Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Sauli anakosa kutii kwa kuacha kumuharibu Agagi (1-9)

      • Samweli anamukaripia Sauli (10-23)

        • “Kutii ni muzuri kuliko zabihu” (22)

      • Sauli anakataliwa asikuwe mufalme (24-29)

      • Samweli anamuua Agagi (30-35)

1 Samweli 15:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 9:16; 10:1
  • +1 Sa. 12:14

1 Samweli 15:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:8; Hes 24:20; Kum 25:17, 18

1 Samweli 15:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haupaswe kuwasikilia huruma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:14; Kum 25:19; 1Nya 4:43
  • +Law. 27:29; 1 Sa. 15:18
  • +Kum 9:1, 3
  • +Kum 13:17; Yosh. 6:18

1 Samweli 15:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 11:8; 13:15

1 Samweli 15:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bonde la muto.”

1 Samweli 15:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 10:29, 32; 24:21; Amu 1:16
  • +Mwa 18:25; 19:12, 13; Yosh. 6:17
  • +Kut 18:9, 12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2005, uku. 22-23

1 Samweli 15:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 25:19; 1 Sa. 14:47, 48
  • +Mwa 25:17, 18
  • +1 Sa. 27:8

1 Samweli 15:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:33
  • +Law. 27:29; 1 Sa. 15:3

1 Samweli 15:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “walimusikilia huruma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 7:12

1 Samweli 15:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Ninahuzunika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 13:13; 15:3
  • +1 Sa. 16:1

1 Samweli 15:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:20, 55
  • +2 Sa. 18:18

1 Samweli 15:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:3

1 Samweli 15:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “walisikilia huruma.”

1 Samweli 15:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:10, 11

1 Samweli 15:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 9:21; 10:22
  • +1 Sa. 9:16; 10:1

1 Samweli 15:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:3
  • +Kum 25:19

1 Samweli 15:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 13:17; 1 Sa. 15:9

1 Samweli 15:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 27:29; Kum 7:16; 1 Sa. 15:3, 9

1 Samweli 15:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:15

1 Samweli 15:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:11
  • +Mez. 21:3; Ho 6:6; Mk 12:33
  • +Law. 3:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 26-28

1 Samweli 15:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “sanamu za terafimu,” ni kusema, miungu ya familia; sanamu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 12:15
  • +Law. 20:6; Kum 18:10, 12; 1Nya 10:13
  • +1 Sa. 15:3
  • +1 Sa. 13:14; 16:1; Mdo 13:22

1 Samweli 15:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:30

1 Samweli 15:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 13:14; 16:1

1 Samweli 15:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 13:14; 16:12, 13; Mdo 13:22

1 Samweli 15:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hatasikitika.”

  • *

    Ao “asikitike.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:11
  • +Tit 1:2; Ebr 6:18
  • +Hes 23:19

1 Samweli 15:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:25

1 Samweli 15:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “akiwa na uhakika.”

  • *

    Tnn., “uchungu wa kifo umepita.”

1 Samweli 15:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:14; Kum 25:19; 1 Sa. 15:3

1 Samweli 15:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:1
  • +1 Sa. 15:11

Maandiko ingine

1 Sam. 15:11 Sa. 9:16; 10:1
1 Sam. 15:11 Sa. 12:14
1 Sam. 15:2Kut 17:8; Hes 24:20; Kum 25:17, 18
1 Sam. 15:3Kut 17:14; Kum 25:19; 1Nya 4:43
1 Sam. 15:3Law. 27:29; 1 Sa. 15:18
1 Sam. 15:3Kum 9:1, 3
1 Sam. 15:3Kum 13:17; Yosh. 6:18
1 Sam. 15:41 Sa. 11:8; 13:15
1 Sam. 15:6Hes 10:29, 32; 24:21; Amu 1:16
1 Sam. 15:6Mwa 18:25; 19:12, 13; Yosh. 6:17
1 Sam. 15:6Kut 18:9, 12
1 Sam. 15:7Kum 25:19; 1 Sa. 14:47, 48
1 Sam. 15:7Mwa 25:17, 18
1 Sam. 15:71 Sa. 27:8
1 Sam. 15:81 Sa. 15:33
1 Sam. 15:8Law. 27:29; 1 Sa. 15:3
1 Sam. 15:9Yosh. 7:12
1 Sam. 15:111 Sa. 13:13; 15:3
1 Sam. 15:111 Sa. 16:1
1 Sam. 15:12Yosh. 15:20, 55
1 Sam. 15:122 Sa. 18:18
1 Sam. 15:141 Sa. 15:3
1 Sam. 15:161 Sa. 15:10, 11
1 Sam. 15:171 Sa. 9:21; 10:22
1 Sam. 15:171 Sa. 9:16; 10:1
1 Sam. 15:181 Sa. 15:3
1 Sam. 15:18Kum 25:19
1 Sam. 15:19Kum 13:17; 1 Sa. 15:9
1 Sam. 15:20Law. 27:29; Kum 7:16; 1 Sa. 15:3, 9
1 Sam. 15:211 Sa. 15:15
1 Sam. 15:22Isa 1:11
1 Sam. 15:22Mez. 21:3; Ho 6:6; Mk 12:33
1 Sam. 15:22Law. 3:16
1 Sam. 15:231 Sa. 12:15
1 Sam. 15:23Law. 20:6; Kum 18:10, 12; 1Nya 10:13
1 Sam. 15:231 Sa. 15:3
1 Sam. 15:231 Sa. 13:14; 16:1; Mdo 13:22
1 Sam. 15:251 Sa. 15:30
1 Sam. 15:261 Sa. 13:14; 16:1
1 Sam. 15:281 Sa. 13:14; 16:12, 13; Mdo 13:22
1 Sam. 15:291Nya 29:11
1 Sam. 15:29Tit 1:2; Ebr 6:18
1 Sam. 15:29Hes 23:19
1 Sam. 15:301 Sa. 15:25
1 Sam. 15:33Kut 17:14; Kum 25:19; 1 Sa. 15:3
1 Sam. 15:351 Sa. 16:1
1 Sam. 15:351 Sa. 15:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 15:1-35

Cha Kwanza cha Samweli

15 Kisha Samweli akamuambia Sauli: “Yehova alinituma nikutie mafuta ili ukuwe mufalme juu ya watu wake Israeli;+ sasa sikiliza mambo yenye Yehova anataka kusema.+ 2 Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Nitaomba Waamaleki watoe hesabu kwa sababu ya mambo yenye walifanyia Israeli wakati waliwapinga katika njia yao ya kupanda kutoka Misri.+ 3 Sasa uende, na upige na kuua Waamaleki+ na kuwaharibu+ wao pamoja na vitu vyote vyenye wako navyo. Usikose kuwaharibu;* unapaswa kuwaua wote,+ wanaume na wanamuke, mutoto na mutoto mwenye kunyonya, ngombe-dume na kondoo, ngamia na punda.’”+ 4 Sauli akaita watu na kuwahesabia kule Telaimu: Kulikuwa maaskari elfu mia mbili (200 000) wenye kutembea kwa miguu na watu elfu kumi (10 000) wa Yuda.+

5 Sauli akaenda mupaka kwenye muji wa Amaleki na akavizia karibu na bonde.* 6 Kisha Sauli akaambia Wakeni:+ “Muende, mutoke kati ya Waamaleki ili nisiwafagilie mbali pamoja nao.+ Kwa maana mulionyesha watu wote wa Israeli+ upendo mushikamanifu wakati walipanda kutoka Misri.” Kwa hiyo Wakeni wakatoka katikati ya Amaleki. 7 Kisha Sauli akapiga na kuua Waamaleki+ kuanzia Havila+ mupaka Shuri,+ muji wenye kuwa karibu na Misri. 8 Akamukamata Agagi+ mufalme wa Amaleki akiwa muzima, lakini watu wengine wote akawaharibu kwa upanga.+ 9 Lakini, Sauli na watu wake hawakumuharibu* Agagi na wanyama wazuri sana wa kundi, mifugo, wanyama wenye kunenepa, kondoo-dume, na vitu vyote vyenye vilikuwa vya muzuri.+ Hawakutaka kuviharibu. Lakini vitu vyote vyenye vilikuwa havina mafaa yoyote na vyenye kuzarauliwa, hivyo waliviharibu.

10 Basi neno la Yehova likakuja kwa Samweli: 11 “Ninasikitika* kwamba nimemufanya Sauli kuwa mufalme, kwa sababu ameacha kunifuata na hakutimiza maneno yangu.”+ Samweli akakasirika sana, na akaendelea kumulilia Yehova usiku wote.+ 12 Wakati Samweli aliamuka asubui sana ili akutane na Sauli, Samweli akaambiwa: “Sauli alienda Karmeli,+ na kule alijisimamishia munara.+ Kisha akageuka na kushuka mupaka Gilgali.” 13 Wakati mwishowe Samweli alifika mbele ya Sauli, Sauli akamuambia: “Yehova akubariki. Nimetimiza neno la Yehova.” 14 Lakini Samweli akamuambia: “Basi ni nini sauti hii ya kundi katika masikio yangu na sauti hii ya ngombe yenye ninasikia?”+ 15 Basi Sauli akasema: “Waliletwa kutoka kwa Waamaleki, kwa sababu watu hawakuharibu* wanyama wazuri sana wa kundi na mifugo ili wawatoe zabihu kwa Yehova Mungu wako; lakini vitu vyenye vilibakia tuliviharibu.” 16 Halafu Samweli akamuambia Sauli: “Nyamaza! Acha nikuambie jambo lenye Yehova aliniambia jana usiku.”+ Kwa hiyo akamuambia: “Sema!”

17 Samweli akaendelea kusema: “Je, haukujiona kuwa mutu wa hali ya chini+ wakati ulifanywa kuwa kichwa cha makabila ya Israeli na wakati Yehova alikutia mafuta ili ukuwe mufalme juu ya Israeli?+ 18 Kisha wakati fulani Yehova alikutuma ufanye kazi fulani na kusema, ‘Uende, na uharibu Waamaleki watenda-zambi.+ Pigana nao mupaka wakati utakuwa umewamaliza kabisa.’+ 19 Basi sababu gani haukutii sauti ya Yehova? Lakini, ulikimbilia kwa pupa vitu vyenye vinachukuliwa katika vita+ na ulifanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova!”

20 Hata hivyo, Sauli akamuambia Samweli: “Lakini nimetii sauti ya Yehova! Nilienda kufanya kazi yenye Yehova alinituma nifanye, na nilimuleta Agagi mufalme wa Amaleki, na niliharibu Waamaleki.+ 21 Lakini watu walikamata kondoo na ngombe kati ya vitu vyenye vinachukuliwa katika vita, vitu vya muzuri sana kati ya vitu vyenye vilipaswa kuharibiwa, ili wavitoe zabihu kwa Yehova Mungu wako kule Gilgali.”+

22 Basi Samweli akasema: “Je, Yehova anapendezwa na matoleo ya kuteketezwa na zabihu+ sawasawa na kutii sauti ya Yehova? Angalia! Kutii ni muzuri kuliko zabihu,+ na kusikiliza kwa uangalifu kuliko mafuta+ ya kondoo-dume; 23 kwa maana uasi+ ni sawa na zambi ya uaguzi,+ na kuenda mbele kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na ibada ya sanamu.* Kwa sababu umekataa neno la Yehova,+ yeye pia amekukataa usikuwe mufalme.”+

24 Basi Sauli akamuambia Samweli: “Nimetenda zambi, kwa maana nimeasi agizo la Yehova na maneno yako, kwa sababu niliogopa watu na nilisikiliza mambo yenye walisema. 25 Na sasa, tafazali, unisamehe zambi yangu, na urudie pamoja na mimi ili nimuinamie Yehova.”+ 26 Lakini Samweli akamuambia Sauli: “Sitarudia pamoja na wewe, kwa maana umekataa neno la Yehova, na Yehova amekukataa usiendelee kuwa mufalme juu ya Israeli.”+ 27 Wakati Samweli alikuwa anageuka ili aende, Sauli akashika upindo wa koti yake yenye haina mikono, lakini ikapasuka. 28 Basi Samweli akamuambia: “Yehova ameondoa ufalme wa Israeli kutoka kwako leo, na atamupatia mwenzako mwenye kuwa muzuri kuliko wewe.+ 29 Tena, Mutukufu wa Israeli+ hatasema uongo+ wala kubadilisha nia yake,* kwa maana Yeye haiko mwanadamu bure ili abadilishe nia yake.”*+

30 Basi Sauli akasema: “Nimetenda zambi. Lakini uniheshimishe, tafazali, mbele ya wazee wa watu wangu na mbele ya Israeli. Rudia pamoja na mimi, na mimi nitamuinamia Yehova Mungu wako.”+ 31 Kwa hiyo Samweli akarudia nyuma ya Sauli, na Sauli akamuinamia Yehova. 32 Na Samweli akasema: “Mumulete Agagi mufalme wa Waamaleki karibu yangu.” Basi Agagi akaenda karibu naye akisita-sita,* kwa sababu Agagi alikuwa anasema katika moyo wake: “Hakika hatari ya kifo imepita.”* 33 Lakini, Samweli akasema: “Kama vile upanga wako ulifanya wanamuke wakose watoto, ni vile mama yako atakosa watoto kuliko wanamuke wote.” Basi Samweli akamukata-kata Agagi vipande-vipande mbele ya Yehova kule Gilgali.+

34 Kisha Samweli akaenda Rama, na Sauli akapanda kuenda kwenye nyumba yake katika muji wa Gibea wa Sauli. 35 Samweli hakumuona tena Sauli mupaka siku alikufa, kwa maana Samweli alikuwa anamuombolezea Sauli.+ Na Yehova akasikitika kwamba alikuwa amemufanya Sauli kuwa mufalme juu ya Israeli.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine