-
Yohana 8:44Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
44 Ninyi mumetoka kwa baba yenu Ibilisi, na munataka kufanya tamaa za baba yenu.+ Huyo alikuwa muuaji wakati alianza,*+ na hakusimama imara katika kweli, kwa sababu kweli haiko ndani yake. Wakati anasema uongo, anasema kulingana na muelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni muongo na baba ya uongo.+
-
-
1 Yohana 3:10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi wanaonekana kupitia jambo hili: Mutu yeyote mwenye hazoee kutenda haki hatokane na Mungu, na pia ule mwenye hamupendi ndugu yake.+
-