-
Kumbukumbu la Torati 2:19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 Wakati utafika karibu na Waamoni, usiwashambulie wala kuwachokoza, kwa sababu sitakupatia sehemu yoyote ya inchi ya Waamoni kuwa eneo lako, kwa maana nimeipatia wazao wa Loti kuwa eneo lao.+
-
-
Waamuzi 11:4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Kisha wakati fulani, Waamoni wakapigana na Israeli.+
-
-
Sefania 2:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Kwa hiyo, kama vile hakika ninaishi,” ni vile Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema,
“Moabu itakuwa kama vile Sodoma,+
Na Waamoni kama Gomora,+
Mahali kwenye mimea yenye kuwasha, shimo la chumvi, na eneo lenye limeachwa sikuzote.+
Watu wangu wenye walibakia watanyanganya vitu vyao,
Na mabaki ya taifa langu watawariti.
-