Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Hotuba ya Samweli ya kuaga watu (1-25)

        • ‘Musifuate mambo yenye hayana maana’ (21)

        • Yehova hataacha watu wake (22)

1 Samweli 12:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nimesikiliza sauti yenu kuhusu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 8:5; 10:24; 11:14, 15

1 Samweli 12:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwenye anatembea mbele yenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 8:20
  • +1 Sa. 8:1, 3
  • +1 Sa. 3:19

1 Samweli 12:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kata-midomo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 9:16, 17; 10:1
  • +Hes 16:15
  • +Kum 16:19
  • +Kut 22:4; Law. 6:4

1 Samweli 12:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hamukupata kitu chochote katika mukono wangu.”

1 Samweli 12:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:26

1 Samweli 12:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 46:6
  • +Kut 2:23
  • +Kut 3:9, 10
  • +Yosh. 11:23

1 Samweli 12:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:18, 30; Amu 2:12, 14
  • +Amu 4:2
  • +Amu 10:7; 13:1
  • +Amu 3:12

1 Samweli 12:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:18; 3:9
  • +Amu 10:10, 15
  • +Amu 3:7
  • +Amu 2:13

1 Samweli 12:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 6:32
  • +Amu 11:1
  • +Ebr 11:32
  • +Law. 26:6

1 Samweli 12:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 11:1
  • +1 Sa. 8:5, 19
  • +Amu 8:23; 1 Sa. 8:7; Isa 33:22

1 Samweli 12:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 9:16, 17; 10:24

1 Samweli 12:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:12; 17:19
  • +Yosh. 24:14
  • +Kum 13:4; 28:2

1 Samweli 12:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:14, 17; Kum 28:15; Yosh. 24:20

1 Samweli 12:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 8:7; Ho 13:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 59

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2010, uku. 14

1 Samweli 12:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 66

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2010, uku. 18

1 Samweli 12:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 7:5; 12:23

1 Samweli 12:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:29; Yosh. 23:6; 1 Sa. 12:15
  • +Kum 6:5

1 Samweli 12:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mambo ya kuwazia-wazia tu.”

  • *

    Ao “ni mambo ya kuwazia-wazia tu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:21; Yer 2:11
  • +Zab 115:4, 5; Yer 16:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 13-14

1 Samweli 12:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 7:9; Zab 23:3; 106:8; Yer 14:21; Eze 20:14
  • +1 Fal. 6:13; Zab 94:14; Rom. 11:1
  • +Kut 19:5; Kum 7:7

1 Samweli 12:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 28-29

1 Samweli 12:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “katika kweli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 12:14; Zab 111:10; Mhu. 12:13
  • +Kum 10:12, 21

1 Samweli 12:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 24:20
  • +Kum 28:15, 36

Maandiko ingine

1 Sam. 12:11 Sa. 8:5; 10:24; 11:14, 15
1 Sam. 12:21 Sa. 8:20
1 Sam. 12:21 Sa. 8:1, 3
1 Sam. 12:21 Sa. 3:19
1 Sam. 12:31 Sa. 9:16, 17; 10:1
1 Sam. 12:3Hes 16:15
1 Sam. 12:3Kum 16:19
1 Sam. 12:3Kut 22:4; Law. 6:4
1 Sam. 12:6Kut 6:26
1 Sam. 12:8Mwa 46:6
1 Sam. 12:8Kut 2:23
1 Sam. 12:8Kut 3:9, 10
1 Sam. 12:8Yosh. 11:23
1 Sam. 12:9Kum 32:18, 30; Amu 2:12, 14
1 Sam. 12:9Amu 4:2
1 Sam. 12:9Amu 10:7; 13:1
1 Sam. 12:9Amu 3:12
1 Sam. 12:10Amu 2:18; 3:9
1 Sam. 12:10Amu 10:10, 15
1 Sam. 12:10Amu 3:7
1 Sam. 12:10Amu 2:13
1 Sam. 12:11Amu 6:32
1 Sam. 12:11Amu 11:1
1 Sam. 12:11Ebr 11:32
1 Sam. 12:11Law. 26:6
1 Sam. 12:121 Sa. 11:1
1 Sam. 12:121 Sa. 8:5, 19
1 Sam. 12:12Amu 8:23; 1 Sa. 8:7; Isa 33:22
1 Sam. 12:131 Sa. 9:16, 17; 10:24
1 Sam. 12:14Kum 10:12; 17:19
1 Sam. 12:14Yosh. 24:14
1 Sam. 12:14Kum 13:4; 28:2
1 Sam. 12:15Law. 26:14, 17; Kum 28:15; Yosh. 24:20
1 Sam. 12:171 Sa. 8:7; Ho 13:11
1 Sam. 12:191 Sa. 7:5; 12:23
1 Sam. 12:20Kum 31:29; Yosh. 23:6; 1 Sa. 12:15
1 Sam. 12:20Kum 6:5
1 Sam. 12:21Kum 32:21; Yer 2:11
1 Sam. 12:21Zab 115:4, 5; Yer 16:19
1 Sam. 12:22Yosh. 7:9; Zab 23:3; 106:8; Yer 14:21; Eze 20:14
1 Sam. 12:221 Fal. 6:13; Zab 94:14; Rom. 11:1
1 Sam. 12:22Kut 19:5; Kum 7:7
1 Sam. 12:241 Sa. 12:14; Zab 111:10; Mhu. 12:13
1 Sam. 12:24Kum 10:12, 21
1 Sam. 12:25Yosh. 24:20
1 Sam. 12:25Kum 28:15, 36
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 12:1-25

Cha Kwanza cha Samweli

12 Mwishowe Samweli akaambia Israeli wote: “Angalia nimefanya* mambo yote yenye muliniomba, na nimeweka mufalme atawale juu yenu.+ 2 Sasa huyu ndiye mufalme mwenye anawaongoza!*+ Lakini mimi nimezeeka na nimekuwa na imvi, na wana wangu wako hapa pamoja na ninyi,+ na nimewaongoza ninyi tangu ujana wangu mupaka leo.+ 3 Mimi huyu. Mushuhudie juu yangu mbele ya Yehova na mbele ya mutiwa-mafuta wake:+ Nimekamata ngombe-dume wa nani ao punda wa nani?+ Ao nimemupunja nani ao kumuponda-ponda? Nimepokea rushwa* katika mukono wa nani ili inifunge macho?+ Kama nimefanya vile, nitawarudishia.”+ 4 Basi wakasema: “Haujatupunja wala kutuponda-ponda wala kupokea kitu chochote katika mukono wa mutu yeyote.” 5 Kwa hiyo akawaambia: “Yehova ni shahidi juu yenu, na mutiwa-mafuta wake ni shahidi leo kwamba hamukupata jambo lolote la kunishitaki.”* Basi wakasema: “Yeye ni shahidi.”

6 Kwa hiyo Samweli akaambia watu: “Yehova, mwenye alitumia Musa na Haruni na mwenye alipandisha mababu zenu kutoka katika inchi ya Misri,+ ni shahidi. 7 Na sasa musimame, na nitawahukumu mbele ya Yehova kwa musingi wa matendo yote ya haki yenye Yehova amewatendea ninyi na mababu zenu.

8 “Wakati tu Yakobo alikuwa ameingia Misri+ na mababu zenu kuanza kumuomba Yehova awasaidie,+ Yehova alituma Musa+ na Haruni ili waongoze mababu zenu kutoka Misri na wawafanye waishi mahali hapa.+ 9 Lakini walimusahau Yehova Mungu wao, na akawauzisha+ katika mukono wa Sisera+ mukubwa wa jeshi la Hasori na katika mukono wa Wafilisti+ na katika mukono wa mufalme wa Moabu,+ na wakapigana nao. 10 Na wakamuomba Yehova awasaidie+ na kusema, ‘Tumetenda zambi,+ kwa maana tumemuacha Yehova ili kutumikia Mabaali+ na sanamu za Ashtoreti;+ sasa utuokoe katika mukono wa maadui wetu ili tukutumikie.’ 11 Basi Yehova akatuma Yerubaali+ na Bedani na Yefta+ na Samweli+ na akawaokoa ninyi katika mukono wa maadui wenye waliwazunguka pande zote, ili muishi kwa usalama.+ 12 Wakati muliona kwamba Nahashi,+ mufalme wa Waamoni alikuwa amekuja kuwashambulia, muliniambia tena na tena, ‘Hapana, tumeazimia kuwa na mufalme juu yetu!’+ hata kama Yehova Mungu wenu ndiye Mufalme wenu.+ 13 Sasa huyu ndiye mufalme mwenye mulichagua, mwenye muliomba. Muangalie! Yehova ameweka mufalme juu yenu.+ 14 Kama munamuogopa Yehova+ na kumutumikia+ na kutii sauti yake+ na kama hamuasi agizo la Yehova, na kama ninyi pamoja na mufalme mwenye kutawala juu yenu munamufuata Yehova Mungu wenu, itakuwa muzuri. 15 Lakini kama hamutii sauti ya Yehova na kama munaasi agizo la Yehova, mukono wa Yehova utawapiga ninyi na baba zenu.+ 16 Sasa musimame na muone jambo hili kubwa lenye Yehova anafanya mbele ya macho yenu. 17 Je, leo haiko mavuno ya ngano? Nitamuomba Yehova alete mungurumo na mvua; halafu mujue na kuelewa uovu mukubwa wenye mulifanya mbele ya macho ya Yehova kwa kuomba mufalme kwa ajili yenu.”+

18 Basi Samweli akamuomba Yehova, na Yehova akaleta mungurumo na mvua siku hiyo, na hivyo watu wote wakamuogopa sana Yehova na Samweli. 19 Na watu wote wakamuambia Samweli: “Sali kwa Yehova Mungu wako kwa ajili ya watumishi wako,+ kwa maana hatutaki kufa, kwa sababu tumeongeza uovu mwingine juu ya zambi zetu zote kwa kuomba tupewe mufalme.”

20 Kwa hiyo Samweli akaambia watu: “Musiogope. Kwa kweli mumetenda uovu huo wote. Lakini tu musigeuke na kuacha kumufuata Yehova,+ na mumutumikie Yehova kwa moyo wenu wote.+ 21 Musigeuke ili kufuata mambo yenye hayana maana,*+ yenye hayana faida yoyote+ na yenye hayawezi kuokoa, kwa sababu hayana maana.* 22 Kwa ajili ya jina lake kubwa,+ Yehova hataacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+ 23 Lakini kwa upande wangu, ni jambo lenye haliwezi kuwaziwa kwamba nimutendee Yehova zambi kwa kuacha kusali kwa ajili yenu, na nitaendelea kuwafundisha katika njia ya muzuri na yenye kuwa sawa. 24 Lakini tu mumuogope Yehova,+ na mumutumikie kwa uaminifu* kwa moyo wenu wote, kwa maana muangalie mambo makubwa yenye amewafanyia.+ 25 Lakini kama munafanya mambo ya mubaya bila kujali, mutaharibiwa,+ ninyi na mufalme wenu.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine