Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 2:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Wakati utafika karibu na Waamoni, usiwashambulie wala kuwachokoza, kwa sababu sitakupatia sehemu yoyote ya inchi ya Waamoni kuwa eneo lako, kwa maana nimeipatia wazao wa Loti kuwa eneo lao.+

  • Waamuzi 11:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Kisha wakati fulani, Waamoni wakapigana na Israeli.+

  • Nehemia 13:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa katika masikio ya watu,+ na ndani yake ikavumbuliwa kwamba ilikuwa imeandikwa kuwa Mwamoni ao Mumoabu+ hawapaswe hata kidogo kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+

  • Sefania 2:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Kwa hiyo, kama vile hakika ninaishi,” ni vile Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema,

      “Moabu itakuwa kama vile Sodoma,+

      Na Waamoni kama Gomora,+

      Mahali kwenye mimea yenye kuwasha, shimo la chumvi, na eneo lenye limeachwa sikuzote.+

      Watu wangu wenye walibakia watanyanganya vitu vyao,

      Na mabaki ya taifa langu watawariti.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine