-
Mwanzo 32:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Kisha Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka, Ee Yehova, wewe mwenye kuniambia, ‘Rudia katika inchi yako na kwa watu wa jamaa yako, na mimi nitakutendea mema,’+ 10 sistahili upendo wote mushikamanifu na uaminifu wote wenye umemuonyesha mutumishi wako,+ kwa maana nilikuwa tu na fimbo wakati nilivuka muto huu Yordani lakini sasa nimekuwa kambi mbili.+
-