Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Yohana 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Yohana

      • Sisi ni watoto wa Mungu (1-3)

      • Tofauti kati ya watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi (4-12)

        • Yesu atavunja kazi za Ibilisi (8)

      • Mupendane (13-18)

      • Mungu ni mukubwa kuliko mioyo yetu (19-24)

1 Yohana 3:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:16
  • +Yoh 1:12, 13
  • +Yoh 15:19
  • +Yoh 17:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2015, uku. 21

1 Yohana 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:15, 16; Efe 1:5
  • +1 Kor. 15:49; Flp 3:20, 21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 27

1 Yohana 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 7:1

1 Yohana 3:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 16:21, 22; Isa 53:11; Yoh 1:29

1 Yohana 3:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 6:12

1 Yohana 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tangu wakati alianza.”

  • *

    Ao “aharibu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 3:14; Yoh 8:44
  • +Yoh 16:33; Ebr 2:14

1 Yohana 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, mbegu yenye inaweza kuzaa, ao kutoa matunda.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 5:18
  • +1 Pe. 1:23

1 Yohana 3:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:8

1 Yohana 3:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 13:34; 1 Yo. 2:7; 2 Yo. 5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mwalimu, uku. 225

1 Yohana 3:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 4:8
  • +Mwa 4:5
  • +Mwa 4:4; Ebr 11:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mwalimu, uku. 225

1 Yohana 3:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:11; Yoh 15:18; 2 Tim. 3:12

1 Yohana 3:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 5:24; Rom. 8:2
  • +1 Yo. 2:10
  • +Yoh 3:36

1 Yohana 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:21, 22; Efe 4:31
  • +Mwa 9:6; Hes 35:31; Ufu 21:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Upendo wa Mungu,”

    uku. 82

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2006, uku. 27

1 Yohana 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yake.”

  • *

    Ao “nafsi yetu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:16; 13:1; 15:13
  • +Yoh 13:15; Rom. 16:3, 4; 1 Tes. 2:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    ‘Mfuasi Wangu’,

    uku. 177-178

1 Yohana 3:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 15:7, 8; Lu 3:11; Rom. 12:13; Yak 2:15, 16; 1 Yo. 4:20

1 Yohana 3:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:9
  • +Yak 1:22; 2:17
  • +1 Pe. 1:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2017, uku. 7-11

1 Yohana 3:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tutashawishi; tutasadikisha.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova,

    uku. 240-249

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2008, uku. 9

    15/7/2007, uku. 16-17

    1/5/2000, uku. 30-31

1 Yohana 3:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 4:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova,

    uku. 240-249

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2008, uku. 9

    15/7/2007, uku. 16-17

    1/8/2005, uku. 30

    1/5/2000, uku. 29-30

1 Yohana 3:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 4:16; 1 Yo. 5:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/7/2007, uku. 16-17

1 Yohana 3:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:15; Mt 7:8; 1 Pe. 3:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/7/2007, uku. 16-17

1 Yohana 3:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 6:29
  • +Yoh 13:34

1 Yohana 3:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 2:24
  • +Yoh 14:23

Maandiko ingine

1 Yoh. 3:1Yoh 3:16
1 Yoh. 3:1Yoh 1:12, 13
1 Yoh. 3:1Yoh 15:19
1 Yoh. 3:1Yoh 17:25
1 Yoh. 3:2Rom. 8:15, 16; Efe 1:5
1 Yoh. 3:21 Kor. 15:49; Flp 3:20, 21
1 Yoh. 3:32 Kor. 7:1
1 Yoh. 3:5Law. 16:21, 22; Isa 53:11; Yoh 1:29
1 Yoh. 3:6Rom. 6:12
1 Yoh. 3:8Mwa 3:14; Yoh 8:44
1 Yoh. 3:8Yoh 16:33; Ebr 2:14
1 Yoh. 3:91 Yo. 5:18
1 Yoh. 3:91 Pe. 1:23
1 Yoh. 3:101 Yo. 4:8
1 Yoh. 3:11Yoh 13:34; 1 Yo. 2:7; 2 Yo. 5
1 Yoh. 3:12Mwa 4:8
1 Yoh. 3:12Mwa 4:5
1 Yoh. 3:12Mwa 4:4; Ebr 11:4
1 Yoh. 3:13Mt 5:11; Yoh 15:18; 2 Tim. 3:12
1 Yoh. 3:14Yoh 5:24; Rom. 8:2
1 Yoh. 3:141 Yo. 2:10
1 Yoh. 3:14Yoh 3:36
1 Yoh. 3:15Mt 5:21, 22; Efe 4:31
1 Yoh. 3:15Mwa 9:6; Hes 35:31; Ufu 21:8
1 Yoh. 3:16Yoh 3:16; 13:1; 15:13
1 Yoh. 3:16Yoh 13:15; Rom. 16:3, 4; 1 Tes. 2:8
1 Yoh. 3:17Kum 15:7, 8; Lu 3:11; Rom. 12:13; Yak 2:15, 16; 1 Yo. 4:20
1 Yoh. 3:18Rom. 12:9
1 Yoh. 3:18Yak 1:22; 2:17
1 Yoh. 3:181 Pe. 1:22
1 Yoh. 3:20Ebr 4:13
1 Yoh. 3:21Ebr 4:16; 1 Yo. 5:14
1 Yoh. 3:22Zab 34:15; Mt 7:8; 1 Pe. 3:12
1 Yoh. 3:23Yoh 6:29
1 Yoh. 3:23Yoh 13:34
1 Yoh. 3:241 Yo. 2:24
1 Yoh. 3:24Yoh 14:23
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Yohana 3:1-24

Ya Kwanza ya Yohana

3 Muone namna ya upendo wenye Baba ametupatia sisi,+ kwamba tuitwe watoto wa Mungu!+ Na ni vile tuko. Ndiyo sababu ulimwengu hautujue,+ kwa sababu haumujue yeye.+ 2 Wapendwa, sasa sisi ni watoto wa Mungu,+ lakini bado haijafunuliwa namna tutakuwa.+ Tunajua kama wakati atafunuliwa tutakuwa kama yeye, kwa sababu tutamuona vile iko.* 3 Na kila mutu mwenye kuwa na tumaini hili ndani yake anajisafisha,+ kama vile huyo iko* safi.

4 Kila mutu mwenye anazoea kufanya zambi anaendelea pia kufanya uvunjaji wa sheria, na zambi ni uvunjaji wa sheria. 5 Munajua pia kama alifunuliwa ili kutosha zambi zetu,+ na hakuna zambi ndani yake. 6 Kila mutu mwenye anakaa katika umoja naye haendelee kufanya zambi;+ hakuna mutu mwenye anazoea kufanya zambi mwenye amemuona ao kumujua. 7 Watoto wadogo, mutu yeyote asiwapotoshe ninyi; mutu mwenye anazoea kutenda haki ni mwenye haki, kama vile huyo ni mwenye haki. 8 Mutu mwenye anazoea kufanya zambi anatokana na Ibilisi, kwa sababu Ibilisi amekuwa akifanya zambi tangu mwanzo.*+ Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa, ili avunje* kazi za Ibilisi.+

9 Kila mutu mwenye amezaliwa kutokana na Mungu hazoee kufanya zambi,+ kwa sababu mbegu* Yake inakaa ndani ya mutu huyo, na hawezi kuwa na mazoea ya kufanya zambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+ 10 Watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi wanaonekana kupitia jambo hili: Mutu yeyote mwenye hazoee kutenda haki hatokane na Mungu, na pia ule mwenye hamupendi ndugu yake.+ 11 Kwa maana huu ndio ujumbe wenye mumesikia tangu mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana;+ 12 hapana kama Kaini, mwenye alitokana na ule muovu na akamuua ndugu yake.+ Na sababu gani alimuua? Kwa sababu matendo yake mwenyewe yalikuwa maovu,+ lakini matendo ya ndugu yake yalikuwa ya haki.+

13 Ndugu, musishangae kwamba ulimwengu unawachukia ninyi.+ 14 Tunajua kama tumevuka kutoka kifo mupaka uzima,+ kwa sababu tunapenda ndugu.+ Mutu mwenye hapendi anakaa katika kifo.+ 15 Kila mutu mwenye anamuchukia ndugu yake ni muuaji,+ na munajua kama hakuna muuaji mwenye uzima wa milele unakaa ndani yake.+ 16 Kupitia jambo hili, sisi tumejua upendo, kwa sababu huyo alitoa uzima wake* kwa ajili yetu,+ na sisi tunalazimika kutoa uzima wetu* kwa ajili ya ndugu zetu.+ 17 Lakini kama mutu yeyote iko* na vitu vya ulimwengu huu na anaona ndugu yake katika uhitaji lakini anakataa kumuonyesha huruma, namna gani upendo wa Mungu unakaa ndani yake?+ 18 Watoto wadogo, tunapaswa kupendana, hapana kwa neno ao kwa ulimi,+ lakini kwa tendo+ na kweli.+

19 Kwa jambo hili tutajua kama tunatokana na kweli, na tutahakikishia* mioyo yetu mbele yake 20 juu ya jambo lolote lenye pengine mioyo yetu inaweza kutuhukumu, kwa sababu Mungu ni mukubwa kuliko mioyo yetu na anajua mambo yote.+ 21 Wapendwa, kama mioyo yetu haituhukumu, tuko na uhuru wa kusema mbele ya Mungu;+ 22 na chochote chenye tunaomba tunakipokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunashika amri zake na tunafanya mambo yenye kupendeza mbele ya macho yake. 23 Kwa kweli, hii ndiyo amri yake: kwamba tukuwe na imani katika jina la Mwana wake Yesu Kristo+ na tupendane,+ kama vile alitupatia amri. 24 Zaidi ya hayo, mutu mwenye anashika amri zake anakaa katika umoja naye, na yeye anakaa katika umoja na mutu huyo.+ Na kupitia roho yenye alitupatia, tunajua kama anakaa katika umoja na sisi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine