Zaburi 27:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 27 Yehova ni mwangaza wangu+ na wokovu wangu. Nimuogope nani?+ Yehova ni ngome ya uzima wangu.+ Nimuhofu nani? Isaya 41:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Usiogope, kwa maana niko pamoja na wewe.+ Usihangaike, kwa maana niko Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, ndiyo, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mukono wangu wa kuume wa haki.’ Waroma 8:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Basi, tuseme nini juu ya mambo haya? Kama Mungu iko* upande wetu, ni nani atatushinda?+ Waebrania 13:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Ili tukuwe hodari na kusema: “Yehova* ni musaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunifanya nini?”+
27 Yehova ni mwangaza wangu+ na wokovu wangu. Nimuogope nani?+ Yehova ni ngome ya uzima wangu.+ Nimuhofu nani?
10 Usiogope, kwa maana niko pamoja na wewe.+ Usihangaike, kwa maana niko Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, ndiyo, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mukono wangu wa kuume wa haki.’
6 Ili tukuwe hodari na kusema: “Yehova* ni musaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunifanya nini?”+