. 5 Haiko kwa sababu ya haki yako ao unyoofu wa moyo wako ndiyo maana unaingia ili kuriti inchi yao. Lakini, ni kwa sababu ya uovu wa mataifa hayo ndiyo maana Yehova Mungu wako anayafukuza mbele yako+ na ili kutimiza neno lenye Yehova aliapia mababu zako, Abrahamu,+ Isaka,+ na Yakobo.+ 6 Basi, ujue kwamba haiko kwa sababu ya haki yako ndiyo maana Yehova Mungu wako anakupatia inchi hii ya muzuri ili uiriti; kwa sababu ninyi ni watu wenye kuwa kichwa-nguvu.*+

7 “Kumbuka⁠—​usisahau hata kidogo⁠—​namna ulimuchokoza Yehova Mungu wako katika jangwa.+ Tangu siku yenye ulitoka katika inchi ya Misri mupaka wakati mulifika mahali hapa, mumemuasi Yehova.+ 8 Hata katika Horebu mulimuchokoza Yehova, na Yehova aliwakasirikia sana na hivyo alikuwa tayari kuwaharibu.+ 9 Wakati nilipanda mulima ili kupokea yale mabamba ya majiwe,+ mabamba ya agano lenye Yehova alifanya pamoja na ninyi,+ nilibakia kwenye mulima siku makumi ine (40) muchana na usiku,+ sikukula chakula wala kunywa maji. 10 Kisha Yehova akanipatia yale mabamba mbili ya majiwe yenye yaliandikwa na kidole cha Mungu, na juu yake kulikuwa maneno yote yenye Yehova alikuwa amewaambia kwenye mulima kutoka katika moto siku ya mukusanyiko.*+ 11 Kwenye mwisho wa zile siku makumi ine (40) muchana na usiku, Yehova alinipatia yale mabamba mbili ya majiwe, yale mabamba ya agano, 12 na Yehova akaniambia, ‘Simama, shuka haraka kutoka hapa, kwa sababu watu wako wenye ulitosha Misri wametenda kwa upotovu.+ Wamegeuka haraka kutoka katika njia yenye niliwaamuru wafuate. Wamejitengenezea sanamu ya metali.’*+ 13 Kisha Yehova akaniambia, ‘Nimeona watu hawa, na angalia! ni watu wenye kuwa kichwa-nguvu.*+ 14 Uniache, na nitawaharibu na kufuta jina lao chini ya mbingu, na acha nikufanye wewe kuwa taifa lenye nguvu na lenye watu wengi kuliko wao.’+

15 “Kisha nikageuka na kushuka mulima wakati mulima ulikuwa unawaka moto,+ na yale mabamba mbili ya agano yalikuwa katika mikono yangu mbili.+ 16 Kisha nikaangalia na kuona kwamba mulikuwa mumemutendea Yehova Mungu wenu zambi! Mulikuwa mumejitengenezea kitoto-dume cha ngombe cha metali.* Mulikuwa mumegeuka haraka kutoka katika njia yenye Yehova alikuwa amewaamuru mufuate.+ 17 Kwa hiyo nikashika yale mabamba mbili na kuyatupa chini kwa mikono yangu mbili na kuyavunja-vunja mbele ya macho yenu.+ 18 Kisha nikainama uso chini mbele ya Yehova kwa siku makumi ine (40), muchana na usiku, kama mara ya kwanza. Sikukula chakula wala kunywa maji,+ kwa sababu ya zambi zote zenye mulikuwa mumetenda kwa kufanya uovu mbele ya macho ya Yehova na kumukasirisha. 19 Kwa maana niliogopa sana kwa sababu ya kasirani kubwa ya Yehova juu yenu,+ kwa maana alikuwa tayari kuwaharibu. Lakini, Yehova alinisikiliza wakati huo pia.+

20 “Yehova alimukasirikia sana Haruni na hivyo alikuwa tayari kumuharibu,+ lakini nilimulilia Mungu* kwa ajili ya Haruni wakati huo pia. 21 Kisha nikakamata kile kitu cha zambi chenye mulitengeneza, kile kitoto-dume cha ngombe,+ na kukiteketeza ndani ya moto; nikakiponda na kukisagasaga kabisa mupaka kikakuwa laini kama mavumbi, na nikatupa mavumbi hayo katika muto mudogo wenye kutiririka kutoka kwenye mulima.+

22 “Tena, mulimukasirisha pia Yehova kule Tabera,+ kule Masa,+ na kule Kibrot-hataava.+ 23 Wakati Yehova aliwatuma kutoka Kadesh-barnea+ na kuwaambia, ‘Mupande na kuriti inchi yenye hakika nitawapatia!’ muliasi tena agizo la Yehova Mungu wenu,+ na hamukuonyesha imani+ katika yeye na hamukumutii. 24 Mumemuasi Yehova tangu nimewajua.

25 “Kwa hiyo niliendelea kuinama uso chini mbele ya Yehova siku makumi ine (40),+ muchana na usiku, kwa maana niliinamisha uso mupaka chini kwa njia hiyo kwa sababu Yehova alisema atawaharibu. 26 Nikaanza kumulilia* Yehova na kusema, ‘Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova, usiharibu watu hawa. Wao ni mali yako mwenyewe,*+ watu wenye ulikomboa kwa ukubwa wako na kuwatosha Misri kwa mukono wenye nguvu.+ 27 Kumbuka watumishi wako Abrahamu, Isaka, na Yakobo.+ Usikazie uangalifu ugumu wa moyo wa watu hawa, uovu wao, na zambi yao.+ 28 Kama unafanya vile watu wa inchi kwenye ulitutosha wanaweza kusema: “Yehova hakuweza kuwaingiza katika inchi yenye aliwaahidi, na kwa sababu aliwachukia, aliwatosha ili awaue katika jangwa.”+ 29 Kwa maana ni watu wako na mali yako mwenyewe,*+ watu wenye ulitosha kwa nguvu zako kubwa na kwa mukono wako wenye kunyooshwa.’+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine