1 Samweli 15:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kisha Sauli akaambia Wakeni:+ “Muende, mutoke kati ya Waamaleki ili nisiwafagilie mbali pamoja nao.+ Kwa maana mulionyesha watu wote wa Israeli+ upendo mushikamanifu wakati walipanda kutoka Misri.” Kwa hiyo Wakeni wakatoka katikati ya Amaleki.
6 Kisha Sauli akaambia Wakeni:+ “Muende, mutoke kati ya Waamaleki ili nisiwafagilie mbali pamoja nao.+ Kwa maana mulionyesha watu wote wa Israeli+ upendo mushikamanifu wakati walipanda kutoka Misri.” Kwa hiyo Wakeni wakatoka katikati ya Amaleki.